Inapatikana wapi hiyo dawa mkuu, maana wahanga ni wengiUtakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.
amamsumbua wee, miezi miwili iliyopita kaamua mwenyewe aitumie tena na sasa hivi hajagusa pombe. Ila watu wengi huwa wanawekewa pasipo wao kujua kuwa wamewekewa.
Sasa sioni wa karibu yangu mwenye huo upendoUtakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.
amamsumbua wee, miezi miwili iliyopita kaamua mwenyewe aitumie tena na sasa hivi hajagusa pombe. Ila watu wengi huwa wanawekewa pasipo wao kujua kuwa wamewekewa.
Basi nature imeamua kuchukua nafasi yake kukukomboaSasa sioni wa karibu yangu mwenye huo upendo
Ubingwa upi?nimefatilia andiko lako kwamakini nimegundua tatizo kwanini umeikinai pombe[emoji16][emoji16][emoji16]
nakushauri endelea kuikinai hivyohivyo tusije tukakukosa(usije kuvuliwa ubingwa nawahuni)
kaza mwenetu hadi hali itakapo tulia
Mimi hata raund sizungushiMimi wana wananisemaga sana ila sijali kwa sababu siishi kwa kusikiliza wao wanatakaje, naishi nitakavyo mimi. Pombe huwa nakunywa nikiamua naweza zungusha raundi nikaishia kunywa maji tu.
Mkuu bukoba huko ndiko wanakoiagiza sijajua specifically bukoba sehemu gani.Inapatikana wapi hiyo dawa mkuu, maana wahanga ni wengi
hela huna bwanamdogo ukipenda pombe si watakfraUbingwa upi?
Mwambie kabisa cocktail ni mchanganyiko wa pombe kali na soda km fanta/spriteatakuchanganyia pombe kwenye cocktail
Pombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.Ukiacha pombe walevi wanakuchukia wanakuonea wivu kwakua umefanikiwa kutoka kwenye kundi lao la wapumbavu
Tena wanywaji wengi hatuna unafki pia hata madili tunashirikiana mno na kupeana michongo.😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.
😁😁Bwana ,Niels Bohr mwanafizikia nguli.Pombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hiyo simu unayo itumia kutype hapa jukwaani.
Drink responsible tena jion baada ya kazi kunywa for recreational purposes unakunywa kwa kipimo sio una mis use/ over drinking
Pombe ni kwaajir ya machampion/ great thinkers
NB.
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BASI JUA HAUJAWAI KUISHI"
Wana wanywe bia mkuu ni kawaida sana.Mimi hata raund sizungushi
Wanywe pombe wao nitoe pesa,, haipo hiyo
Walevi wasiache pombe ili huku mtaani tusikose watu wa kuwadharauPombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hiyo simu unayo itumia kutype hapa jukwaani.
Drink responsible tena jion baada ya kazi kunywa for recreational purposes unakunywa kwa kipimo sio una mis use/ over drinking
Pombe ni kwaajir ya machampion/ great thinkers
NB.
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BASI JUA HAUJAWAI KUISHI"
Pole sana mkuu, ukijisikiliza na kujitii inatosha sana. Hao hao wanaokusema hivyo ukikwama watasema pesa unamalizia kwenye mapombe.Mimi mpaka wananiita shoga kabisa.
Lakini ndo hivyo nishaamua, nipo sober tokea May 2023.
Pombe ina hasara kuliko faida kwa kweli.
Kupanga ni kuchaguaAisee hongera Sana maisha ni maamuzi tu