Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huyo mataga pori atakuchosha, hajui mambo madogo kama hayo kwasababu kutwa yuko busy na siasa za maji ya mtaroni.Dual citizenship haopo Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mataga pori atakuchosha, hajui mambo madogo kama hayo kwasababu kutwa yuko busy na siasa za maji ya mtaroni.Dual citizenship haopo Tz
JKMalamula yuko weak kama nani ?? 🤣🤣🤣
Amekuwaje waziri mtu mwenye dual citizenship kwani sheria zetu zinaruhusu. Ndio maana tunataka katiba mpya.Ana duo citizenship ya Nchi zao ndio maana hata hawamsikilizi
In my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.Baadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.
View attachment 1916760
Tunataka rais asiyevunja katiba na anayefuata sheria za nchi.Tanzania kila raisi mnampiga vita mnataka raisi wa aina gani ndugu zangu
Unamuona yupo sahihi kukemea dhuluma huku akichochea dhuluma!? Mfano demokrasia? Kukanyaga Katiba kuwa juu ya sheria Mama!?Tanzania kila raisi mnampiga vita mnataka raisi wa aina gani ndugu zangu
Huwezi kufahamu nchi yaendaje kwa kuhudhuria taratibu za mahakamani.Wadhamini wa Tanzania kwa mawazo yangu wanataka kujua hii nchi inaenda wapi. Hii ndiyo sababu ya kwenda mahakamani kwenye kesi ya Mbowe. Kabla ya kufanya maamuzi yao ambayo hata sisi hatuyajui wanapenda kuangalia nchi kwa mapana yake. Hawako pale kwasababu ya mbowe pekee Raisi Samia pia yuko mahakamani kwa mawazo yao na kesi ya mama Samia ni haki!.
Kwa hiyo kwenye hii awamu ya sita tuna Waziri ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania!!! Maana Katiba ya Nchi haitambui uwepo wa Uraia Pacha!Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Hauko sahihi hata kidogo.Wako sahihi kwa mujibu wa sheria,kuhudhuria kesi Mahakamani hawazuiwi maana hata ukisema wasiende bado zipo njia nyingi kufuatilia hili jambo na kuripoti kwenye Serikali zao.Kitu kibaya ni kama wakianza kutoa kauli juu ya hii kesi.In my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.
Their actions clearly show that there is something of great interest which they have to be summoned by the foreign ministry in order to seek clarification.
Is it to do with facilitating our democratising process?
Or is about mission went wrong regarding 2020 elections?
What is their stand and view of our country right now?
Have they got any options rather than attending court proceedings?
What is their objective?
And why ignoring our Foreign Office advice regarding their attendance to court which is contrary to their specific roles as diplomats in host country?
True, Kufanya kazi na CCM inahitaji moyo mkuu, Denmark 🇩🇰 wameamua kusepa!! Wamefungua njia...wengi watafuatia.Ndiyo maana Denmark wameona isiwe tabu. Kwa kweli tunatia aibu na ubambikaji wetu.
Wako sahihi kwa mujibu wa sheria zipi?Hauko sahihi hata kidogo.Wako sahihi kwa mujibu wa sheria,kuhudhuria kesi Mahakamani hawazuiwi maana hata ukisema wasiende bado zipo njia nyingi kufuatilia hili jambo na kuripoti kwenye Serikali zao.Kitu kibaya ni kama wakianza kutoa kauli juu ya hii kesi.
Ni kweli.Siyo kila mzungu ni balozi!
Weka ushahidi tuanze kushughulika naye.Kumtoa Profesa Kabudi alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi