Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Chukua ice cube ( vipande vidogo vya barafu) zamisha ukeni ndani kabisa mpk iguse kigololi (cervix) kisha vaa pedi kaa nayo fanya kazi zako mpk baada ya muda km 2 hours na kuendelea nenda chooni katoe . Papuchi itakuwa imeshajivuta kiasi kinachofuata ni kuosha chukua kipande cha ndimu weka na chumvi kdg sugua pembeni mwa papuchi mpk kwenye mashavu. Baada ya hapo Sasa zamisha kidole chako Cha Kati ukeni fanya km unatoa then tia Tena na kutoa huku ukijimiminia maji ya vuguvugu. Fanya hivyo wiki mara tatu itakusaidia sana kuwa na k mnato safi na isiyo na shombo. Hii njia naitumia sana hata km cjatoka kujifungua alinifundisha Bibi yangu na mpk Sasa niko vizur [emoji108]
 
Ila usiache kufanya iyo kegel exercises km kawaida utarud maumble Yako usihofu
 
Chukua ice cube ( vipande vidogo vya barafu) zamisha ukeni ndani kabisa mpk iguse kigololi (cervix) kisha vaa pedi kaa nayo fanya kazi zako mpk baada ya muda km 2 hours na kuendelea nenda chooni katoe . Papuchi itakuwa imeshajivuta kiasi kinachofuata ni kuosha chukua kipande cha ndimu weka na chumvi kdg sugua pembeni mwa papuchi mpk kwenye mashavu. Baada ya hapo Sasa zamisha kidole chako Cha Kati ukeni fanya km unatoa then tia Tena na kutoa huku ukijimiminia maji ya vuguvugu. Fanya hivyo wiki mara tatu itakusaidia sana kuwa na k mnato safi na isiyo na shombo. Hii njia naitumia sana hata km cjatoka kujifungua alinifundisha Bibi yangu na mpk Sasa niko vizur [emoji108]
Mambo?!....


Naombaaa
 
Wanawake sisi huwa tunajiangaisha sana kudhani tunaweza kuitafuta furaha ya mwanaume kwa kupitia maumbile yetu,hii ndio sababu wanawake wengine hufikia mpaka kufanya matendo kinyume na maagizo ya M/Mungu, hebu tutulie tuangalie furaha yetu kwanza maana kama umejaaliwa kujifungua mtoto mzima mwenye Afya tele basi ni furaha tosha kuliko kuisubiria furaha ya mumeo,Michepuko kwa wanaume ni kipimo cha upumbavu wao
Wazo mubashara
Bidada;
Punguza mihemuko. Hakuna mwanamume mwenye akili timamu atachepuka kwa siku hizo chache ulizo kaa ulipojifungua. Hayupo. Ila, kwa sababu za kutojiamini kwako una mawazo kuwa atachepuka tu. Wapo wamama wenzio hujidhalilisha kwa waume zao hadi kutoa tigo ati aone tofauti. Nasema. punguza mihemko.
K hurudi vizuri tu hadi ushangae. Huna haja ya kuweka vitu humo ili ibane. Mwingine amekuambia ati Kalia majiya moto na chumvi, huogopi kuchubuka?? Wengine ati bana mkojo. Anayajua maumbile ya K au?? Utaubanaje mkojo?
Tulia, jitahidi usafi sana, Ikiwezekana ongeza ufundi wa mapenzi hata fikia kulamba koni hakikisha kuwa humnyimi usingizi kwa madai yaso na maana; Umechelewa wapi, umetoka wapi. Mbona leo umenuna, mbona sm yako iliita usiku ule etc. Nenda kwa maombi saana, sikuambii uende kanisani bali hapo hapo chumbani omba sana akusikie. Mwombee ulinzi na baraka. Atabadilika tu.
Swali chokonozi; Ulimpindua mwingine au ulimwibia mwingine kwenye uchumba??? Usiogope, weye ni maza hausi fulu. Mtoto wako mzima lakini?? Angalia usimletee mdogo wake mapema kwa hofu ya micheps isokuweko. Jipe moyo kuwa; Hao wengine wote "majizi tu" wewe ndo malkia
 
Busara ni kitu cha bure

Nilijua wengi wenu ambao ni ' wapuuzi ' mngedhani kuwa ' nimezingua ' hapo ila watafuteni wale akina Mama au Wabibi wanaofanya Kazi za ' kuwafunda ' Dada zetu watawaelezeni kwa undani zaidi hiyo ' mbinu ' ya matumizi ya Chupa ya Bia niliyoitaja hapo. Ukikaa na akina Babu na Bibi utajua vingi mno ambavyo nyie mnaojiita ' Wasomi ' wa siku hizi hamvijui na si ajabu mnaweza msivijue hadi kufa kwenu.
 
Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..

Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..

Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...

Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Shemeji nae mpuuzi kweli sasa wakati anataka mtoto hakujua ilo.....anyway fanya hayo mazoezi
 
Ni umalaya TU wa mumeo, kuchepuka hakuhusian na size ya uke na kuzaa hakuongez size mi ni mwanaume Ila Nina mke na watto najua sana.
Don't jump into conclusion. ...kuna mambo mengi sana dunia hii ambayo sio lazima mistari hiyo michache ikaeleza kila kitu
 
Back
Top Bottom