Mabadiliko ya kweli yana gharama kubwa, yanahitaji mtu jasiri na mzalendo kweli kweli

Mabadiliko ya kweli yana gharama kubwa, yanahitaji mtu jasiri na mzalendo kweli kweli

Amani Msumari,

Kabla sijachangia naomba uniambie ni kwanini serikali yake ilimnyima Mh Lissu matibabu? Nani mwenye chuki kati yake na hao unaosema wanapinga kila kitu wakati siasa anafanya mwenyewe nakuwaumiza wengine kwa kutumia vyombo vya dola?
 
Magufuli alimtumbua Profesa Assad baada ya report ya Profesa kuonesha mapungufu ya kifedha kwenye serikali ya Magufuli.

Point clear, black n white
Mleta mada hiki ulichokiandika hapa akijui, wakati hayo yanatokea alikuwa hayupo nchini, alikuwa sayari ya jupiter akifanya research ya namna bora ya kumsifu mkuu.
 
Kabla sijachangia naomba uniambie ni kwanini serikali yake ilimnyima Mh Lissu matibabu?? Nani mwenye chuki kati yake na hao unaosema wanapinga kila kitu wakati siasa anafanya mwenyewe nakuwaumiza wengine kwa kutumia vyombo vya dola??
Ukiwa unakaa nyumbani kwa baba yako halafu mzee akasema mwisho wa kurudi nyumbani Ni saa mbili usiku halafu wewe kisa umeota ndevu ukarudi saa 6 usiku halafu huna maelezo ya kueleweka bsi utacheza na mbu na baridi la usiku nje huko.

Matibabu yoyote ya nje ya nchi yanautaratibu, ukikiuka utaratibu uliowekwa hutakiwi kulalamika. Mfano halisi ni kuwa ili upelekwe nje ya nchi kimatibabu n lazima upite muhimbili pale halafu wao waseme kwa haoa huyu aende nje.
 
Mleta mada hiki ulichokiandika hapa akijui, wakati hayo yanatokea alikuwa hayupo nchini, alikuwa sayari ya jupiter akifanya research ya namna bora ya kumsifu mkuu.
Najua mwanzo mwisho
Najua kuanzia utata wa 1.5 yrilioni
Najua kuhusu kauli ya Prof akiwa Marekani
Najua sintofahamu kuhusu Kama anaweza kuhojiwa na bunge au laa huku baadhi ya wanasiasa wakisema kkamati ya bunge haina mamlaka na kumtaka Prof asiende
Najua kuhusu kuhojiwa kwake
Najua kuhusu kustaafu kwake na kauli za wanasiasa kuhusu kustaafu huko Kama n halali au si halali
Nakumbuka speech yake akikabidhi ofisi na matarajio ya wanasiasa kuhusu nini angeongea
Nakumbuka kauli ya Rais akimuapisha CAG mpya
Mwisho nakumbuka Prof akiondoka na IST nyekundu huku akiambatana na mkewe

Mimi sio saizi yako
 
huna akili wewe,jakaya alileta maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa ni kula bata tu.huyu mtu wenu kaharibu halafu unasema tufunge mkanda ebo,afunge mkanda wenyewe
 
Lissu ni jasri atayeongoza mabadiliko ya kweli nchini,magu hana historia ya kuongoza mchakato wa mabadiliko,uraisi ameupata kwa bahati tu.
Uzuri Lisu ana damu ya kikenya ya ujasiri baada ya ile ya Kitanzania kutolewa wakati wa matibabu Kenya so ni mtu sahihi,
jiwe ataki mtu mstaarabu
 
Kipangaspecial,
Mimi nakusamehe bure kwasababu ninajua hoja zangu nzito sana, huna namna, yani umejaa upepo kitenesi nyuma. Daaawa mpaka kiama, mtaelewa tuu

#2020 kura kwa John
 
Amani Msumari,

Yes but baba huyo anapingwa na watoto sababu anataka watoto ndo wafunge mikanda hali watoto wanamuona akihonga mapesa watu,kutoa rushwakubwa kubwa makanisani ili kuwanunua viongozi wa dini, akijenga nyumba nyingine ya kissasa ya kuishi hali iliypo inatosha, mnakosa hata yabuku ya kununua mihogo hali baba ananunua jogoo kwa laki moja, nk.
 
Amani Msumari,

Watu wanapigwa risasi hadharani yupo kimya, matayikuni wanatekwa yuko kimya, anakwenda kwenye majimbo ya upinzani anafanya ubaguzi wa wazi wazi hata kama kakuhonga cheo.

Huyaoni haya maovu yake?
 
Uzuri Lisu ana damu ya kikenya ya ujasiri baada ya ile ya Kitanzania kutolewa wakati wa matibabu Kenya so ni mtu sahihi,
jiwe ataki mtu mstaarabu.
Nani tena wewe wa kuitwa Jo Mose. Asante kwa kutuambia kwa kauli yako mwenyewe kuwa mgombea wako sio mstaarabu, na tunajua wasio wastaarabu wanashabikiwa na wenzao wanaofanananao tabia. Watanzania hatutaki mgombea asie na ustaarabu.
 
Nani tena wewe wa kuitwa Jo Mose. Asante kwa kutuambia kwa kauli yako mwenyewe kuwa mgombea wako sio mstaarabu, na tunajua wasio wastaarabu wanashabikiwa na wenzao wanaofanananao tabia. Watanzania hatutaki mgombea asie na ustaarabu
KUDEAL NA PRIMITIVE NI LZM UWE PRIMITIVE ZAIDI YAKE,MUNGU WENU KAPATIKANA SAFARI HII KAPATA DAWA YAKE AMETUONEA SANA
 
huna akili wewe,jakaya alileta maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa ni kula bata tu.huyu mtu wenu kaharibu halafu unasema tufunge mkanda ebo,afunge mkanda wenyewe
Hebu jisome tena halafu ujihurumie. Sasa Kama mtu mwenye mawazo hayo ya bata tuu ndio shabiki wa upande wa pili. Dah hasara kubwa hii
 
Back
Top Bottom