Mabadiliko ya kweli yana gharama kubwa, yanahitaji mtu jasiri na mzalendo kweli kweli

Mabadiliko ya kweli yana gharama kubwa, yanahitaji mtu jasiri na mzalendo kweli kweli

Kuwa na adabu inayostahili unapomuongelea kiongozi wa nchi. Inashangaza kuona huu ndio Uhuru wa habari mnaoutaka
Mkuu heshima ya mtu haitokani na cheo chake au umri wake bali huduma yake kwa umma,Soma mwongozo wa ccm wa 1970.Hii ccm yenu mpya ni utopolo mtupu,mnalazimisha kuheshimiwa wakati mnafanya Mambo ya hovyo?
 
Safari hii upinzani umepata mtu makini na sahihi tena mwenye damu ya Kenya baada ya ile ya tza kumwagwa na magaidi area D, kila walilofanya baya kwa upinzani limewarudia mara 7 wanahaha miti yote imeteleza
 
"damu ya Kenya"
Safari hii upinzani umepata mtu makini na sahihi tena mwenye damu ya Kenya baada ya ile ya tza kumwagwa na magaidi area D, kila walilofanya baya kwa upinzani limewarudia mara 7 wanahaha miti yote imeteleza
 
Back
Top Bottom