Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh...!, kuna watu tumeisha zisikia sauti hizi Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke kumaanisha ni single term president!, kuna kuna watu mnawish apige 20 years!, mnamtakia Mama mema kweli au mnataka kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvisha kilemba cha ukoka?Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe.
Yalianza hivi kimya kimya kipindi cha magu mwisho ikaja kuwa hoja kubwa bungeniNamba ya simu Kaka, rudi
Rwanda wamefika wapi? Mbona nchi hii inawatu WAPUMBAVU sana? Kuna nini ambacho Rwanda wanatuzidi?Unafikiri kwa akili yako kwanini Rwanda wamefikia hapo walipo? Wamefikishwa na akili na sacrifice ya mtu mmoja paul kagame.
Viongozi wote wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania niko upande wao na wao pia wapo upande wangu.
Yalianza hivi kimya kimya kipindi cha magu mwisho ikaja kuwa hoja kubwa bungeni
Wee wazimu au uko ndani ya mzinga wa asai na mama samia.Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Rubbish + Shithole..Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Naona mmesahau kuwa kuna Dini huwa zina pokezana kijiti kila Baada ya miaka 10.Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Hiyo system inakufa the roman empire is falling before your eyes and suprisingly you cant see it.Rubbish + Shithole..
Naona mmesahau kuwa kuna Dini huwa zina pokezana kijiti kila Baada ya miaka 10.
Endeleeni kufunua mkia wa punda.
Swali zuri Mkuu. Profesa alisaini makubaliano lakini kwa upande wa mikataba taasisi yenye mamlaka ni Tanzania Ports Authority ambayo imeanzishwa chini ya Ports Act no. 166 na sio mbarawa kwamba ana mamlaka ya kusaini mkataba na DPW. swali langu kwako ni moja kwa mujibu wa sheria hiyo bandari zote zipo chini ya TPA na mpaka sasa hakuna mkataba wowote kati ya TPA na DPW UTASEMAJE NCHI IMEUZWA wakati bado utekelezaji wa makubaliano haujaanza? Makubaliano yaliyofikiwa na waziri na dpw ni mwanzo tuu. Kumbuka all contracts are agreement but not all agreement are contracts.
TPA NDIYO WANA MAMLAKA YA KUSAINI MKATABA WA KUKODISHA BANDARI NA MUDA WA KUKODISHA KWASABABU BANDARI ZOTE ZIPO CHINI YAKE
You are just acting as a fool and you dont know geo political of east Afrika. Nchi ndogo kama Rwanda inawezaje kuitesa Nchi kubwa kama congo na kuchukua madini? Through M23? Why do you think kagame hates JK? Such a fool to reply my thread.Rwanda wamefika wapi? Mbona nchi hii inawatu WAPUMBAVU sana? Kuna nini ambacho Rwanda wanatuzidi?
Hata kuifananisha Rwanda na Lake zone bado siyo sahihi. Labda uilingamishe na mikoa ya Lindi na Mtwara
Anafanya nini kwenye awamu ya wengine angeng’atuka agombee awamu yake?Hata bila mabadiliko ya katiba, mama Samia ana haki ya kugombea mara mbili.
Hii awamu siyo yake.
I am happy for my fellow learned brother and friend to read my thread. Utawala wa Samia ni mtego mkubwa na kitendawili kikubwa kwa Tanzania na katiba yake. Hakutoa ahadi yoyote wala hakupigiwa kura na mtanzania yoyote kuwa Raisi bali yeye anatambulika kama mgombea mwenza. Pili katiba inaruhusu kuhudumia miaka 10 je atakuwa Raisi wa kwanza kuhudumu miaka 9? Huoni katiba imevunjwa?Duh...!, kuna watu tumeisha zisikia sauti hizi Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke kumaanisha ni single term president!, kuna kuna watu mnawish apige 20 years!, mnamtakia Mama mema kweli au mnataka kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvisha kilemba cha ukoka?
P
Yaheeee unataka kuuwa watu kwa presha?Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Hizi akili sasa....Hiyo system inakufa the roman empire is falling before your eyes and suprisingly you cant see it.
Rwanda wamefika wapi? Mbona nchi hii inawatu WAPUMBAVU sana? Kuna nini ambacho Rwanda wanatuzidi?
Hata kuifananisha Rwanda na Lake zone bado siyo sahihi. Labda uilingamishe na mikoa ya Lindi na Mtwara