Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kijana hawana grade hao shauri yako, we utaendelea kula makapi kwa kuogopa eti kuna grades. Mi nshawai kula manzi mkali kabisa kwa kipindi fulani for free kabisaa. Ambae we mpanga grades ukimuona utatumia mahela yako mengi, hadi sometimes girls wanawashangaa mnapotumia ela kiholela hata isipohitajika.Anazungumzia status ya mwanamke .
Kwamba kuna wanawake grade ya juu na grade ya chini ...hapo anakuona ww unawaweza grade ya chini
Unanunua nini mbadala???πNamie kununua K sipendi kichizi hata Evelyn Salt anaelewa π
Hahahah ntanunua Bia tu nipate stimUnanunua nini mbadala???π
Yaani ni kuinvest.Liverpool VPN muzee ya ndoa, sasa mbona ushauri unahang? Pesa unapeleka shamba nyg unapeleka wapi????
Sasa braza nimekutana na mbunye leo nataka kuila leo, Hapo unadhani Kuna kufagiliana na post and pre paid service?Ukiwa na akili za kuwekeza na kuzalisha pesa wanawake wanakufuata wenyewe tu sasa sijui unakwama wapi mangi?
Wanawake wanaokuja wenyewe wanakuelewa unawala kibaharia tu wala hawana gharama sana sasa we unaangamiza laki nzima mkuu haiko sawa badili mbinu! Ukijifanya fogo lazma upasuke tu.
Hahahahah ya leo una uhakika gani ni salama mzee au hata hutumiagi mizani ya SD BiolineSasa braza nimekutana na mbunye leo nataka kuila leo, Hapo unadhani Kuna kufagiliana na post and pre paid service?
#YNWA
Ndommm babu.Hahahahah ya leo una uhakika gani ni salama mzee au hata hutumiagi mizani ya SD Bioline
Hahahahah we jamaa hebu agiza Cafe-latte moja na kashata ya 200 bill kwanguπ !Kijana hawana grade hao shauri yako, we utaendelea kula makapi kwa kuogopa eti kuna grades. Mi nshawai kula manzi mkali kabisa kwa kipindi fulani for free kabisaa. Ambae we mpanga grades ukimuona utatumia mahela yako mengi, hadi sometimes girls wanawashangaa mnapotumia ela kiholela hata isipohitajika.
Ndo hapo mnaonekana kua mnataka kujionesha mna pesa na ndo mnapopofolewa sasa.
Kula k kula k brother, baada ya chakula, maji na oksijeni inafata mbususu.....Hahahah ntanunua Bia tu nipate stim
Sijakataa mbususu ila nimekataa kuuziwa haki yangu kiimaniπ !!!Kula k kula k brother, baada ya chakula, maji na oksijeni inafata mbususu.....
Kabla haujafikia kunywa na bakhresa sahivi unakunywa na nani? Kina mwajuma ndala ndefu???Yaani ni kuinvest.
Zikiwa nyingi una invest Tena Tena na tenaa.
Mpaka na wewe uingie kwenye list la mabilionea wa Mhe. Mwiguru.
Tunahitaji kunywa chai meza moja na Bhakresa.
#YNWA
Braza Kuna zile mbunye unakutana nazo leo, inatakiwa uzile leo fasta.Kijana hawana grade hao shauri yako, we utaendelea kula makapi kwa kuogopa eti kuna grades. Mi nshawai kula manzi mkali kabisa kwa kipindi fulani for free kabisaa. Ambae we mpanga grades ukimuona utatumia mahela yako mengi, hadi sometimes girls wanawashangaa mnapotumia ela kiholela hata isipohitajika.
Ndo hapo mnaonekana kua mnataka kujionesha mna pesa na ndo mnapopofolewa sasa.
Niko huku porini nakomaa men alone na dhiki zangu tu.Kabla haujafikia kunywa na bakhresa sahivi unakunywa na nani? Kina mwajuma ndala ndefu???
Halafu unadhani ile ni kuuziwa basii??? Ile huwa ni service charges πππSijakataa mbususu ila nimekataa kuuziwa haki yangu kiimaniπ !!!
We kaa huko porini hangaika ukirudi mjini utakutana na SISI tukaushe hela za shambaNiko huku porini nakomaa men alone na dhiki zangu tu.
#YNWA
Poa baharia. Tumekusikia siye vinega. Ila weye endelea kuwekeza huko kwenye ardhi. Siye vinega tutawekeza kwenye utamu wa mwili. Maisha ni mipango. Mtu afanye atakalo kutokana na satisfaction yake. Kila la kheriEeh bwana eeh it's me Mr. Liverpool again.
Mwenzenu nimekaa nikawazaa na kuwazua, nikaona dah "BAGOSHAAAA wanaume TUNANYONYWA SANAA"
Iko hivi.....
Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi na miti ya mbao.
Sasa bana, leo nimekaa nikawa napanga bajeti ya kuingia Shamba.
Maana huwa naingia Shamba mwisho wa mwaka kupanda miti (kuanza new season) na kuhudumia iliyopo Shamba.
Aisee kwa kuwa miti yangu imekua mikubwa basi inahitaji pesa ndefu kiasi kwenye huduma (Kilimo biashara)
Sasa nikawaza ""Huwa natombe* na kuhonga za nini hizi hela..!!???""
Kwa scenario hii, Hebu fikiria hizi losted financial resources...
Umemtongoza demu akakuelewa na kutaka kukupa mbunye.
Sasa tuseme umeamua kuwa low kwenye matumizi.
1. Soon atakuomba vocha ,5000
2. Utatuma nauli akufate lodge uliyopo mpate vinywaji na kula kwanza 50,000 (nauli + vinywaji + msosi)
3. Utalipia chumba 20,000
4. Mtanunua vya kwenda navyo chumbani (Vinywaji+condom) 10,000
5. Asubuhi mtaagana 30,000
Hii nimefanya minimum cost ile kikaizu zaidi.
Yaani kwa mbunye ya siku moja umeteketeza 115,000/=
Yaani umeteketeza...
1. Gharama ya kununua Eka 1 kijijini huko
2. Gharama ya kulima Eka 2 mpaka 4 (inategemea na location ya Shamba lako).
3. Gharama ya kupalilia Eka 3 za shamba
4. Gharama ya kupata viwalo vikali full kutoka kwa Fred Vunja bei.
Ila nikawaza ""si opportunity cost"" @ umeamua kupiga chini ku-investment na future yako kwa ajili ya utamu wa usiku mmoja (exchanging of satisfactions).
Dah, hivi kila mtu akikaa chini ajumlishe zile pesa alizohonga mwaka huu tu hivi hanunui TRACTOR kweli akalipeleka Ifakara au Chimala huko likamuingizie pesa?
Dah kuzaliwa mwanaume ni mateso Sana, kila mwanamke utakaye mtongozo atahitaji pesa zako..!!!
Dah mwenzenu mi nimeacha.
Ni mama zetu
Ni dada zetu
Ni shangazi zetu
Ni mabinti zetu
Ni maua yetu
.....ila WANAMALIZA SANA PESA.
Mi sitaki Tena kuhonga.
BORA PESA ZANGU NIZITUPIE HUKU TU πππ
View attachment 2000769
Masela A.K.A mabaharia hebu tutengeneze future zetu na ya vizazi vyetu.
Let's invest
Let's dig financial knowledge in our brains.
Maana pesa bila maarifa ya pesa HUYEYUKA FASTAAA.
Umalaya SIO DILI.
INVESTMENT is BETTER than BUSINESS
TUTAFUTE HELA ili TUWEKEZE na sio KULIA MBUNYE.
Nimeamua kujiunga na CHAMA CHA WANAUME MABAHIRI RASMINI.
KATIBU eeeh "NAOMBA KADI"
#YNWA
"Kujichanganya kwa wake za watu" hii ukimaanisha unamtokea demu anakubali kukupa mbususu na hujui kama ni mke wa mtu!?!Gharama na risk ya magonjwa jumlisha kujichanganya kwa wake za watu, upo guest unaibukiwa na kundi la masela ndo utajua hujui, uzinzi gharama sana.
Hiyo nkweiiiUsitafute sana maisha ukasahau kuishi!!