Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Hii ligi huwa inanishangaza kitu kimoja tu, hizo katarama ukikuta wanazi wanavozifia alafu kaangalie mikeka sasa utashangaa mwenyewe.

Yaani kwenye mikeka ni tofauti na wanavozisifia,

Mikeka ya mwezi mzima ally's ndo huwa inafungua geti mara nyingi kuliko gari zote ila sasa wanazi wakute wanasifia katarama!

Kuna jamaa anasema katarama anafika dodoma saa 3 asubui kama vile ni jambo la ajabu!! Wakati hao wote wanatoka saa 9 usiku dodoma wanapitaga wote saa 3
Labda kwa sababu katarama ni mbantu na ally's mwarabu...kwa io wabantu wanamsapoti ndugu yao.
 
Tatizo ni kuwa Tanzania kuna uzembe mwingi ,dereva mmoja hawezi kuendesha umbali huo wote pasipo kuchoka.Na wamiliki wa mabasi hawataki kuajili madereva 2 kwa kila basi.
Hela yote itaishia kwenye mafuta na mishahara ya madeva na makondakta na service tajiri hatapata faida
 
Hii ligi huwa inanishangaza kitu kimoja tu, hizo katarama ukikuta wanazi wanavozifia alafu kaangalie mikeka sasa utashangaa mwenyewe.

Yaani kwenye mikeka ni tofauti na wanavozisifia,

Mikeka ya mwezi mzima ally's ndo huwa inafungua geti mara nyingi kuliko gari zote ila sasa wanazi wakute wanasifia katarama!

Kuna jamaa anasema katarama anafika dodoma saa 3 asubui kama vile ni jambo la ajabu!! Wakati hao wote wanatoka saa 9 usiku dodoma wanapitaga wote saa 3
Muda mwingine unakuta amepigwa tatu mzuka kabisa na gape la kutosha
 
Mm nnashindwa kupata connection ya kubet na kutoka saa 9. Hawa LATRA wamekurupuka tu. Haya mabasi ya saa 9 yamekua ndio kimbilio la wengi maana mtu unafika mapema na kunakua hakuna uchovu ukilinganisha na bus za kutoka saa 12 asubuhi.

Watuachie mabus yetu ya usiku, watafute namna nyingine ya kuzuia hayo mambo ya kubet
 
Anayenunua Mchina tatu badala ya Polo moja ndiye mwenye akili ya biashara

Si umeona kampuni kongwe kama Abood na Shabiby wamehama kutoka Scania Marcopolo na Volvo sasa hivi ni mwendo wa Yutong
Ila anayechukua hizo gari ana uhakika wa kukaa nazo miaka mingi kwa ruti ndefu.

Angalia Kilimanjaro, Abood, Dar Ex bado wana Scania zao numero A
 
Allys ana gari nyingi sana na zilizofungiwa ni ebf 3 na dxs 3 bado kuna farsi weupe EBG, kuna EBU,DVA sasa huyo katarama ana gari tatu zote zimepigwa ban
Mbona umekasirika sana na watumia nguvu kubishana?
 
Bora yamefungiwa maana mwendo wao ulikuwa ni wa hatari kuliko hatari yenyewe......huwa nashangaa nikiona watu wakifurahia mwendokasi na kuwekeana mpaka pesa kwa ajili ya mshindi....
Mwendo hatari wakati wanafata mwendo wa kisheria ambao ni 85 max
 
Ujio wa katarama unampa shida kubwa ally's ndiyo maana kila kukicha latra wamekuwa mstari wa mbele kumsaidia ally's na kipigo cha kuisoma namba....
Katarama ndiyo chaguo la watu wa mwanza inajulikana sasa iweje latra inawauma ?
Hawata weza kama ipo ipo tu
 
Anayenunua Mchina tatu badala ya Polo moja ndiye mwenye akili ya biashara

Si umeona kampuni kongwe kama Abood na Shabiby wamehama kutoka Scania Marcopolo na Volvo sasa hivi ni mwendo wa Yutong
unamzunguziaje Superfeo ambae ni mkongwe kwenye hii biashara na kaachana na mchina na kurudi Scania?
 
Sababu ni wapumbavu , hawajui thamani ya maisha na viungo vya miili yao.
Kwani chanzo cha ajali huwa ni mwendo kasi tu au kuna sababu nyingine na kunaumuhimu gani wa gari kutengeneza speed ya 240, 180 au 360?
Tatizo tunaficha ukweli na tunaendekeza siasa kwenye mambo ya msingi hivi serikali haiwezi kumaliza reli ili kuleta unafuu wa usafirishaji hasa mizigo huku ukipunguza msongamano wa maroli barabarani, pia kutanua barabara toka Dar hata Dodoma tu ili kupunguza msongamano, kutunga sheria kali kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri na kuondoa sheria za hovyo kama vibao vya 50 highways
 
Hujaja kwenye ligi ya Dar-Mbeya-Tunduma. Golden deer baba lao chuma saa 12 kasoro jioni inasoma stendi Uyole.

Wanazi wanazingua kupost hizo clips mitandaoni.
kaka upo nyuma ya mdaa.. saiz new force ya TDM inapita mbeya saa 11 kasoro yaan ukikaa high way saa 10;40 unaiona inapta ikifwatiwa na golden deer...
 
Mi naona nchi hii wanyonge tunaonewa tena sana. Haya Bandari mmeuza tunajifariji na ligi zetu pendwa hizi mnasimamisha
Mbona Raisi anakwenda speed na sie hatumsimamishi?
Tumewaachia mambo yenu msitunyanyase kwenye mambo yetu
 
Back
Top Bottom