Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndege izo qmmmmmmqHii ndio video iliyowapelekea LATRA kusitisha safari za mabasi tajwa kwa muda wa sa tisa usiku na badala yake kurejea kuondoka sa kumi nambili asubuhView attachment 2663425
Sio shangazi yake , maana naweza asijali kua huyo shangazi yake , nadhani wafe watto wake mke na yeye apate kilema cha maisha ambapo hatoweza tena pata mpenzi yoyote wa kmsitiri na kuanzisha familia upya ndio ataelewa maana ya usalama wa barabarani ni nini , bila hivyo atashabikia siku zote na kuona Serkali ni wajinga kwa kuanza na hili.Ko mpaka ajali itokee wafe watu 50 akiwemo shangazi yako ndio Latra waingilie kqti?
LATRA ilitoa utaratibu kwa mabasi kuomba ruhusa kuanza safari saa 9 alfajiri badala ya 11 asubuhi kama ilivyokuwa awali, hivyo hawa wamefungiwa kutokana na sababu kadha ikiwemo kutemper na mifumo ya kudhibiti mwendoMe sjaelewa, wamefungiwa saa 9 maana yake nn
Mijitu inakaaa inafatilia ligi za mabasiWapumbafu hawaishi duniani
Na wenye mali wanaona sawa tu watu kufa
Walikua wanatoka dar sa tisa usiku hiyo ni ruhusa ilitoka kwa LATRA na kampuni wenye uhitaji wa muda huo walienda kuomba kibali cha kuanza safari sa tisa usiku.Me sjaelewa, wamefungiwa saa 9 maana yake nn
Ni yeyeIla kati ya anayenunua na wewe nani anajua upangiliaji wa pesa yake?
Zamani miaka ya 90 hapo ...ilikuwa ukipanda Sadiq line ,hood au abood ni mwendo wa saa 1 na nusu tu upo msamvu.Zile chuma zilikuwa zinatembea hatariHata hapo imechelewa dar Moro ni dakika 90 mpaka 100 tuu
Kaskazini ligi yao iko kuwa na wahudumu pisi kali kwenye mabasiSionagi logic ya haya mabasi kushindana kufika wa kwanza mbona ni kuhatarisha maisha ya abiria sababu yakukimbizana mbona kaskazini hakuna hizi ligi na mabus yanafika vizur kwa wakati.