Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

Hapo penyewe bado ana safari ndefu kurudisha pesa ya hizo alizo nazo
Tatizo wanakimbilia kununua Scania za milioni 700 wakati mwarabu anavuta zhongtong ,higer na Yutong kwa bei chee kutoka kwa mchina na anawahi kurejesha pesa yake fasta kuliko hayo mabasi ya msweden.

Biashara ni ujanja tu. Mpaka hizo scania zirudishe pesa zilizonunuliwa ,huku Ally's kashaingiza mikupuo miwili ya basi mpya.
 
Wanazingua kwan sie abiria tumelalamika
Shukuruni bado wapo wanaowatetea.

Usiombe upate ajali ubaki mlemavu uanze kusumbua watu wakikuchoka dunia utaiona chungu kama sifongo,kiburi cha kuandika umekuwa nacho kwa sababu hapo ulipo ni mzima.
 
Waruhusu tu chuma zianze safari mapema zaidi mbona Zhong Tong za Friend's Kampala-Mutukula zinaanza kukichafua saa tano usiku na mapema tu mmetoboa Mutukula. Sijawahi kusikia ajali
 
Ila anayechukua hizo gari ana uhakika wa kukaa nazo miaka mingi kwa ruti ndefu.

Angalia Kilimanjaro, Abood, Dar Ex bado wana Scania zao numero A
Shida siyo kukaa nazo miaka mingi mkuu..
Shida ni je, bado itaendelea kuvutia abiria?

Kuiservice body ya G7 iendelee kuvutia kwa miaka kumi mbele siyo jambo dogo. Ndiyo maana ukitoa G6 za Kilimanjaro, hakuna G6 nyingine inayovutia. Zote ziko hoi..

Dar exp walinunua G7 sh zisizopungua 840mil baada ya miaka 5 ya utendaji, wakatangaza kuiuza 80mil..

What a waste!!
 
Kama watu wanamapenzi hivi basi
Kuna Fursa ya hela kweny mambo yanayo fanana na hivi
 
Abiria nao wanakaa kimya wanashangilia ujinga siku chuma ikilamba sakafu hao hao wanaoshabikia wanakuwa wa kwanza kwenda kuwavunja shingo kama hawajafa na kuwaibia.
 
Mimi napendaga nipande gari ikimbie mpaka nione kizunguzungu.
Kulikua na Hekima , sauti ya Manka, Lupila, Okoa,Zainabu, Scandinavia.
Hizo sa tisa uko Dar toka Mbeya.
Mtu attention mda wote wa safari.
Bus km linapaa
Huko njia ya Mbeya mbali hata pia Mwanza.
Madereva waachwe mradi wanajua kona zote.
 
Shida siyo kukaa nazo miaka mingi mkuu..
Shida ni je, bado itaendelea kuvutia abiria?

Kuiservice body ya G7 iendelee kuvutia kwa miaka kumi mbele siyo jambo dogo. Ndiyo maana ukitoa G6 za Kilimanjaro, hakuna G6 nyingine inayovutia. Zote ziko hoi..

Dar exp walinunua G7 sh zisizopungua 840mil baada ya miaka 5 ya utendaji, wakatangaza kuiuza 80mil..

What a waste!!
Wewe na yeye nani anajua?

Ulishafanya biashara ya magari makubwa?

Yaani hela ya mtu we waipigia hesabu
 
Sionagi logic ya haya mabasi kushindana kufika wa kwanza mbona ni kuhatarisha maisha ya abiria sababu yakukimbizana mbona kaskazini hakuna hizi ligi na mabus yanafika vizur kwa wakati.
Wewe ndio hufuatilii tu ligi ya kaskazini, ila ipo kina Tahmeed, kidia na classic kwenda Kenya, pia kuna Tilisho na BM
 
Zile basi ni namba E kwa hesabu rahisi mpaka sasa hajarudisha bado
Nani kakwambia biashara ya mabasi unarudisha pesa ndani ya miezi 3?

Si mjinga kulipa Bima ya zaidi ya milioni 180 kwa mabasi 3

Ukiona hivyo hana hela za mawazo
 
Shida siyo kukaa nazo miaka mingi mkuu..
Shida ni je, bado itaendelea kuvutia abiria?

Kuiservice body ya G7 iendelee kuvutia kwa miaka kumi mbele siyo jambo dogo. Ndiyo maana ukitoa G6 za Kilimanjaro, hakuna G6 nyingine inayovutia. Zote ziko hoi..

Dar exp walinunua G7 sh zisizopungua 840mil baada ya miaka 5 ya utendaji, wakatangaza kuiuza 80mil..

What a waste!!
Unajua watu wanapoona kampuni zinanua basi za Mchina kama Yutong, Zhong Tong, Golden Dragon, Higer, Asia Star, Ling Long wanafikiri hawana uwezo wa kununua hizo Polo G7 au G6

Uwezo wanao ila watu wanafocus kwenye kufanya biashara inayorudisha pesa waliyowekeza na kuanza kuingiza faida kwa muda mfupi
 
Back
Top Bottom