Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama line yako yachuo sio ya mda mrefu kidogo pia ni tatizomimi ichi cha chuo kinasema, 800MB kwa 1500/-,
Kwani haya mambo si yote yamefanyika chini ya huyo hayati au haufatilii mambo? Ndungulile alishatoa muongozo, kinacho fanyika sasa ni utekelezaji tu.Dah tunaanza kumkumbuka hayati. Huyu mama anajua YouTube inavyokula bundle kweli?
Sialisema yeye ni rais wawanyonge? Au alimaanisha wale wasio na smartphone?Kwani haya mambo si yote yamefanyika chini ya huyo hayati au haufatilii mambo? Ndungulile alishatoa muongozo, kinacho fanyika sasa ni utekelezaji tu.
Sio huyo mwenda zake aliye tamamani malaika wazime mitandao? Kama hauelewi hiyo ndiyo namna ya 'kuizima' sasa, zinawekwa tariffs ambazo nyie 'wanyonge' hamta afford.
Halotel wameharibu balaa,ila afadhali yao nikilinganisha na Tigo...Nimeingia leo kujiunga kifurushi cha internet cha usiku chenye walau GB 5 mara paaah! Hakipo. Alafu wanajifanya kutuletea kifurushi kisichoisha muda kisicho na category ya internet pekee. Nimewavua thamani.
Baada ya mwezi kuisha utajiunga kwenye sauti ya kwanza kulia na 'wenzio' mkuu, ulichofanya ni kuahirisha msiba tu.Duh, jana nimefanya la maana sana kujiunga royal kabla ya mabadiliko. Tofauti ni kubwa sana
Kama line yako yachuo sio ya mda mrefu kidogo pia ni tatizoView attachment 1740118
Aliekuonea ni sirekali wala siyo Zantel,kwani wakati serekali inapitisha sheria hizi hukupata habari?Zantel wanaongoza kwa uonevu wamepunguza GB na siku za matumizi
KumbeMfikilie = MFIKIRIE
There you are bro!!Sialisema yeye ni rais wawanyonge? Au alimaanisha wale wasio na smartphone?
Halotel wameondoa kabisawafanye wafanyavyo ila mabando ya usiku tu wasipunguze
1GB kwa tshs 10,0001GB 9000/-