wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kwani bado wapo hawa. Si walishanunuliwa na tigo?Zantel wanaongoza kwa uonevu wamepunguza GB na siku za matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bado wapo hawa. Si walishanunuliwa na tigo?Zantel wanaongoza kwa uonevu wamepunguza GB na siku za matumizi
Katika vitu ambavyo halotel wanajibugisha ni hili walishaanza kupenya kwenye halopesa na mi nilianza kutuma na kupokea pesa sababu ya huduma hiyo sasa naona haina maanaWale wa mega bundle ya halopesa moto umewakaView attachment 1740081
Wananchi nao ndio tumewaendekezaViongozi wa afrika wengi hawana muda na kufanya maisha yenu yawe mepesi bali wao na familia zao na circle yao. Ukiona kafanya jema jua kalifanya kwasababu anataka kura yako
Mkuu hii Ni kweli? Au kwa kua Leo sikukuu yetu ile ya 1April1GB 9000/-
80% ya wananchi wao wanaona sawa tu. Asilimia chache ndiyo ina wauma.Wananchi nao ndio tumewaendekeza
Mbona hii ilitangazwa akiwa hai na aliyetangaza ni waziri aliyemteua yeye 😅😅😅Acha maisha yaendelee jasiri ameumaliza mwendo
Wine ile ile glass ndiyo mpya. Tegemea kulewa kwa kiwango kilele, na taste ile ile.sasa tupo serikali mpya ya awam ya sita, nadhani serikali yetu mpya chini ya rais wetu mpendwa lazma watapitia kwa upya swala hili.
Yawezekana huu sio mpango wa awam ya sita bali ulikuwa ni mpango wa awam ya tano.
Yah line ya chuo ninayo ila sijajua huo mchanganua wa MB500 za youtube zinakuwa zinatoka kwenye package hiyo hiyo ya 1GB au ni ka bonus kake kanako jitegemea nje ya hiyo GB1Mkuu mimi nimepata plan B kama unayo line ya chuo piga *148*55# kuna kifurushi cha 1500 gb 1 na nusu ila hizo mb 500 ni kwa YouTube pekee
😂 😂Mbona hii ilitangazwa akiwa hai na aliyetangaza ni waziri aliyemteua yeye 😅😅😅
Nje ya hiyo 1gbYah line ya chuo ninayo ila sijajua huo mchanganua wa MB500 za youtube zinakuwa zinatoka kwenye package hiyo hiyo ya 1GB au ni ka bonus kake kanako jitegemea nje ya hiyo GB1
Amekosea mara moja tu! Msiwe hivyoMfikilie = MFIKIRIE