vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 865
Subiri kesho ndo utaona mabadilikoDuh! Sijui kitaminywa mpaka wapi
View attachment 1740228
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri kesho ndo utaona mabadilikoDuh! Sijui kitaminywa mpaka wapi
View attachment 1740228
Yamekua hovyoLakn hayati s alisema mambo yatakuwa poa au katangulia na mambo yamebadilika
😂😂😂😂tuache kucoment tuwe senior member hahahaMaskini weee bora yako ina calculator na unajua kuitumia,akina sie itageuka pango la wanyang'anyi😂😂😂😂
#nshavutachecker
#gamesJewelPuzzle
Halotel tushapata maumivu 3000Sitashangaa 1Gb kwa 2000Tsh
Jamani bado si mpaka tarehe 2Kubabeki wameshapandisha bei tayari [emoji3064]
Subiri kesho ndo utaona mabadiliko
uchumi wa kati huu acha tuzike social networks tuhamie viwandan kufanya kaz kwa bidiiMkuu 3000 tu
Ina depends na locationSpeed yake ikoje? Itatembea sana uwezakano wa kuzimaliza upo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]vice versa iz turuuWavute hivyo vya GB 1 viwe GB 2.
Yes wangu wasije wakapandisha Voda jamaniJamani bado si mpaka tarehe 2
Katika moja ya mitandao ambao sijawahi kutumia huu mwaka wa 12 ni vodaYes wangu wasije wakapandisha Voda jamani
Kwahiyo wewe ndo mjuvi kutuliko sisi tulioangalia na kukuta kuna mabadiliko ya bei?Vinaanza rasmi kesho leo ni siku ya wajinga
Tutawakumbuka wapinzan bungen kabisa wangelifanyia kaz hiliHalotel tushanyooshwa
😂😂😂😂tuache kucoment tuwe senior member hahaha
Voda nilihamia baada ya utopolo wa tigo🥺🥺Katika moja ya mitandao ambao sijwahi kutumia huu mwaka wa 12 ni voda
Numbisa itakuwaje sasa kwa series zetu za kikorea kwa hali hii?Maskini weee bora yako ina calculator na unajua kuitumia,akina sie itageuka pango la wanyang'anyi😂😂😂😂
#nshavutachecker
#gamesJewelPuzzle