Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mkuu usijustify ubovu wa benz kwa kigezo cha TransAfrica tu!

Yapi merkez anatumia MP4 8×4 kwa wingi sana kubeba vifusi ambapo body linajaa zaidi ya 20 cubic metres lakini ukiziona gari ni kama zimeingia nchini jana.

Tukirudi kwenye scania, umenishangaza sana mpaka sasa hujajua kuna scania L series 2017 model yenye paccar engine with 7L displacement? Usiniabishe bro! Wewe ni balozi ujue [emoji28][emoji28][emoji28]

Na hizo DAF unazozikubali zinatumia paccar engines ambazo ndiyo hizo hizo zilizoko kwenye kenworth na peterbilt! Ukiikubali daf lazima u'appreciate the power of American built engines mkuu!

IMG_1300.png
 
Brother t blj niliposema L series nilimaanisha hii hapa chini. Ila wewe ulikimbilia 4 series ndiyo maana ukajibu mwisho wake ulikuwa 2005!

Sasa haka kamdudu kanatumia 7L American built engine inayotoa up to 280hp ambayo previously 280 hp kwenye P series ilipatikana kwenye 9L.

Hebu wewe niambie ni American truck ipi iliwahi kutumia scania engine.View attachment 1765010
Hizi sijawahi ziona kwenye transit.

Labda ziwe zinasambaza bidhaa mijini.
 
yap
ni Dc 13 ile gari , engine yake bado ipo productiin pipeline to date , latest Dc 13 ina 540 hp.
bei yake haitofautiani sana na next generation scanai
Chief.

Kuna swali huwa najiuliza.

Kati ya kubeba dry cargo au fuel ipi rahisi? Yani haiumizi gari, inadumu muda mrefu?

Na ipi kati ya fuel inalipa haraka kwa mfanyabiashara, na hela inarudi kwa wakati?
 
Chief.

Kuna swali huwa najiuliza.

Kati ya kubeba dry cargo au fuel ipi rahisi? Yani haiumizi gari, inadumu muda mrefu?

Na ipi kati ya fuel inalipa haraka kwa mfanyabiashara, na hela inarudi kwa wakati?
fuel ni mzigo rahisi kuliko dry cargo kwa sababu kuna guarentee ya kurudi empty, ila nimkazi ambayo inatakiwa uwe na security za kutosha , na uwe na mtaji wa kutosha
kiufupi kazi za mafuta sio kwa masikini
 
fuel ni mzigo rahisi kuliko dry cargo kwa sababu kuna guarentee ya kurudi empty, ila nimkazi ambayo inatakiwa uwe na security za kutosha , na uwe na mtaji wa kutosha
kiufupi kazi za mafuta sio kwa masikini
Naomba unielezee kidogo.

Kwanini sio nzuri kwa masikini? Manake tender ni kusafirisha mafuta toka A kwenda B.

Na truckers wa bongo huwa wanapenda ipi? Dry cargo au Fuel?
 
Gari ya kichina Ni gari ya mapito Sana kwa watu wenye quick cash, kwa watu wenye kuijua hii biashara hawezi kuhangaika na gari ya kichina kwa sababu service life zake no kidogo sana, na mind you gari za kichina sio rahisi kivile .

Kwenye industry ya transportation chombo kuhudumu kwa muda mrefu Ni moja ya faida, majinja hajanunua basi mpya lakini anakwrnda Mbeya kiuhakika zaidi na kwa miaka mingi zaidi, kwa kutumia mtaji kidogo na inawezekana akawa na base kubwa ya wateja , kuliko basi nyingi za kichina kwa huko mbeya na sumbawanga,

Kukipambazuka watu watajua ni kiasi gani cha pesa na muda walipoteza kumiliki magari ya kichina


Sent
Unafikiri mchina hawezi kutengeneza gari ngumu ?
Business plan ya mchina ni kuteka soko la watu masokini duniani.
Bila mchina nauli zingekuwa juu sana, maisha yangekuwa magumu sana, boda bosa zingekuwepo watu wangekuwa wanatembea kwa miguu, baiskeli na mikokoteni ingetawala.
Mchina anajua kukopi kila kitu na kukifanya atakavyo.
 
Unafikiri mchina hawezi kutengeneza gari ngumu ?
Business plan ya mchina ni kuteka soko la watu masokini duniani.
Bila mchina nauli zingekuwa juu sana, maisha yangekuwa magumu sana, boda bosa zingekuwepo watu wangekuwa wanatembea kwa miguu, baiskeli na mikokoteni ingetawala.
Mchina anajua kukopi kila kitu na kukifanya atakavyo.
lini mchina ametengeneza kitu chochote kinachotunza thamani? sio gari tu niambie chochote kile , nina feni ya sanyo , nimezaliwa nimeikuta na hadi leo ipo nikitaka naiwasha napunga upepo , unazungumzia miaka 40+ na haijawahi kupelekwa kwa fundi,
unapozungumzia wachina kama msaada kwetu utakuwa unafeli sana , na nahisi hijawahi kukutana nao uone wanawaza kuhusu sisi , kiufupi sio msada kwetu na ilengonlao kubwa ni kutudumaza tuwe tegemezi kwao, ni ukoloni mbaya sana wana implement, kusgunda ule ukoloni wa mzungu ambao kulikuwa na exit plan.
mchina anakuuzia kitu kwa bei rahisi halafu hakidumu unajikuta kila siku u anunua yeye anapiga pesa ww unazidi kuwa masikini
 
lini mchina ametengeneza kitu chochote kinachotunza thamani? sio gari tu niambie chochote kile , nina feni ya sanyo , nimezaliwa nimeikuta na hadi leo ipo nikitaka naiwasha napunga upepo , unazungumzia miaka 40+ na haijawahi kupelekwa kwa fundi,
unapozungumzia wachina kama msaada kwetu utakuwa unafeli sana , na nahisi hijawahi kukutana nao uone wanawaza kuhusu sisi , kiufupi sio msada kwetu na ilengonlao kubwa ni kutudumaza tuwe tegemezi kwao, ni ukoloni mbaya sana wana implement, kusgunda ule ukoloni wa mzungu ambao kulikuwa na exit plan.
mchina anakuuzia kitu kwa bei rahisi halafu hakidumu unajikuta kila siku u anunua yeye anapiga pesa ww unazidi kuwa masikini
Mwambie huyo
 
Nilijishauaga siku moja nikatinga pale saab scania kuulizia bei ya malori. Niliondoka pale nikiwa najiuliza, hivi nilienda kuulizia bei ya malori au ndege. Ingawa wanatoa option ya financing ni bora mtu ujichangange ununue mtumba cash.
Dah!!! you made my day huwa nina shauku kubwa sana ya kujua bei za haya madude mkuu embu tupe kidogo bei hizo maana ukizikuta barabarani mfano zile xt model za asas na zile g series za world oil huwa najiuliza sana bei zake!!!!
 
Mkuu t blj najua American engines unazosema hazidumu, unazilinganisha na scania. Maana akina benz, iveco na hata volvo ulishawatoa kasoro.

Uliwahi kunibishia kuwa DAF XF ni imara na powerful kuliko Actros, wakati hiyo XF unayoikubali inatumia paccar engine from USA.

Kama haitoshi scania L series ambayo imeingia sokoni tangu 2017 kama sijakosea, inatumia American engine ambayo ni ndogo ila very very powerful.

Sasa wewe kama scania ambassador (just a joke bro [emoji4][emoji4]) kwanini msiendelee kutumia injini zenu zenye maisha marefu mkaamua kufata za marekani zenye maisha mafupi?
Huyu jamaa anapenda kweli Scania lakini hamna gari laini kama Scania tuache unazi Mswedeni gari zake hazitaki shida Volvo hizi Scania jamii ya R au G
 
mlima
nipo kwenye hiyo industry simaanishi upendeleo bali facts and only facts ,
tuliwahi kubishana hapa kuhusu merc benz , nataka nikwambie kwa njia ya songea waulize transafrica watakupa majibu, wamepigwa na expensive breakdowns za kutosha na hadi saa hii wameamua kununua fleets za howo 50 , no benz anymore.mind you benz zilikuww low milage trucks

habari za daf kuwa powerful sio za mtaan. zipo na zinaishi ukikutana na euro 5 au six daf utakuja kuhadithia
kuhusu scania kutumia american engine huo ni uzushi, scania haijawahi kuwa na engine options kutoka kwa mtengenezaji yoyote zaidi yao na ndio sababu alilikosa soko la america kutokana na misimamo huo , L series unayosemea ilitengenezwa kwa mara ya mwisho 2005 , baada ya hapo kukaja P R T &G series , hiyo L series ya mwaka 2017 haipo.

nikipata muda nitakupa link uone jinsi kampuni ya kijerumani ambayo ina miaka 86 ya haulage ku supply metal kwenye kiwanda cha kutengeneza magari ya benz.mwaka huu wameamua kutumia truks za vovlo fh750 pamoja na scania 770s , kufanya kazi hiyo , pia wameshinda kesi ya msingi ya fidia kwa benz , kwa kuwa truck zao hazikuwa reliable baada ya km 500,000 za mwanzo, demo volvo did 1000000 km , without breakdowns, the easy way outsmarting nealy all benz, terrain ni 620km ya milima mikali mixer snow.

so to build your next merc truck , material will be supplied by swedish volvo and scania in German territory.
Lakini mkuu embu niambie tuache unazi Scania gani inaweza kutia mguu kwa gari ya Kimarekani Intanation au Fretline Agosi kwa ugumu kwa mbio hata kwa kudumu
 
Lakini mkuu embu niambie tuache unazi Scania gani inaweza kutia mguu kwa gari ya Kimarekani Intanation au Fretline Agosi kwa ugumu kwa mbio hata kwa kudumu
swali lako lingekuwa zuri zaidi kama haya ungenitajia ni engine ipi ya kimarekani unataka kuilinganisha na engine ipi ya scania.
lakini nataka nikupe clue tu kuwa americans , never runs heavy.
 
Huyu jamaa anapenda kweli Scania lakini hamna gari laini kama Scania tuache unazi Mswedeni gari zake hazitaki shida Volvo hizi Scania jamii ya R au G
kaa hapo morogoro road , im sure utaona 113 tele nyingi zimebeba mbao, mara ya mwisho gari hizi zilitengenezwa kiwandani mwaka 1995, unazungumzia 26+.ya maisha .

lakini pia lengo la majadiliano kama haya, ni kujulishana tu wapi mtu aweke pesa zake in case anataka kufanya biashara hii, hujakatazwa unaweza ukaweka kwenye benz, stralis etc , ili uje utoe ushuhuda hapa na watu wajifunze ,
 
Dah!!! you made my day huwa nina shauku kubwa sana ya kujua bei za haya madude mkuu embu tupe kidogo bei hizo maana ukizikuta barabarani mfano zile xt model za asas na zile g series za world oil huwa najiuliza sana bei zake!!!!
Kuanzia usd $100,000 lakini pia kuna costs nyingine. Mind hiyo ni tractor tu, utahitaji attachments kutegemeana na kazi unayotaka kufanya. Utaona kabisa huo uwekezaji kwa mchumia tumbo wa kawaida ni almost na 'myth' kwake.
 
lini mchina ametengeneza kitu chochote kinachotunza thamani? sio gari tu niambie chochote kile , nina feni ya sanyo , nimezaliwa nimeikuta na hadi leo ipo nikitaka naiwasha napunga upepo , unazungumzia miaka 40+ na haijawahi kupelekwa kwa fundi,
unapozungumzia wachina kama msaada kwetu utakuwa unafeli sana , na nahisi hijawahi kukutana nao uone wanawaza kuhusu sisi , kiufupi sio msada kwetu na ilengonlao kubwa ni kutudumaza tuwe tegemezi kwao, ni ukoloni mbaya sana wana implement, kusgunda ule ukoloni wa mzungu ambao kulikuwa na exit plan.
mchina anakuuzia kitu kwa bei rahisi halafu hakidumu unajikuta kila siku u anunua yeye anapiga pesa ww unazidi kuwa masikini
Kanunue vitu vya mtumba kutoka ualaya vilivyozalishwa China ndio utajua.
Kuna baiskeli ya mtumba nilinunua ilikuwa made in china ilikuwa chuma cha pua. Nimekwambia business plan ya mchina ni kuuzia watu masikini.
Sasa akiunda vitu kama vya ulaya hao nasikini watapata wapi mahitaji.
Mi naipenda model ya wachina ya kutatua changamoto za masikini wasio na pesa ya kumudu vitu OG. Kama unahela kanunue vya mjerumani.
Mchina ndio mwenye teknolojia ya 5G. UK, Germny nk wemengia mikataba kufungiwa hio mitambo, kwa hio wazungu hawajui kama mchina anavitu fake?
 
Kanunue vitu vya mtumba kutoka ualaya vilivyozalishwa China ndio utajua.
Kuna baiskeli ya mtumba nilinunua ilikuwa made in china ilikuwa chuma cha pua. Nimekwambia business plan ya mchina ni kuuzia watu masikini.
Sasa akiunda vitu kama vya ulaya hao nasikini watapata wapi mahitaji.
Mi naipenda model ya wachina ya kutatua changamoto za masikini wasio na pesa ya kumudu vitu OG. Kama unahela kanunue vya mjerumani.
Mchina ndio mwenye teknolojia ya 5G. UK, Germny nk wemengia mikataba kufungiwa hio mitambo, kwa hio wazungu hawajui kama mchina anavitu fake?
umezungumzia scenario mbili tofauti kabisa
mimi nazungumza habari ya ubaya wa mchina nikiwa namtumbo , wewe unaniambaia nikitaka kuona uzuri wa mchina niende silcon valley, kweli tupo kwenye jukwaa moja?
ili nijiuwe mchina ni mzuri kwa nn asilete products nzuri nikiwa hapa hapa namtumbo?
 
umezungumzia scenario mbili tofauti kabisa
mimi nazungumza habari ya ubaya wa mchina nikiwa namtumbo , wewe unaniambaia nikitaka kuona uzuri wa mchina niende silcon valley, kweli tupo kwenye jukwaa moja?
ili nijiuwe mchina ni mzuri kwa nn asilete products nzuri nikiwa hapa hapa namtumbo?
Tatizo bei..

Pikipiki mfano ya haojue cc150 ama 125 uuziwe milioni 6/5 inakuwaje hapo, je bodaboda tungepanda nauli kwa shilingi ngapi!?

Ndio nilichomuelewa mwamba hapo juu.
 
Back
Top Bottom