Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Chaguzi zao zitaamua hatma ya maisha yako
 
Si mpaka hiyo pisi kali ikubali kubeba mtoto wako sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeandika kama vile uamuzi wa kubeba mimba uko kwa mwanaume
Ili kulifanikisha hilo, lazima mbinu za kibaharia zitumike; lasivyo itakuwa ni kuchunwa mpaka mwisho bila kuweka alama yoyote.
 
Kuna wengine sasa hivi ni watu wazima na wanatoa maamuzi mazito, ila kwenye malezi walilelewa na mzazi mmoja; kwa hiyo, mengine huwa ni maneno tu sisi tunajitungia au tunaogopeshana.
 
Kweli kabisa🀣🀣🀣
 
Kweli kabisa🀣🀣🀣
Wanawake ukiona wanakubebea mimba ujue walishafanya kitaalamu kitu kinaitwa Economic and Financial analysis

Yupo radhi aendelee kudate na wewe hata miaka 5 (akiwa ameweka hivyo vimti) huku akiendelea kumtafuta mwenye vigezo vya kumbebea mimba
 
hahahahah,hao pisikali wanabamba zaid kwa show off za town ila pia vizinga vyao si haba tofaut na hawa ambao mimi nawapambania!
Kitu kizuri kinacho kufurahisha machoni, ni vizuri kukihudumia πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…