Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

MAPENDEKEZO

Reserved for later
Mkuu Chige , Thanks for this. Kuna Watanzania wenzetu uwezo wao wa kuona mbali ni mwisho wa pua zao!. Tunajenga SGR, ile treni ina uwezo wa kuvuta mabehewa zaidi ya 100, ya 40ft container zikiwa double, zimepakatana!. SGR ukikamilika, huo mzigo wa kubebwa na SGR ili ijiendeshe kwa faida utatoka wapi?.
Niliuliza hili swali
Sikuwahi kujibiwa!.
Jibu la mzigo wa kuishibisha reli ya SGR ni bandari ya Bagamoyo.
P
 
Je, huoni Bagamoyo utaibuka kuwa eneo kubwa la kubiashara na ajira ukilinganisha na maelfu ya Hekari za kutokea Mtukula mpaka Tanga yatakayo yamekufa bila shughuli yoyote ya kiuchumi?

Acheni Uzalendo wa Kikabila.
Eti unasema? "...maelfu ya Hekari za kutokea mtukula mpaka Tanga yatakayokufa bila shughuli yoyote ya kiuchumi?"
Dola 16 na ushee kwa pipa linalopita hapo siyo shughuli? Kwa siku yatapita mapipa mangapi, unajua mkuu? Hiyo ni hela ndogo? Na hayo mafuta yakiisha, si ardhi bado ipo?
 
Tutasoma yote hayo huko baadae, lakini kwa sasa nina haya machache:

1. Hakuna nchi yoyote duniani isiyopigania maslahi yake; isipokuwa labda hizi zetu za 'Banana Republic' ambazo maslahi ya viongozi wake ndiyo yanayowekwa mbele zaidi ya yale ya nchi husika.
China wana maslahi, ndiyo maana ya hiyo BRI; kwa hiyo kama nchi inao viongozi wenye akili timamu hawawezi kusubiri mpaka kuwaogopa hawa wala mwingine yeyote, kama tunajua maslahi yetu ni yapi.Hizo enzi za kuyumbishwa na kugawanywa zimepitwa
Nashindwa kutia neno kwa sababu umeshasema mapema kwamba hujasoma, manake ingekuwa umesoma, mengi uliyosema nimeshayajadili!
 
Eti unasema? "...maelfu ya Hekari za kutokea mtukula mpaka Tanga yatakayokufa bila shughuli yoyote ya kiuchumi?"
Dola 16 na ushee kwa pipa linalopita hapo siyo shughuli? Kwa siku yatapita mapipa mangapi, unajua mkuu? Hiyo ni hela ndogo? Na hayo mafuta yakiisha, si ardhi bado ipo?
Acheni kudanganyana nyie watu!

Tanzania alipwe $16 kwa pipa, wakati huo Uganda mwenye mafuta yake anapata $ ngapi kwa pipa, Total waliowekeza wanapata $ ngapi kwa pipa, na huko soko la duniani yanauzwa $ ngapi kwa pipa?
 
Pamoja na yote hayo, katu simaanishi kwamba Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo upo PERFECT, au ni mkataba bora… la hasha!! Tanzania haijawahi kusaini mkataba ulio bora!

Ambacho ningependa kukiona kwenye hili ni Watendaji na Wafanya Maamuzi kuwa “objective”, na pia waache kusambaza habari za uongo ili mradi tu kuhalalisha ajenda zao.

Wengine ajenda zao ni aibu hata kuzitaja hadharani!

Watu hawa wanatakiwa kukaa na wadau, na kuangalia ni kwa namna gani huu mradi unaweza kufanyika huku tukiacha kile kiburi chetu cha Uzalendo Fake Uliopandikizwa na Mfumo wa Ujamaa!
Kumbe bandiko lako ni 'propaganda'?

Mimi nilidhani ni mawazo huru, kumbe tayari una upande unaoupigania?
 
Nashindwa kutia neno kwa sababu umeshasema mapema kwamba hujasoma, manake ingekuwa umesoma, mengi uliyosema nimeshayajadili!
Mkuu, nipo naendelea na andiko lako.

Hayo niliyoweka huko juu ni mawazo yasiyotegemea andiko lako.
 
Kumbe bandiko lako ni 'propaganda'?

Mimi nilidhani ni mawazo huru, kumbe tayari una upande unaoupigania?
Kusoma hujasoma, oh, bandiko lako propaganda! Cha ajabu ni kipi kwa Mtanzania kuunga mkono mradi unaotakiwa kufanyika Tanzania?!

Au ulitaka nipinge tu kama juha wakati tayari nina sababu za kwanini naunga mkono mradi?!

Nina uhakika kwa 100% kwamba wakati mimi naunga mkono kutokana na tafiti nilizowahi kufanya mimi mwenyewe, wewe unapinga kwa sababu ya kuwasikiliza watu fulani ambao na wenyewe hawana uelewa wowote!
 
Acheni kudanganyana nyie watu!

Tanzania alipwe $16 kwa pipa, wakati huo Uganda mwenye mafuta yake anapata $ ngapi kwa pipa, Total waliowekeza wanapata $ ngapi kwa pipa, na huko soko la duniani yanauzwa $ ngapi kwa pipa?
Hii ni taarifa iliyotangazwa mkuu na kuandikwa magazetini juzi mama alipokuwa huko.
Sasa kama wanadanganya, hilo mimi sijui.

Hii ni mikataba iliyosainiwa baada ya kukubaliana 'terms', sasa wewe tueleze unayojua juu ya mikataba hiyo iliyowekwa saini juzijuzi tu hapa.

Kwa hiyo wewe unadhani mafuta yatakuwa yanapita bure kwenda bandarini?
 
Kusoma hujasoma, oh, bandiko lako propaganda! Cha ajabu ni kipi kwa Mtanzania kuunga mkono mradi unaotakiwa kufanyika Tanzania?!

Au ulitaka nipinge tu kama juha wakati tayari nina sababu za kwanini naunga mkono mradi?!

Nina uhakika kwa 100% kwamba wakati mimi naunga mkono kutokana na tafiti nilizowahi kufanya mimi mwenyewe, wewe unapinga kwa sababu ya kuwasikiliza watu fulani ambao na wenyewe hawana uelewa wowote!
Si hivyo naendelea kusoma bandiko refu mkuu? Hii ndiyo kawaida yangu ninapokutana na essay ndefu namna hii. Nasoma vipande vipande.

Hapo nilipo'quote' ni dhahiri unapiga 'propaganda'. Hupo 'objective' juu ya mradi huu.

Na wewe Pascal usichochee ugomvi hapa. Sema yako tuyasikie.
 
Hii ni taarifa iliyotangazwa mkuu na kuandikwa magazetini juzi mama alipokuwa huko.
Sasa kama wanadanganya, hilo mimi sijui.

Kwa hiyo wewe unadhani mafuta yatakuwa yanapita bure kwenda bandarini?
Magazeti yapi?! Haya haya yanayoandika bila kufanya utafiti, au?!

Usisahau hii ni new investment, na kuna gharama kibao zinazoingia kwenye unit barrel! Kuna gharama za capita goods, gharama za uchimbaji, kuna gharama za usafiri kutoka Tanga hadi sokoni; na hapo sijataja gharama zingine kama vile kodi n.k!

Soko la dunia kwenyewe, hivi sasa mafuta ni around $60/pipa, na kushuka hadi chini ya $40/pipa ni jambo la kawaida!

Ndo hapo nakuuliza: Tz ipate $16, wakati huo mwenye mafuta yake anapata $ ngapi, wawekezaji wanapata $ ngapi, usafiri $ ngapi, na yanaenda kuuzwa kwa $ ngapi?

Hapa usisahau production na logistic cost ikiwa kubwa, mafuta yatashindwa kuuzika soko la dunia! Kwa maana hiyo, wao watakachofanya ni kujaribu kupunguza zaidi logistic and transportation cost, especially kutoka UG to Tanga, kwa sababu gharama zingine zitakuwa haziepukiki!
 
HITIMISHO

Tukubali tusikubali, fursa ya Bandari ya Bagamoyo ikituponyoka tutakuja kuijutia pale Mchina atakapoamua kurejea tena Lamu, au popote pale kwenye ukanda huu wa Bahari ya Hindi!

Inashangaza sana karne ya 21 bado kuna Watanzania wana mawazo yale yale ya Ujima kwamba, eti “madini hayaozi”, na ika mkutano mkuuubwa wa BRI kama ilivyoripotiwa na UNDP-Asia kwamba:-
Andiko refu na kuquote vyanzo kibao lakini umejidhihirisha ni mpuuzi na muongo, hujui kuwa bandari ya Bagamoyo ni Industrial port tofauti na bandari zingine zilizopo nchini. Mashariti mabaya aliyoainisha Kakonko ni kweli tupu na hakuna ubaya aliokosea. Toa upuuzi wako kajadili na wapumbavu wenzako.
 
Si hivyo naendelea kusoma bandiko refu mkuu? Hii ndiyo kawaida yangu ninapokutana na essay ndefu namna hii. Nasoma vipande vipande.

Hapo nilipo'quote' ni dhahiri unapiga 'propaganda'. Hupo 'objective' juu ya mradi huu.

Na wewe Pascal usichochee ugomvi hapa. Sema yako tuyasikie.
Kawaida mtu kusoma nusu nusu, lakini hata uliposema "ume-quote", sijaona ikiwa ume-quote chochote! Sana sana ulihitimisha kwamba ni propaganda kwavile tu nimesema "nipo in favor of the prokect"!

Na ndipo nikahoji, kwani kuna ajabu kwa mtu kuunga mkono mradi fulani hasa ikiwa amefanya hivyo baada ya kuwa amefanya utafiti binafsi na kujiridhisha?
 
We ndio huna akili kumsifia mpumbavu anayeandika andiko refu huku hajui anaandika kitu gani. Wote hamna akili ni wapumbavu msio na akili.
Andiko refu na kuquote vyanzo kibao lakini umejidhihirisha ni mpuuzi na muongo, hujui kuwa bandari ya Bagamoyo ni Industrial port tofauti na bandari zingine zilizopo nchini. Mashariti mabaya aliyoainisha Kakonko ni kweli tupu na hakuna ubaya aliokosea. Toa upuuzi wako kajadili na wapumbavu wenzako.
Dadangu vipi, mbona kama una frustration?! Umeachika kwa mumeo, au kakuletea nyumba ndogo?!

Busara ni kuyamaliza na mumeo badala ya kuleta frustration zako kwa wengine, na kuanza matusi pasipo na sababu za msingi! Ni ushauri tu dadangu, na kama nimekukwaza, basi samahani sana dada!
 
Kawaida mtu kusoma nusu nusu, lakini hata uliposema "ume-quote", sijaona ikiwa ume-quote chochote! Sana sana ulihitimisha kwamba ni propaganda kwavile tu nimesema "nipo in favor of the prokect"!

Na ndipo nikahoji, kwani kuna ajabu kwa mtu kuunga mkono mradi fulani hasa ikiwa amefanya hivyo baada ya kuwa amefanya utafiti binafsi na kujiridhisha?
Mkuu Chige, hakuna sababu ya kupoteza muda juu ya hili. Maneno niliyonyanyua, uliyoandika wewe na sasa ni kama unayakana, hayakuwa maneno mazuri, hasa kwa hao unaosema wanapinga mradi huo.
Tuendelee na mengine. Naendelea kusoma.
 
Back
Top Bottom