Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Nenda kashitaki km yule mwendawazimu wenu wa Mbeya
 
hawa wapumbavu wameshindwa kuwaelewa walimu wao mashuleni watakuelewa wewe
 
Huu muungano gani unaotoa haki ya upande mmoja tu.

Wazanzibari chao ni chao tu ila vya tanganyika ni vya wote.

Wizara hata zisizo za muungano wazanzibari wamejazwa humo.

Hakuna mtanganyika hata mmoja anayeruhusiwa kumiliki kipande cha ardhi huko Zenj, wazenj wanawapangia bajeti watanganyika, mbaya zaidi wazenj wanawaamulia mambo makubwa watanganyika huko bungeni na nje ya bunge. Rejea bandari.
 
Kwamba damu ya kupe na damu ya mbuzi vyote ni vya kupe lakini damu ya kupe siyo damu ya mbuzi. This is parasitic relationship
 
Kumbuka wazanzibari ni watanzania pia
Tanzania ni muungano wa nchi mbili. Lakini kuna mambo yasiyo ya muungano. Kama mzanzibari ni mtanzania kwanini kuna mambo yasyo muhusu Mtanzania huyo huyo.
 
Watanganyika tumekuwa mafala sana
 
Hivi kama mzanzibari anashika ikulu ya Tanganyika ambayo ndiyo mhimili wa ofisi zote za nchi inashangaza nini kishika ofisi ya TPA au TRA. Kama hoja ni Zanzibar kuwa na ZRA na ZPA basi kumbuka hata ikulu wanayo lakini bado wanaongoza ikulu ya Tanganyika sasa hata sijaona mnaonaje mzanzibari kushika ofisi ya TPA ni jambo kubwa kuliko kushika ikulu ya nchi???!!!
 
Na kule Zanzibar wanalisubiri hili kwa hamu kwan wao walsasema zamani wakaambiwa siasa kali hivyo lazima wadhibitiwe. Bahati mbaya hili lilisemwa mchana kweupe, tena kanisani. Sasa imekuja nafasi na fursa itumieni kwa faida yetu sote.
Njaa tu itawaua kule hakuna kitu. Mishahara ya watumishi wa Zanzibar inaashiria hivyo
 
Hoja ipo mkuu labda kama huioni, mfano ofisi gani pale zanzibar ambayo mteuliwa ametoka bara na anaonekana kabisa huyu Mheshimiwa Rais kamtoa huko Itegambwike au Butata huko na kutokana na weledi wake anaweza kushika nafasi hiyo kwenye SMZ.
 
Hoja ya msingi hapo, mzanzibari hastahili kupewa nafasi yoyote kwenye serikali kwenye nafasi ambayo siyo ya Muungano.
Mambo ya Tanzania bara yote ni ya muungano. Raisi na Baraza la mawaziri,bunge na majeshi yote ni ya muungano na wazanzibari Wana haki ya kushiriki sehemu yoyote ya muungano.Mzanzibari ana haki ya kuwa jaji mkuu, mwanasheria mkuu, mkuu wa majeshi na hata amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Mambo ya Zanzibar I ndiyo ambayo siyo ya muungano hivyo watu wa bara hatuwezi kushika nafasi yoyote kule Zanzibar.
 
Mbona watu wengi tumeshuhudia wanahama kutoka TRA bara kwenda Zanzibar? Hii imekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…