Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaterAngalia Mwanza leo nani kaingia wakwanza na wapili, Katarama sema uscania ndio unambeba kama sauli, wanazi wapiga kelele wakianza kupoteana wanakaa pembeni
Hawezi kujilinganisha na Ally's mwenye mabasi ya kutosha na madereva wajuzi, machage kahamia katarama lakini wapi na bado happy nation anasumbua katarama wenu
LATRA wamezingua sana. Cha muhimu ajali hazitokei sikuona sababu ya kukatazaUzuri hawapati ajali.
Latra walegeze bana, nchi yetu si ya kutembea mchana tu.
Ligi ilifikia patamu sana
Bado sana mtu anabasi manne Dar to Mwanza na bado yupo nondo, ni ushabiki tuscania kaja kumtoa jasho madragon
Ila kwa wapenzi wa hayo mabasi bado wataendelea yasubiri.LATRA wamezingua sana. Cha muhimu ajali hazitokei sikuona sababu ya kukataza
Alipotea kwa kuendekeza kelele za wanazi kama katarama, bado mapya na tuwape muda watasadiki tuhuyu simsikii tena aisee, niliwahi panda 2020, ndani kama ndege
Inaelekea kuwa hivyoIla kwa wapenzi wa hayo mabasi bado wataendelea yasubiri.
Hao wengine watakosa masoko vile vile.
Hapo imefanyika kufungia basi zote. Ila watalalamika kwa Sagini watafunguliwa
Ndo ushangae sasamabas yanapishan dak mbili tatu sasa hapo ndo ligi gan?
Bado wapo ruti ya Dar to Kahama na Dar Tabora na anatumia rangi kama ya happy nationHawa wahuni wa KISBO Wameenda wapi hivi waku
Kwanza wanatakiwa waache watu wasafiri masaa 24 mtu aondoke muda wowoteInaelekea kuwa hivyo
Wanazi sio watu wazuri wanakujaza ukianza kupoteana wanahamia kwengine. Ni kama sasa hivi Sauli anavyokusanya wanaziAlipotea kwa kuendekeza kelele za wanazi kama katarama, bado mapya na tuwape muda watasadiki tu
Kuna siku nilipanda scania yao ile wale vijana ni wahovyo sana dereva na Konda na zaidi hadi abiria wa siku hiyo wote walikua ni wa hovyo.. basi lilikua linakimbia nikajisemea mama yangu mama yangu sijui kama nitafika salamaBado wapo ruti ya Dar to Kahama na Dar Tabora na anatumia rangi kama ya happy nation
Bongo tunajichelewesha sana kimaendeleo kwa sheria zisizo na mantikiKwanza wanatakiwa waache watu wasafiri masaa 24 mtu aondoke muda wowote
saiv anawakimbiz kama leo kwend mwanz happy nd kawakalishaIla Happy Nation alikuja kwa kasi sana siku za mwanzo alikuwa top pale kwenye mikeka kumbe Dragon na G7 wanamchora tu. Saivi kapunguza mabio
Sijauona mkeka wa leo nitachekisaiv anawakimbiz kama leo kwend mwanz happy nd kawakalisha
}wanasema hawajawahi kuliona scania gemilan 7Katarama imekuwa ikipata saluti ya kumwagiwa maji kila inapowahi kuwasili katika mkoa mmoja ulioko katika barabara iendayo mwanza/kahama. Mashabiki wanayashangilia sana wakiyashindanisha na ally's. Hii katarama ni kampuni mpya ya mabasi iliyojipatia umaarufu kwa muda mfupi ikiacha mabasi kama nyehunge, esther, super najumunisa, kisbo, isamilo, happy nation, abood, kidia na mengine mengi yanayofanya safari zake dar kwenda mikoa ya kanda ya ziwa