Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Hata hapo imechelewa dar Moro ni dakika 90 mpaka 100 tuu

Hakuna basi linaloweza kutumia dk 90, Dar - Moro...

Huo muda ni gari dogo tena baadhi ndio unaaweza tumia...

Miaka ya nyuma nimeshaendesha 1hr 45mins Dar - Moro, ile sio spidi ya kawaida na haihitaji kusimama hata kidogo...
 
Jaman eeh hivi kuna basi gani inayotoka dsm hiyo mida ya wanga yaan sa tisa usiku kwenda kahama
 
Kilimanjaro Namba A nimekutana nayo Sam Nujoma asubuhi saa nne sijui imetoka Tanga au Moshi, ngoma kama mpya.
Hilo ndio basi la kupanda muda mwingi mguu wa dreva unakuwa kwenye kikanyagio cha kuongeza mwendo sio unahangaika mara kwa mara na breki

Break inasahaulika kabisa
 
Hivi dereva anayempokea mwenzake anakuwa ametoka mwanzo wa safari au anaanzia anapopokelea bus?
Nauliza hivi kwa sababu hata ukiwa umekaa tu kutoka mwanzo wa safari, kuchoka ni kuchoka tu.
Ndio wanatoka pamoja ila kuna wengine huwa wabashukia katikati ya safari ili kesho dereva mwingine ampitie palepale
 
Hakuna basi linaloweza kutumia dk 90, Dar - Moro...

Huo muda ni gari dogo tena baadhi ndio unaaweza tumia...

Miaka ya nyuma nimeshaendesha 1hr 45mins Dar - Moro, ile sio spidi ya kawaida na haihitaji kusimama hata kidogo...
Mwaka 2012 tulitoka Ubungo saa 08:00 na superfeo ya songea, Saa 09:48 Msamvu.
 
Kuweka spidi limit kwenye gari huondoa dhamana yaani warrant ya gari sababu unaongezea vitu ambavyo mtengenezaji hakuweka .Unaingilia mfumo wake wa Injini Warrant inazingatia tu original copy siyo twisted copy iliyoongezewa vidhibiti mwendo

Binafsi kama kampuni ya bima gari ikipata ajali kama mfuko wake ukiingiliwa wa spidi silipi bima ajali ikitokea sababu injini imeingiliwa na watu ambao sio waliotengeneza hiyo gari

Vidhibiti mwendo ni kuingilia mfumo wa aliyetengeneza gari bila ridhaa yake

Watu wa bima msikubali kulipa bima gari iliyochezewa mifumo yake original kukitokea ajali
 
unamzunguziaje Superfeo ambae ni mkongwe kwenye hii biashara na kaachana na mchina na kurudi Scania?
Abood ni mkongwe zaidi ya Super Feo.

Huyo Super Feo tumpe muda tu.

Abood yuko kwenye game tangu 1986 na Shabiby tangu miaka ya 90 mwanzoni wanaelewa nini wanachofanya
 
Wanazingua kwan sie abiria tumelalamika
ulitaka ulalamikie kaburini? Majinga kabisa likipinga mzinga moja tu malalamiko kwa yote kwa serikali, tunawajua watanzania wengi bado majinga sana. Ikitokea ajali hapo watakavyolalamika mara waziri ajiuzulu, mara sijui nini. LATRA nyie mkasimamie sheria inavyotakiwa.
 
Hii ndio video iliyowapelekea LATRA kusitisha safari za usiku kwa mabasi ya Ally's na Katarama kwa muda wa kutoka dar es salaam sa tisa usiku kwenda Mwanza na badala yake yataondoka sa kumi nambili asubuhi
 
Back
Top Bottom