Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Poa poa
 
Mkuu hii ndiyo average sasa huyu jamaa wanawake anaowasemea huenda ni wale wa class flani hivi middle/high. Huwezi ukawa na Dem wa kawaida tu Au tuseme umemtongoza Dem wa low class ukatoboke kiasi chote hicho.
Ukitumia nyingi sana 30k kibaaria unakesha na mbususu mpk asubuhi una mpa yake 10k, nauli 5k, msos 5k guest 10k.
 
Ila mimi sihongi hela nyingi hivyo na mbususu nazitafuna.....jana nimelala na malaya mmoja mpaka asubuhi....yule malaya nikampa elfu kumi akaondoka....muda huo akaingia muhudumu wa kike kunisalimia nae pia nikampanga nikamla mbususu.....wanaume wenzangu huwa mnaferi wapi??
 
Ukiwa na akili za kuwekeza na kuzalisha pesa wanawake wanakufuata wenyewe tu sasa sijui unakwama wapi mangi?

Wanawake wanaokuja wenyewe wanakuelewa unawala kibaharia tu wala hawana gharama sana sasa we unaangamiza laki nzima mkuu haiko sawa badili mbinu! Ukijifanya fogo lazma upasuke tu.
 
Itakuwa mwamba Liverpool VPN anajifanya “Bonta Fogo“ mbele ya mademu yani papaa mipesa😆 hapo lazma achunwe kama buzi!
 
Hahahah malaya ndio wanaosema hizo lugha ila co-operate ladies wanaojielewa tunakulana ki cousin tu!

Show kali hamna kuuziana mbunye yani ni bill za misosi na vinywaji tu. Choose wisely!
 
Stop seeing a bag of cement in every money you make 😂!!!

If the money you make don’t solve your problems please eat that money 😂😂😂
 
Ulivyorahisisha sasa,kwa hiyo mkimaliza kufanya yenu,hakuna kifuta jasho,unampa 3000, atalipia uber basi?
Kifuta jasho kwani ulikuja kupasua magogo?..si umekuja kugugumia utamum..

Kidding
 
Baharia mwenzangu hili nililiona kitambo sana tangia kipindi napata mateso ya madeni yasiyo ya msingi. Juzi kati nilipanga na dem wa kiha aje Zenji ila nimekaa nikawaza nimtoe kwa gia gani ili asije kunitia gharama zisizo na maana.

Kwanza kinachonifanya nikatae kuhonga ni kuwaza wazazi wangu. Sijawatumia hata shilingi elfu 10 nikapata baraka nianze kutumia laki nikapata laana za milele.

Kuhonga nilikuwa nahonga sana ila kwasasa mademu wananikataa wananiita baghili.... Eti ukimpa elfu kumi haitaki anataka 30. Nimeamua kula vinono kwa mke wangu maana ukimpenda mke wako utamu ni uleule.
 
Wahuni wanafikiri kutoa hela nyingi ,ndo wataonekana ma gentleman
 
Ulivyorahisisha sasa,kwa hiyo mkimaliza kufanya yenu,hakuna kifuta jasho,unampa 3000, atalipia uber basi?
Ushanunuliwa chakula, usafiri go & return, na vocha ya 2000 , unataka ufutwe jasho tena kivp ..... km unauza weka na bei kabisa ijulikane
 
Umalaya una gharama sana bora kuhodhi mwanamke wako tu awe anakupea ukihitaji, kwa sie ambao tuna mahesabu makali umalaya kwetu ni mgumu sana kuutekeleza yani! I’ll just be straight with one girl tu.
Sure mkuu ,ukiwa na mahesabu makali, umalaya utauweka kando ....coz hawa viumbe wanajua kutunyoosha kwenye maswala ya pesa
 
Mkuu mwanamke utavomzoesha ndivo hivo atavokua. We endelea kuwaweka kwenye classes wakati akili zao sawa.

We hujawahi kuona pisi kali afu inamegwa na jamaa oya oya tu, au inamegwa na bodaboda asie na kitu wanahonga kina Liverpool VPN afu ye anakula free tu.
 
Sisi wengine ndiyo maana tunaoa tu. Huu umalaya umetushinda zamani sana.

Umalaya mtihani sana.
Ukweli ndio huu umalaya Ni kipaji ..yaan nimejitahidi kutongoza na hakuna anae nikataa lkn nalala mitini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…