glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Mpaka uwe una safari za kanda ya ziwa ndo utaelewa[emoji3]Hata sielewi kitu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka uwe una safari za kanda ya ziwa ndo utaelewa[emoji3]Hata sielewi kitu hapa.
Travellers partinerTutajieni zinazoenda mwendo wa kobe mimi hizo za ligi hapana kwakweli
Saa zingine ni abiria undercover wamefanya yao! Msizarau sana abiria wanaopanda ma bus, wengine ni vitengo lakini wako kimya Kama wakuja flani hivi!!Watakuwa wamechomwa hao.
abood nyehunge isamilo. happy nationTutajieni zinazoenda mwendo wa kobe mimi hizo za ligi hapana kwakweli
bora travel patners utawah lakn sio kureed hanterTravellers partiner
Yan wenzio walifuka saa 4 usiku yenyewe kwenye saa 9 kuelekea 10 alfajiri
No hurry yan
Mwendo wa ngiri mkia juu😁😁😁😁Ila ukichungiza asilimia 98 ya abiria wanapenda mwendo mchibuyu fulu mambio ndio man hujasikia raia wamelalamika[emoji1787][emoji1787]
Happy nation anakimbia kwa akiliWanazi wamechangia sana ile mikeka imefanya madereva wakimbize sana hayo mabasi
Ila ligi yao tamu sana
Kwenye ligi la mabio wapo Happy Nation na Frester vipi wao hawajapigwa ban kuanza safari mida hiyo
Angalia Mwanza leo nani kaingia wakwanza na wapili, Katarama sema uscania ndio unambeba kama sauli, wanazi wapiga kelele wakianza kupoteana wanakaa pembeniUjio wa katarama unampa shida kubwa ally's ndiyo maana kila kukicha latra wamekuwa mstari wa mbele kumsaidia ally's na kipigo cha kuisoma namba....
Katarama ndiyo chaguo la watu wa mwanza inajulikana sasa iweje latra inawauma ?
Unazi kwani ameshamuacha Ally's kwa dakika hata 10 huo uscania hauna maana kwa dragons na higer tuLigi imemshinds ndiyo maana ameenda latra kubadilishiwa muda WA kutoka kumbuka hii yote ni janja ya nyani Tu.
Usifiri latra latra wapo neutral Bali ni mbinu za ally's ili wasiachwe nyuma
scania kaja kumtoa jasho madragonUnazi kwani ameshamuacha Ally's kwa dakika hata 10 huo uscania hauna maana kwa dragons na higer tu
ndo nayataka hayoTravellers partiner
Yan wenzio walifuka saa 4 usiku yenyewe kwenye saa 9 kuelekea 10 alfajiri
No hurry yan
mabas yanapishan dak mbili tatu sasa hapo ndo ligi gan?Angalia Mwanza leo nani kaingia wakwanza na wapili, Katarama sema uscania ndio unambeba kama sauli, wanazi wapiga kelele wakianza kupoteana wanakaa pembeni
Hawezi kujilinganisha na Ally's mwenye mabasi ya kutosha na madereva wajuzi, machage kahamia katarama lakini wapi na bado happy nation anasumbua katarama wenu
Hatari mwanawaneHao frester na happy nation ni sawa na championship. Ally's na Katarama ndio EPL yaani ligi ya wakubwa na ukizingatia Katarama ndio kapanda daraja lakini anasumbua.
huyu simsikii tena aisee, niliwahi panda 2020, ndani kama ndegeTungi's
Uzuri hawapati ajali.Wanazi wamechangia sana ile mikeka imefanya madereva wakimbize sana hayo mabasi
Ila ligi yao tamu sana
Kwenye ligi la mabio wapo Happy Nation na Frester vipi wao hawajapigwa ban kuanza safari mida hiyo
Ila Happy Nation alikuja kwa kasi sana siku za mwanzo alikuwa top pale kwenye mikeka kumbe Dragon na G7 wanamchora tu. Saivi kapunguza mabioHappy nation anakimbia kwa akili
yeye hawekew ligi na wanazi
anakaa pale nafas ya 3