Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuedit, acha fix, utakachofanya original post itabaki vilevile ila ss wewe kwenye kuniquote ndio utabadilisha.Nikiedit itakua kama nawafundisha ambao aalikua hawajui,jambo ambalo sio jema.
Ndio maana nikamwambia kuwa huwezi kuedit ile original post.Mtu akikuquote ndio anaweza kuedit sio ile original mfano hapo
Sasa hapo umeedit nini?? Mi nataka uedit original post, hizo za kuquote ni kitu cha kawaida as long as original post imesimama vilevile.Kama hivyo boss
Endelea kuamini unachokiamini,kumbe hukuelewa hata point yangu ni nini!Huwezi kuedit, acha fix, utakachofanya original post itabaki vilevile ila ss wewe kwenye kuniquote ndio utabadilisha.
Turejee Misri huku Kaanani mambo magumu!!! Ile ya zamani utafikri ndiyo mpya!!Hii impya big NO!!!Sasa hapo umeedit nini?? Mi nataka uedit original post, hizo za kuquote ni kitu cha kawaida as long as original post imesimama vilevile.
icho cha ku edit quote ndicho kinachoombwa kirekebishwe. Kumbe wewe hukuelewa kinachozungumziwa hapo.Sasa hapo umeedit nini?? Mi nataka uedit original post, hizo za kuquote ni kitu cha kawaida as long as original post imesimama vilevile.
Mkuu unataka nipigwe Ban?
Numekuruhusu jaribu kuedit hapo nione.Kama hivi