Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,720
- 5,659
Na aende zake asirudi kamwe.hii yote ni kazi ya dikteta mwendazake,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na aende zake asirudi kamwe.hii yote ni kazi ya dikteta mwendazake,
Kubabeki wameshapandisha bei tayari 🥺Maniner zao ningejua jana ningejivika mabomu nijiunge cha mwezi😬
Kifurushi kipi?Wakuu huku halotel mi tayar washanikwaza
Maniner zao ningejua jana ningejivika mabomu nijiunge cha mwezi😬
Mkuu tafadhali weka screenshot ya hivyo vifurushi tuoneHalotel bye bye tukutane mbinguni. Yaani mmeondoa usiku pack kabisa sisi tunaoshusha series ngoja tuamie airtel GB10 usiku
Mkuu, UKOMOLO maana yake ni nini?Tigo wanatufanyia ukomolo.
Ni neno la NyasalandMkuu, UKOMOLO maana yake ni nini?
Namba 4Mkuu tafadhali weka screenshot ya hivyo vifurushi tuone
Shukrani sana bwana mkalimaniNi neno la Nyasaland
Lenye maana ya Limbwata
Mzee, mtafute Tom mrudi kuigiza katuni maana tumezimisa kinoma.Jamani wapi kuna nafuu mie wa halotel nataka kuchomoa betry yani kutoka 1gb mpka 400mb
Kudadadeki tumekwisha [emoji51][emoji51][emoji51]
Pambaf kabisa simu itageuka calculator zama hizi, tutajifunza kusoma vitabu😂😂😂😂😂😂😂 hata home ukipotea wala hatukuulizii shuain zao halotel wanatupoteza homie sweetie homiee
Halotel alikuwa mkombozi ila naona wameshatukatili sasa.Jamani wapi kuna nafuu mie wa halotel nataka kuchomoa betry yani kutoka 1gb mpka 400mb
Jiwe kaondoka safi sn mama tunakuaminKwa mjibu wa TCRA, mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021.
Pia mitandao itawatarifu watumiaji wake mabadiliko hayo.
Baadhi ya mitandao unachanganya taarifa hizo kwa mfano rejea hapa.
Vodacom Tanzania
Habari, kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi 02/04/2021.Endelea kufurahia huduma bora kutoka Mtandao Supa.Vigezo kuzingatiwa
Lakini baadhi ya mitandao imetoa taarifa tofauti.
Rejea hapa.
Halotel Tanzania
Mpendwa mteja, Taarifa ya mabadiliko ya vifurushi vyetu vyote kuanzia tarehe 01/04/2021. Piga *148*66# kujiunga vifurushi. Asante kwa kutumia Halotel!
Pambaf kabisa simu itageuka calculator zama hizi, tutajifunza kusoma vitabu😂
#homenitakuja
#kwakunyata
Speed yake ikoje? Itatembea sana uwezakano wa kuzimaliza upo?