dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
miaka ya 2008 Princess Muro ndiyo kuripoti kwakevidubuasha vyao vya speed katarama saa 2:30
RIP Muro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miaka ya 2008 Princess Muro ndiyo kuripoti kwakevidubuasha vyao vya speed katarama saa 2:30
Sorry mkuu kama nimekukwaza!!Wewe na yeye nani anajua?
Ulishafanya biashara ya magari makubwa?
Yaani hela ya mtu we waipigia hesabu
Hukuwaonya? Ingepata ajali ukaumia huoni ungekuwa umefanya kosa kukaa kimya?Nilipanda hiyo Katarama, safari ilijaa kero hayo mambo (yanayofanyika kwenye video) ni kila mahali anapopita kuanzia Chalinze, Moro, na vimiji vyake vidogo mpaka mwisho wa safari!!
Kero zaidi! Nilikaa siti ya mbele, lina honi kama mawimbo mweee mweeee!! Kila kona akiona watu honi!! Hupumziki, huwezi hata kusinzia na hata kuongea na simu shida!! Wafungiwe tuu
Kwenye biashara tunaangalia sana Return on InvestmentNani kakwambia biashara ya mabasi unarudisha pesa ndani ya miezi 3?
Si mjinga kulipa Bima ya zaidi ya milioni 180 kwa mabasi 3
Ukiona hivyo hana hela za mawazo
HasaraDar exp walinunua G7 sh zisizopungua 840mil baada ya miaka 5 ya utendaji, wakatangaza kuiuza 80mil..
Ndo maana nimeulizaKwenye biashara tunaangalia sana Return on Investment
Ndio maana Abood kaachana na SCANIA kawekeza kwenye YUTONG.
Na kampuni nyingine pia zimefanya hivyo
Hapa kila mtu anatoa tu maoni yake sidhani kama kuna shidaNdo maana nimeuliza
Je aliyenunua hakujua hayo yote?
Je ASAS aliyeamua kuvuta P460 35 yeye hakuona ROI ya mapema endapo angechukua FAW, HOWO?
Tusiwe washauri kwenye pesa za watu.
Mtu katoa pesa zake kununua kitu chake, ambacho hajaomba ushauri afu unampangia kuwa hairudishi mapema.
Jamaa kamaindi kweliSorry mkuu kama nimekukwaza!!
Panda ZUBERI/KISESA MWENDO SAFI BILA MAWAZOTutajieni zinazoenda mwendo wa kobe mimi hizo za ligi hapana kwakweli
Halafu mbona huyo ASAS ana HOWO na kama sikosei ana FAW piaJe ASAS aliyeamua kuvuta P460 35 yeye hakuona ROI ya
Ana mixer ila lately mzigo mpya ni P460Halafu mbona huyo ASAS ana HOWO na kama sikosei ana FAW pia
Kampuni zote zina mchanganyo kuanzia Azam, MO, Asas, AzaniaHalafu mbona huyo ASAS ana HOWO na kama sikosei ana FAW pia
Yeah kibongobongo sidhani kama kuna kampuni inakosa Mchina labda PRIMEFUELSAna mixer ila lately mzigo mpya ni P460
Yule jamaa katisha ana Number A zimesimama sanaYeah kibongobongo sidhani kama kuna kampuni inakosa Mchina labda PRIMEFUELS
Hawanunui scania brand new! Wananunua injini peke yake body wanachongesha kenyaTatizo wanakimbilia kununua Scania za milioni 700 wakati mwarabu anavuta zhongtong ,higer na Yutong kwa bei chee kutoka kwa mchina na anawahi kurejesha pesa yake fasta kuliko hayo mabasi ya msweden.
Biashara ni ujanja tu. Mpaka hizo scania zirudishe pesa zilizonunuliwa ,huku Ally's kashaingiza mikupuo miwili ya basi mpya.
Hatari sana PRIMEFUELS ni mwendo wa Mercedes Benz gari zake zote zimesimamia ukucha dere hahitaji utingoYule jamaa katisha ana Number A zimesimama sana
Yeye na World Oil ni balaa
Number A yake kama DSA
Afu hawana keleleHatari sana PRIMEFUELS ni mwendo wa Mercedes Benz gari zake zote zimesimamia ukucha dere hahitaji utingo
World oil naye wamoto sana