Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

In my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.

Their actions clearly show that there is something of great interest which they have to be summoned by the foreign ministry in order to seek clarification.

Is it to do with facilitating our democratising process?

Or is about mission went wrong regarding 2020 elections?

What is their stand and view of our country right now?

Have they got any options rather than attending court proceedings?

What is their objective?

And why ignoring our Foreign Office advice regarding their attendance to court which is contrary to their specific roles as diplomats in host country?
They are not wrong at all.

Democracy gani unaiongelea hapa ?!. Hii ya mgombea moja kuwamiliki ma kamishina !! .
 
Wako sahihi kwa mujibu wa sheria zipi?

Wao kuwa na "diplomatic immunity" haimaanishi wavunje sheria za nchi mwenyeji.

Na kama wako sahihi kwa nini wizara iliwapa angalizo?
Mkuu Vienna Convention on Diplomatic Relations inawapa nguvu kuhudhuria hii kesi..

Kwenye uwanja wa Diplomasia kuna watu wako marked as International Actor(s) sasa mtu kama Mbowe ana fit kwenye hiyo International Actor ndiyo maana vyombo vya habari hata vya kidunia vinaripoti hii kesi hivyo kuvutia Dunia nzima kujua nini kinaendelea..

Wizara ya Mambo ya Nje ilipaswa sana kuishauri Serikali juu ya hii kesi..
 
Huwezi kufahamu nchi yaendaje kwa kuhudhuria taratibu za mahakamani.

Kuifahamu nchi kwa mapana yake kwa kutumia kesi ya Mbowe si lugha sahihi, kwani ofisi za mabalozi hao na wadau wote wa maendeleo wa kigeni zipo nchini miaka nenda rudi, hivyo tayari taarifa zote kuhusu nchi hii wanazo.

Kitendo cha kuwa wanatekeleza taratibu za kidiplomasia kwa kuwasiliana na serikali ya nchi mwenyeji kisha kusimama bega kwa bega na watuhumiwa mahakamani waona ni sahihi?

Yaani wangefanya hivyo kule Russia, au China?

Au sisi tungefanya hivyo kule Marekani au Canada au Uingereza?

Si mtu ungeanza kufuatiliwa una malengo gani dhidi ya nchi mwenyeji?

Kwani wanapowasilisha zile "credentials" kwa raisi zimeandikwa kuhusu kuingilia shughuli za kisiasa za nchi mwenyeji?

Haya ni masuali ambayo tukiweka ushabiki wa siasa pembeni twaweza kujiuliza kwa upande wa diplomasia.
Wasijihusishe na shughuli za kisiasa za nchi husika ok fine. Kumbe kesi ya Mh Mbowe umeikubali kuwa ni ya kisiasa???

Sasa wanaofadhili shughuli za siasa ktk ukuzaji wa demokrasia nchini ni hao hao usiotaka waelewe nn hasa kinachomkabili Kiongozi wa Chama cha Upinzani.
 
Mulamula wa ajabu sana. mmetangaza jamaa ni gaidi. Kesi ya kigaidi inaendeshwa katika mahakama kisha unawazuia watu wa kimataifa wasifuatilie au hajui magnitude ya neno ugaidi walidhani ni sawa na kesi ya kufumaniwa na mke/mume wa mtu?
 
In my view in diplomatic terms, unless there is something else regarding their asset, these diplomats are wrong on what they are doing in their host country.

Their actions clearly show that there is something of great interest which they have to be summoned by the foreign ministry in order to seek clarification.

Is it to do with facilitating our democratising process?

Or is about mission went wrong regarding 2020 elections?

What is their stand and view of our country right now?

Have they got any options rather than attending court proceedings?

What is their objective?

And why ignoring our Foreign Office advice regarding their attendance to court which is contrary to their specific roles as diplomats in host country?
It could well be that they sought consent of Mulamula!!
 
Mulamula wa ajabu sana. mmetangaza jamaa ni gaidi. Kesi ya kigaidi inaendeshwa katika mahakama kisha unawazuia watu wa kimataifa wasifuatilie au hajui magnitude ya neno ugaidi walidhani ni sawa na kesi ya kufumaniwa na mke/mume wa mtu?
Tuna viongozi wa hovyo sana nji hii!
 
Unaandikaga kama unajua uandikacho!! Uccm umekudumaza ubongo jiweke huru kiakili kichwa itoke kwenyebox yakijani
Kipindi Cha Magufuli waziri wa Nje akiwa Profesa Kabudi hakuna balozi alithubutu kudharau vienna Convention requirements .

Huyu mama Mulamula mwenye duo citizenship hawajali kabisa akiongea
 
Back
Top Bottom