Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Chukua ice cube ( vipande vidogo vya barafu) zamisha ukeni ndani kabisa mpk iguse kigololi (cervix) kisha vaa pedi kaa nayo fanya kazi zako mpk baada ya muda km 2 hours na kuendelea nenda chooni katoe . Papuchi itakuwa imeshajivuta kiasi kinachofuata ni kuosha chukua kipande cha ndimu weka na chumvi kdg sugua pembeni mwa papuchi mpk kwenye mashavu. Baada ya hapo Sasa zamisha kidole chako Cha Kati ukeni fanya km unatoa then tia Tena na kutoa huku ukijimiminia maji ya vuguvugu. Fanya hivyo wiki mara tatu itakusaidia sana kuwa na k mnato safi na isiyo na shombo. Hii njia naitumia sana hata km cjatoka kujifungua alinifundisha Bibi yangu na mpk Sasa niko vizur [emoji108]
 
Ila usiache kufanya iyo kegel exercises km kawaida utarud maumble Yako usihofu
 
Mambo?!....


Naombaaa
 
Wazo mubashara
 
Busara ni kitu cha bure

Nilijua wengi wenu ambao ni ' wapuuzi ' mngedhani kuwa ' nimezingua ' hapo ila watafuteni wale akina Mama au Wabibi wanaofanya Kazi za ' kuwafunda ' Dada zetu watawaelezeni kwa undani zaidi hiyo ' mbinu ' ya matumizi ya Chupa ya Bia niliyoitaja hapo. Ukikaa na akina Babu na Bibi utajua vingi mno ambavyo nyie mnaojiita ' Wasomi ' wa siku hizi hamvijui na si ajabu mnaweza msivijue hadi kufa kwenu.
 
Shemeji nae mpuuzi kweli sasa wakati anataka mtoto hakujua ilo.....anyway fanya hayo mazoezi
 
Ni umalaya TU wa mumeo, kuchepuka hakuhusian na size ya uke na kuzaa hakuongez size mi ni mwanaume Ila Nina mke na watto najua sana.
Don't jump into conclusion. ...kuna mambo mengi sana dunia hii ambayo sio lazima mistari hiyo michache ikaeleza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…