Goodvision
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 858
- 467
Wewe ndio huelewi
Hueleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hueleweki
Wote ni Waislamu tu. Kwa iyo hamna mabadiliko.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Mkuu uko sahihi.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Syo huyo tu hata Mkurugenzi wa kinondoni Hanifa hamza ni mzanzibari na binamu yake samiaimefika wakati tufungue kesi za kuwaondoa Hawa wazanzibar kwenye nafasi wanazopewa ambazo SI za Muungano kama yule Shaka ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya. Hawa watu wamezoea Chao Chao Chao kwetu ni Cha wote.
Unajua maana TANZANIA na ilitoka na NINI?? SO TULIAWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Amekunywa kichuri akili imesinzia kidogo.Naona umeamua kujizima data ehhhh...🤔
Na watanzania siyo wote wazanzibari piaHapana.
Malkia alitakiwa arekebishe makosa,amtoe huyo Mtanganyika amweke Mzanzibari,huyo Mtanganyika angemrudisha huku,Sasa yeye anamshikilia yule Mtanganyika kule kwa maslahi ya Wazanzibari halafu unatuletea Mzanzibari huku kwa maslahi ya Wazanzibari,a mistake towards a mistake is a big mistake.Lakini mbona mkuu wa mamlaka ya mapato Zanzibar ni Mtanganyika anaitwa Mwenda
Hizo fedha wanazokusanya ZRA wanapeleka wapi. Wanawapa TRA, au Hazina.?Hao ZRA ni sawa tu na Halmashauri zinavyokusanya kodi Tanzania Bara hata boss wa ZRA Mwenda alikuwa Diwani wa Mikocheni na Meya wa Kinondoni
Majukumu ya TRA Zanzibar yako pale pale!
Huyu Mama kwakweli sijui hata kama huwa anasoma anacho wekewa mezani kabisa!Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Watu wanadhani kudai haki kwa mihemko hii ndo watafanikiwa...Kwa ujuha huo ndio mtaipata Tanganyika kweli?
Marehemu Tanganyika lazima afufuke,iwe mzimu au roboti lazima afufuliwe na apewe haki zake sawasawa na Zanzibar.The United Republic of Tanzania imeundwa na pande mbili kwa gharama ya upande mmoja kuji dissolve huku upande mwingine ukibaki. Tanganyika ilijigeuza mshumaa, ilijiangamiza kwa lengo la kuangazia wengine.
Hivyo, Muungano huu unampa Zanzibar kuwa access ya nafasi zote, maana Tanganyika ilishajiua hivyo kukabidhi kila kitu kwa Zanzibar, maana katika Muungano huu Zanzibar ndiye pekee aliye hai.
So, unapoongelea maliasili, taasisi, n.k Zanzibar ana mamlaka nazo zote, kama mmiliki upande mmoja, huku upande mwingine akiwa kama msimamizi maana Tanganyika ilipojiua iliacha watoto na wakebkadhaa ambao wote walendelea kulelewa na Zanzibar. Hapo ndipo hesabu za nyerere zilipopotea .
Laiti Tanganyika ingekuwepo au ingefufuka leo, basi hapo itakua sawa kusema kuna vitu vya Muungano. Ila kwa sasa, Zanzubar ndiye anayetambuliwa ni vile tu hawaijui nguvu yao.
Sasa hivi Zanzibar wana nguvu ya kuamua lolote ndani ya Muungano na watoto na wake watanganyika wakatakiwa kupokea tu maelekezo.
Kwa kuwa Tanganyika ilishakufa, sasa hivi serikali ya Muungano inabaki kuwa chombo kinachomsikiliza zaidi Zanzibar kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale. Maana ndiye pekee aliye hai.
Hao maofisa wa serikali ndo wanaotuangusha kwenye kuidai Tanganyika kwa kujiona wako salama. Ngoja kila mtu aisome namba ili tuwe mstari mmoja.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Kwa sasa muacheni Zanzibar aendelee kujilia vyake, maana ni vitu ambavyo walichanga na 'Marehemu' na 'Marehemu' hakuwahi kuandika mrithi wake.Marehemu Tanganyika lazima afufuke,iwe mzimu au roboti lazima afufuliwe na apewe haki zake sawasawa na Zanzibar.
Hili la bandari limetusaidia kujua sisi wana JF ambao huwa tunaambiana 'huna elimu' kwa maandishi kumbe sisi wenyewe ndo hatuna elimu na hatujui ila hatujui kwamba hatujui; iwapo kweli haya ndio maandiko yetu.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Ndugu yangu, mbona hoja ipo wazi sana. Hujaelewa nini?Hueleweki