Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

na itawacost soon endeleeni kutoa mada za kifala kama hizi tunaendelea kurekodi .................
Kama itatukosti kwa haki sawa lakini kama ni kwa ujinga na uonevu kwa kujifanya nyi miungu watu cha moto mtakiona tu fala ww
 
From Mumbai to JNIAView attachment 1724227
 
Nmeonesha kuwa ndege ya Airtanzania ipo njia kutoka Mumbay na soon itatua JNIA. Jiwe anaingiaje hapo?
Airtanzania kutoka Mumbai to JNIA inahusiana kipi na mada yangu mkuu
 
Hawa mabeberu ndo mnawaitaga watalii au? Ndo mnategemeaga waje ili secta ya utalii ukue? Hawa mabeberu ndo mnanunuaga ndege, magari, madawa ya hospitali na vifaa vya jeshi toka kwao? Iyo simu unayotumia imetoka kwa mabeberu nguo na vitu mbali mbali ulivyovyo nyumbani. Basi hawa mabeberu ni watu makini sana maana hata wanao uko shuleni wanafundishwa na lugha ya kibeberu
 
Ufipa bana...yaani hawa ndo wanaharakati wenu wanaotegemea beberu lao ndo lije kuisaidia Tanzania...ndo changamoto ya kua na mwenyekiti mla bapa hadi watoto wanazaliwa na akili za bange tu
Irudie tena. Nimeipenda hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…