Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Ulichoandika si kweli binadam tumetofautiana kila mmoja na roho yake na maamuzi yake.Wine ile ile glass ndiyo mpya. Tegemea kulewa kwa kiwango kilele, na taste ile ile.
Sio kila mtu/ kila kiongozi anahulka ya kutesa watu na kukomoa watu.