Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Wenye magari wanafaidika na nini katika hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye magari wanafaidika na nini katika hilo?
MchinaYupi atarudisha pesa kwa haraka kati ya hao?
Wanafaidika kupitia matangazo yatokanayo na hizo ligiWenye magari wanafaidika na nini katika hilo?
Nimekuwa Nikisafiri na Ally's star mara nyingi, madereva nimekuwa nikiona wawili. Kuna dereva mmoja anaitwa Shaban, ni namba chafu yule jamaa. Alishika usukani kuanzia igunga hadi dar. Yule jamaa anataka kuona gape tu mbele yake, yaani anayala magari yaliyo mbele yake, anazikata semi hadi sita, yaani anataka mbele pawe peupe, kosa aone kuna gari, itatafutwa hadi iliwe. Hadi anajikuta basi za mwanza-dar kazimaliza, inabaki kuwasulubu hawa wengine. Jamaa control zimelalaHuwa wanabadilishana manyoni
Unavyosifia inafurahisha kusoma ila balaa lake hizo control zikigoma sio la nchi hii!Nimekuwa Nikisafiri na Ally's star mara nyingi, madereva nimekuwa nikiona wawili. Kuna dereva mmoja anaitwa Shaban, ni namba chafu yule jamaa. Alishika usukani kuanzia igunga hadi dar. Yule jamaa anataka kuona gape tu mbele yake, yaani anayala magari yaliyo mbele yake, anazikata semi hadi sita, yaani anataka mbele pawe peupe, kosa aone kuna gari, itatafutwa hadi iliwe. Hadi anajikuta basi za mwanza-dar kazimaliza, inabaki kuwasulubu hawa wengine. Jamaa control zimelala
Mkuu hio kitu Ni ngumu Sana kwa Hawa police wetu maana Kuna siku nilitoka Dom saa 12 nafika Moshi saa 5 yule mbwa alitaka tuua na kote police walikuwepopolisi iweke check point moro dom tabora shinganya na kuwe na muda wakufika hapo sio kufungiwa ata saa 12 bado wanakimbia mnoo
Mkuu sio siri, napenda kwakuwa udereva ni passion pia kwangu. Madhara yapo na sio ya kuobea kabisa yatokeeUnavyosifia inafurahisha kusoma ila balaa lake hizo control zikigoma sio la nchi hii!
kabisa ni kuchosha gari.Anaua gari sasa, service za haraka nanma hiyo sidhani kama zinafanyika kwa viwango sahihi.
iyo katarana inagonga masaa mawili nanusu dar mpk pal moro msamvu asee
HaswaaaaaSpidi zs gari zimrwekwa sio.mapambo tu inatakiwa zitumike.
Ally star na Katarama walikuwa wanazitendea haki spidi za gari
Watu wanataka kuwahi kufika waendako
Binafsi sipendi basi kinslotembea taratibu napenda linalokimbia sana
Weka hapa ushahidi wa kuonekana ili tuamini. Kama hakuna ushahidi hakuna njia unaweza tumia nikakuaminiAlly's mpika majungu tuu 🤠🤠🤠, katarama ni balaa ile 😂😂😂 ingekua kama sio vile vidubuasha vyao vya speed katarama saa 2:30 angekua amepaki nyegezi
Sasa itakuwaje kwa wazee wa kubeti!!
Ni mazuri kidogo kikuonekanoww panda Najimunisa au Zuberi
Spidi zs gari zimrwekwa sio.mapambo tu inatakiwa zitumike.
Ally star na Katarama walikuwa wanazitendea haki spidi za gari
Hapo kwa Najmunisa utajutia hadi unafika. Zuberi, travel partner, isamilo na nyehunge mpango mzima kwa wewe wa kunyata. Sisi tunabaki humu.Ni mazuri kidogo kikuonekano
NdioHizo barabara za kukimbia spidi zote ndio hizi hizi?
Kilimanjaro Namba A nimekutana nayo Sam Nujoma asubuhi saa nne sijui imetoka Tanga au Moshi, ngoma kama mpya.Ila anayechukua hizo gari ana uhakika wa kukaa nazo miaka mingi kwa ruti ndefu.
Angalia Kilimanjaro, Abood, Dar Ex bado wana Scania zao numero A