Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakosesha ata raha yani... Mods na Bwana Melo bring back our JF!JF kwa sasa mwonekano wake umekua kama blog fln hv. Haina tena mwonekano wa forum. Pitieni reddit au quora labda mnaweza pata idea.
Yaan ile radha ya forum imetoka kabisa hasahasa baada ya kuondoa forum listing kwenye landing page upande wa mobile.
Font size nayo duuh.
Mbona forum zipoWamechemka sana... Inakosesha ata raha yani... Mods na Bwana Melo bring back our JF!
Na kingine sisi ndo walaji na nadhani mmeshapata maoni, wengi wetu atujapenda maboresho yenu ya kipindi hiki!
Bonyeza juu kushoto mistari ile mitatu zitakuja forum zote utachaguaNataka kuona post, Niki click Recent thread zinaonekana za mwanzo za mbele sio, anajua
shida sio uwepo wa forum mkuu...Mbona forum zipo
Halafu jukwaa la siasa liwe hatariii🙄where we can login using genuine userID's.
Tusiogope..mambo yamebadilika si kama wakati ule wajinga wajinga wanaua watu werevu.Halafu jukwaa la siasa liwe hatariii🙄
Ukitoa maoni flani, kutekwa nje nje!!!
Ila hata saivi ukiamua kutumia majina yako halisi humu inawezekana tu. Kuna wanaofanya Hivyo.
Hata huko Fb, Twitter... siyo kila mtu anatumia real name
Is it possible to have different italic options from this new current one?Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
===== UPDATES======
Changes on the new version:
1) Kuna urahisi wa kufichua mambo mazito bila data zako zozote kuchukuliwa na bila post kwenda public kwanza (utaona button ya Fichua Uovu). Hii itasaidia hata wasio wanachama (baadae) kushiriki kikamilifu kupinga ufisadi na rushwa kwa ujumla.
2) Faragha ya mwanachama imelindwa zaidi, hakuna wa kujua wewe ni nani on JF bila wewe kumpa access ya kifaa chako (simu, tablet au pc). Tulipata vilio vya watu kuchunguliwa IDs tukaja na suluhu.
3) Unaweza kuchagua kutumia JF ikiwa light version, dark mode au dark blue mode (my favorite).
4) Maandishi ya sasa yanasomeka kirahisi zaidi na wenzetu wenye uoni hafifu. Wasioona kabisa lakini wana vifaa vya kusomea wataweza kuitumia JF kwa urahisi zaidi.
5) Soon kuna mambo mapya yanaanza kufanyika via JF, mabadiliko haya yamelenga kupokea yajayo kuanzia mwezi huu na kuendelea.
6) Ukiwa kwenye forum yoyote, huhitaji kubonyeza Page 2, Page 3, Page 4. Wewe vuta kwenda chini tu, mada zitakuja (scroll down).
Nitaendelea…