Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UkweliiiiiiiAu nasema uongo ndugu zangu?
Majina mabaya gani?Mbona unawaita majina mabaya ivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hawatoki na hawapigwi ban hao watu.Wazinzi na walevi ni tofauti na nyie mapunga,nyie mnaaibisha taifa
Patakuwa na vurugu. Hiyo option hapana.Kuwe na option ya kufuta Uzi kwa aleanzisha
Hapana.Hili nalo nakazia. Na ku edit kichwa cha post.
Ehehe Enaseketesha Sana Kwakweli [emoji1]Mnapofuta nyuzi muwe mnatoa na sababu juzi tu hapa nililalamikia wadada wanao inama kama ngamia wakiwa sita kwa sita badala ya kubinuka binu!..
Uzi ukafutwa sababu sikupewa!
Ahsante nanyinyi kwa ushirikiano wenu jf for life.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia inamsaidia msomaji kupata maelezo mazuri zaidi au msaada zaidi juu ya mada husika haraka mwanzo kabisa baada ya mada kuliko jibu la maana unalikuta kwenye cokent ya 800Nashauri,
Comment inayopata 'likes' nyingi, iwe juu. Maana yake comment lazima iwe imefurahisha au imeelimisha au kujibu kulingana na uzi wenyewe.
Hii itasaidia kuondoa kiherehere cha baadhi ya Members kukimbilia kuchukia nafasi, ambao huanzisha mzaha na hatimaye kuondoa maana nzima ya uzi husika. Utasikia, 'siti ya kwanza'.
Utadhani wanawahi viti vya Paradiso.
Bora wafanye inaonyesha android au iphone kidogo hii inapunguza makali kuliko kunitajia techno yangu hii kitu inaumiza Sana , unashindwa hata kuandika kitajiri (kuvimba)Hapa na mie nakazia, watoe hii hali sio nzuri. Wafute kabisaa.
Block ni udhaifuMbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Katika kitu kinaniudhi ni kumuignore mtu halafu bado naona post zake, inatakiwa hata wewe mmiliki wa jf nikikublock basi nisione hata kope yako hapa ikipepea.