Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Ko mpaka ajali itokee wafe watu 50 akiwemo shangazi yako ndio Latra waingilie kqti?LATRA wamezingua sana. Cha muhimu ajali hazitokei sikuona sababu ya kukataza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko mpaka ajali itokee wafe watu 50 akiwemo shangazi yako ndio Latra waingilie kqti?LATRA wamezingua sana. Cha muhimu ajali hazitokei sikuona sababu ya kukataza
Hata wakiambiwa watembee saa 2 asubuhi bado ligi yao itaendelea hivo hivo, watu wanapenda ligiDar Mwanza basi zote Ally's,Katarama,Happy Nation,Isamilo n,k madereva ni wawili.
Siungi mkono LATRA kuzuia,ila hii ligi ya Ally's Vs Katarama ni ngumu, iamuliwe mapema kwa namna nyingine na sio kuzuia kutoka saa tisa.
Daah umeongea kitaalam Sana hapaHao frester na happy nation ni sawa na championship. Ally's na Katarama ndio EPL yaani ligi ya wakubwa na ukizingatia Katarama ndio kapanda daraja lakini anasumbua.
LATRA wamezingua sana. Cha muhimu ajali hazitokei sikuona sababu ya kukataza
Katarama gari chache lakini mbishi,Scania kakataa dharau kwa mchina.Hata wakiambiwa watembee saa 2 asubuhi bado ligi yao itaendelea hivo hivo, watu wanapenda ligi
Yule jamaa akiongeza akawa ma scania 6 anakuwa kamaliza kesi.Katarama gari chache lakini mbishi,Scania kakataa dharau kwa mchina.
Huu ulimbukeni ulikuwa umetamalaki sana miaka ya 1980 barabara ya Arusha to Dar. Kumbe mpaka sasa kuna wajinga wanashabikia? Kweli dunia kubwa.Ligi imemshinds ndiyo maana ameenda latra kubadilishiwa muda WA kutoka kumbuka hii yote ni janja ya nyani Tu.
Usifiri latra latra wapo neutral Bali ni mbinu za ally's ili wasiachwe nyuma
Ajali zipo tu mkuuWako proactive na sio reactive.
Wanachukua tahadhari kabla ya hatari.
Kinga ni bora kuliko tiba.
Wakisubiri ajali itokee maana yake watu wafe au wapate ulemavu wa kudumu ndipo wachukue hatua?, je itasaidia nini sasa?!
usiku kwa usiku babake akuna kudozi.Yule jamaa akiongeza akawa ma scania 6 anakuwa kamaliza kesi.
Ila service yanafanyiwa muda gani?
Duh aiseeh.!Ikitokea ajali lawama zote kwa serikali kisa wapuuzi wachache wanaobet daah
Panda zuberi , kuna mnyama osaca , kuna isamilo ,Tutajieni zinazoenda mwendo wa kobe mimi hizo za ligi hapana kwakweli
Wanajiita wanazi....Sasa itakuwaje kwa wazee wa kubeti!!
Acha ushabiki ukiangalia mikeka mingi allys ndo wa kwanzaUjio wa katarama unampa shida kubwa ally's ndiyo maana kila kukicha latra wamekuwa mstari wa mbele kumsaidia ally's na kipigo cha kuisoma namba....
Katarama ndiyo chaguo la watu wa mwanza inajulikana sasa iweje latra inawauma ?
Acha ujinga na ushabiki, mtu ana gari nyingi ahangaike na mtu mwenye gari 3!!Ligi imemshinds ndiyo maana ameenda latra kubadilishiwa muda WA kutoka kumbuka hii yote ni janja ya nyani Tu.
Usifiri latra latra wapo neutral Bali ni mbinu za ally's ili wasiachwe nyuma