Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Unaonaje nikikupuuza?! Nilitarajia ungejadili hoja, lakini nimeshakugundua huna uwezo wa kujadili hoja, so busara kwangu ni kukupuuza!!!

Huna sababu ya kuniuliza,we fanya vile inavyokupendeza.

Hapa hakuna HOJA ya kujadili kwa sababu thread yako imeegemea zaidi kwenye HISIA kuliko FACTS

Halafu unakuwa mkali watu wakihoji USAHIHI wa ulichoandika hapa,sasa unataka wote tukubaliane na wewe hata kama tunaona ndivyo sivyo?
 
Huna sababu ya kuniuliza,we fanya vile inavyokupendeza.

Hapa hakuna HOJA ya kujadili kwa sababu thread yako imeegemea zaidi kwenye HISIA kuliko FACTS

Halafu unakuwa mkali watu wakihoji USAHIHI wa ulichoandika hapa,sasa unataka wote tukubaliane na wewe hata kama tunaona ndivyo sivyo?
Onesha ulipohoji usahihi wa nilichoandika!!!
 
Hawana cha kujadili, wanaishia matusi tu!!!
Mkuu hakuna kitu kigumu kumeza kama ukweli mchungu, UKWELI UNA SIFA YA KUTOPENDWA!! Hoja ukiona zinapigwa rungu... "ukiona waheshimiwa mjengoni na mitaani wakitoa lugha sizo basi ujue NDIVYO TULIVYOANDALIWA" hoja zinajibiwa kwa mihemko na matusi badala ya kujadiliwa na kubomolewa kwa hoja...
 
Eti unasema? "...maelfu ya Hekari za kutokea mtukula mpaka Tanga yatakayokufa bila shughuli yoyote ya kiuchumi?"
Dola 16 na ushee kwa pipa linalopita hapo siyo shughuli? Kwa siku yatapita mapipa mangapi, unajua mkuu? Hiyo ni hela ndogo? Na hayo mafuta yakiisha, si ardhi bado ipo?

Unajua kuna jambo tunapokua kwenye ulaji wa kodi za wananchi tunalisahau.

Serikali ni watu wachache waliopewa dhamana ili wasimamie mifumo tuliyojiwekea.
Lakini kuna mamilioni ya watu wanaishi maisha yao ya kila siku hata kama pangekua hakuna serikali wangeishi raha mustarehe.
Lakini serikali bila watu wanaofanya shughuli zao na kulipa kodi haiwezi kuwa na nguvu ya kiuchumi. China na Marekani zinahangaika Dunia nzima ili watu wao wapate masoko makubwa zaidi sio tu tu wabanane kule ndani wenyewe kwa wenyewe.

Hujanielewa !
Kuna maelfu ya Hekari za Ardhi kutokea Mtukula mpaka Tanga ambayo huwezi ukalima,ukajenga,ukafungua Hoteli,ukafungua ,baa,ukaweka soko,ukaweka kiwanja cha mpira , ukajenga Josho la ng'ombe,ukajenga shule ,ukajenga kiwanda , ukachimba madini hata kama utagundua kuwa yapo, ukapanda miti ,ukatunza misitu, ukachimba kisima ,yaani ni maelfu ya ekari toka Mtukula mpaka Tanga hayataruhusiwa kufanya shughuli yoyote ya uzalishaji au biashara kwa mwananchi maskini zaidi ya mabeberu na serikali inayolinda maslahi ya mabeberu wa Kirumi yaani Ulaya na Marekani !

Ardhi ya Bagamoyo kwenye Bandari kubwa Barani Afrika kutakua na shuguli nyingi za migahawa, mahoteli,nyumba za kupanga wafanyakazi wengi sana,biashara ya mabasi,daladala, mama lishe, wamachinga, viwanda vingi, Malori Maelfu kwa maelfu toka nchi jirani kuja kuchukua mizigo hivyo yataweka mafuta kwenye Sheli zetu na kutuingizia kodi ,pesa za Ewura,Tanroad,Rea, tarura n.k. Pia Biashara za magereji kutokana na magari kuwa mengi , ajira za walinzi ambao ni watu wa kawaida kabisa n.k.

Kwa hiyo kuleta stori za uzalendo wa ardhi ya Bomba la mafuta na kupinda ardhi ya Bandari ya Bagamoyo ni Uzalendo feki wa kikabila kwa sababu yule ni wa Pwani na yule ni wa mtukula . Tuwe wazalendo wa kweli wanaojali nchi yetu bila kujali nani amekaa kwenye ofisi ya Magogoni. Jambo jema ni jema tu hata likifanywa na mkoloni. Tuweke ushabiki pembeni.

Kenya kupitisha lile bomba ilikua ni shughuli kutokana na gharama kubwa ya kufidia ardhi kwa mabeberu wenye ardhi kule. Na ardhi yao ni ndogo hivyo mtu anamiliki ardhi na anapanga bei anayotaka alipwe . Wakakimbilia huku kwenye ardhi ya serikali inayoweza kuichukua bure na kumpa mwekezaji bila mwananchi kupata kitu anachoona kinamtosha.
 
Unajua kuna jambo tunapokua kwenye ulaji wa kodi za wananchi tunalisahau.

Serikali ni watu wachache waliopewa dhamana ili wasimamie mifumo tuliyojiwekea.
Lakini kuna mamilioni ya watu wanaishi maisha yao ya kila siku hata kama pangekua hakuna serikali wangeishi raha mustarehe.
Lakini serikali bila watu wanaofanya shughuli zao na kulipa kodi haiwezi kuwa na nguvu ya kiuchumi. China na Marekani zinahangaika Dunia nzima ili watu wao wapate masoko makubwa zaidi sio tu tu wabanane kule ndani wenyewe kwa wenyewe.

Hujanielewa !
Kuna maelfu ya Hekari za Ardhi kutokea Mtukula mpaka Tanga ambayo huwezi ukalima,ukajenga,ukafungua Hoteli,ukafungua ,baa,ukaweka soko,ukaweka kiwanja cha mpira , ukajenga Josho la ng'ombe,ukajenga shule ,ukajenga kiwanda , ukachimba madini hata kama utagundua kuwa yapo, ukapanda miti ,ukatunza misitu, ukachimba kisima ,yaani ni maelfu ya ekari toka Mtukula mpaka Tanga hayataruhusiwa kufanya shughuli yoyote ya uzalishaji au biashara kwa mwananchi maskini zaidi ya mabeberu na serikali inayolinda maslahi ya mabeberu wa Kirumi yaani Ulaya na Marekani !

Ardhi ya Bagamoyo kwenye Bandari kubwa Barani Afrika kutakua na shuguli nyingi za migahawa, mahoteli,nyumba za kupanga wafanyakazi wengi sana,biashara ya mabasi,daladala, mama lishe, wamachinga, viwanda vingi, Malori Maelfu kwa maelfu toka nchi jirani kuja kuchukua mizigo hivyo yataweka mafuta kwenye Sheli zetu na kutuingizia kodi ,pesa za Ewura,Tanroad,Rea, tarura n.k. Pia Biashara za magereji kutokana na magari kuwa mengi , ajira za walinzi ambao ni watu wa kawaida kabisa n.k.

Kwa hiyo kuleta stori za uzalendo wa ardhi ya Bomba la mafuta na kupinda ardhi ya Bandari ya Bagamoyo ni Uzalendo feki wa kikabila kwa sababu yule ni wa Pwani na yule ni wa mtukula . Tuwe wazalendo wa kweli wanaojali nchi yetu bila kujali nani amekaa kwenye ofisi ya Magogoni. Jambo jema ni jema tu hata likifanywa na mkoloni. Tuweke ushabiki pembeni.

Kenya kupitisha lile bomba ilikua ni shughuli kutokana na gharama kubwa ya kufidia ardhi kwa mabeberu wenye ardhi kule. Na ardhi yao ni ndogo hivyo mtu anamiliki ardhi na anapanga bei anayotaka alipwe . Wakakimbilia huku kwenye ardhi ya serikali inayoweza kuichukua bure na kumpa mwekezaji bila mwananchi kupata kitu anachoona kinamtosha.
I wish watu wangekuwa wanasoma kwa makini mambo kama haya!!! Na nilichelea tu thread kuifanya kuwa ndefu kupindukia manake nilitamani niwawekee hadi model mzima, na miradi yake!!

Leo hii Singapore, ambayo na yenyewe ni transshipment port imeshaanza kuelemewa!! Tunashindwa kufahamu kama Bagamoyo kunakuwa na transshipment port, kuna nchi kadhaa za Afrika, na pengine hata Amerika ya Kusini zikawa zinaishia Bagamoyo badala ya kwenda moja kwa moja hadi Mashariki ya Mbali!
 
Halafu watu wanashangaza sana! Yaani mtu anaibuka from nowhere anaanza na mitusi! Mambo ya ajabu sana!!!
Mkuu sio yeye WANATUMWA NA KUTUMIKA. Si kwa maslahi ya nchi bali kwa maslahi ya mabwana zao waliojivika jina la uzalendo... wakishapewa "vilevi" hawaoni aibu kujianika humu na vigodoro vyao...
 
Kama ulivyowahi kuwekewa mkataba na nani? Hivi nyie watu zinawatosha kweli?!

Jadili hoja, kama huna hoja, syfu!
Hoja ni mkataba tata wa ujenzi wa bandari

Tunajadili vipi bila mkataba ??????

TPA CEO Kakoko kasema Wachina hawatalipa kodi, Mchina kasema Kakoko mwongo!

Ya nini ?

Weka mkataba!
 
Mkuu sio yeye WANATUMWA NA KUTUMIKA. Si kwa maslahi ya nchi bali kwa maslahi ya mabwana zao waliojivika jina la uzalendo... wakishapewa "vilevi" hawaoni aibu kujianika humu na vigodoro vyao...
Unajua hili zuzu nilikuwa wala silifahamu manake ID yake yenyewe ndo kwanza naiona leo! Nikalazimika kupitia posts zake za nyuma, nikagundua she's too low to argue with!!! Ni ile mijinga iliyodhani Urais wa Magufuli ni wa kabila zima, na kwahiyo wana wajibu wa kuutetea!
 
Kuna uzi wa maana au makahaba wa mafisadi mnauza sura.
Midhali unatokwa povu naamini ujumbe umekuingieni vyema 😀 😀
Hoja haipigwi rungu... wewe ni mzalendo sana na umeelewa vema lugha zako zinatuthibitishia hilo HONGERA 😀
Je mradi wa bandari ya Bagamoyo kwa mujibu wa mada wenye faida ni sisi au mabeberu?
 
Midhali unatokwa povu naamini ujumbe umekuingieni vyema 😀 😀
Hoja haipigwi rungu... wewe ni mzalendo sana na umeelewa vema lugha zako zinatuthibitishia hilo HONGERA 😀
Je mradi wa bandari ya Bagamoyo kwa mujibu wa mada wenye faida ni sisi au mabeberu?
Wenye faida ni nyie na basha aliyewatuma.
 
Unajua hili zuzu nilikuwa wala silifahamu manake ID yake yenyewe ndo kwanza naiona leo! Nikalazimika kupitia posts zake za nyuma, nikagundua she's too low to argue with!!! Ni ile mijinga iliyodhani Urais wa Magufuli ni kabila zima na kwahiyo wana wajibu wa kuutetea!
Hakika Mkuu... huyu pia yawezekana alikuwa akilamba viatu vya kakowkow au ndiye yeye mwenyewe ULAJI UMEKATA LAZIMA HASIRA ZITAWALE!!
 
Hoja ni mkataba tata wa ujenzi wa bandari

Tunajadili vipi bila mkataba ??????

TPA CEO Kakoko kasema Wachina hawatalipa kodi, Mchina kasema Kakoko mwongo!

Ya nini ?

Weka mkataba!
Man, upo JF kwa miaka 11 sasa!! Ni muda mrefu sana huo!!!

Je, umewahi kujadili mada zipi hapa JF ambazo zimeambatanishwa na mikataba? Hivi una hoja ya kujadili kweli wewe? Au kwavile umekosa hoja na ndo unataka kujificha kwenye kivuli cha kutaka mkataba?!
 
Hakika Mkuu... huyu pia yawezekana alikuwa akilamba viatu vya kakowkow au ndiye yeye mwenyewe ULAJI UMEKATA LAZIMA HASIRA ZITAWALE!!
Thubutu yake mwenyewe!

Si bora hata angekuwa na hiyo flag ya kuwa mlamba viatu, manake tungesema huwa anaambulia angalau makombo!

Mi nakuambia hivi! Majority ya haya majamaa ni majinga tu, yasiyo na mbele wala nyuma! KInachowasukuma kufanya utetezi hata kwa mambo ya kijinga ni ukabila tu, kwa sababu zile zile nilizotaja hapo awali!!

Hawa hanawana hata itikadi za kisiasa, na ndo maana usishangae wakaanza kumpinga Samia kwa sababu wao hawapo hapa kuitetea CCM na serikali yake, bali walikuwa hapa kumtetea Mwendazake!!
 
Hatutaki porojo mkataba umesha kuwa na mashaka upelekwe bungeni watu wapewe muda kuusoma then wajadili vinginevyo ni uhujumu uchumi full stop.

Akili ya kawaidatu inakataa kukubali kwamba mchina ataruhusu bandari nyingine zifanye kazi, mchina hataruhusu maana patakuwa na ushindani na itapelekea kuchelewesha kurudisha garamazao za uwekezaji.

Vinginevyo bandari zote zitakufa zenyewe kwakuwa zitakosa mbinu za kushindana na hiyo bandari ya kisasa ya bagamoyo kwenye viwezeshi, pia wanaweza kuzielekeza melizao na nyingine watakazoweza kupitisha mizigo bagamoyo na kuathiri bandarizetu.

Mkataba uwekwe wazi, ujadiliwe.
Kama hatutaweza kupata kodi inayolingana na mapato tunayo pata sasaivi katika bandarizetu na yanayo kuwa kila mwaka, itakuwa ni ujuha wakiwango cha lami kukubali huo mradi.
 
Kinacho tugarimu watanzania ni kule kutegemea Wanasiasa wasio na utaalamu wa kila jambo kutuamulia kila jambo.

Hii itatupelekea kuwa hapa hapa tulipo Kama sio kurudi nyuma hali wenzetu wanasonga mbele kwa kasi Sana.

Siasa zetu Tanzania zimekua za ovyo zinazoelemea ukabila ukanda ubinafsi na kila aina ya udhaifu wa kibinadamu badala ya maendeleo ya taifa kwa nyakati zijazo.

Kwa mfano wa serikali ya awamu iliopita ilifanya mambo yake kana kwamba yenyewe ndio ilikua ya Kwanza na ya mwisho, ilivunja vunja kila lililokua limepangwa na kupanga yake mapya na kwa bahati mbaya Sana awamu ile imemalika ikiwa na matokeo tofauti na matarajio.

Wakati ule wa mkapa tuliona mpango walioupanga wa dira ya maendeleo ya taifa kwa miaka 25 mbele .
Na kila serikali iliofuatia ilipaswa kua kutembea katika mpango ule, badala yake wenzetu Hawa wa awamu ya 5 wameenda ndivyo sivyo na gharama yake sio ya kidogo kuilipa Kama taifa.

Mradi wa bagamoyo unafaida Sana kwa taifa kwa vizazi vijavyo, serikali iliopo ikae tena ijadiliane kuliko na makosa kurekebishwe faida ipatikane, mwekezaji apate na taifa lipate, huo ndio zalendo!

Hii kusema sijui mtoto wa fulani alikamatwa kwa uhalifu na fidia ya adhabu ya uhalifu wake ndio bandar ya bagamoyo hizi ndizo fikra duni za kiubinafsi kiubaguzi ambao hazita tufikisha popote Kama taifa.
 
Wenye faida ni nyie na basha aliyewatuma.
Mkuu unatumika vibaya 😀 😀
Vema ubadilike bado ungali na muda vinginevyo utaharibika kabisa...
Zamani tulikuwa na misemo "SILAHA YA MSHAMBA NI MATUSI AINGIAPO MJINI!" aidha pia "ukiona mtu anatumia sauti kubwa kuzima hoja ujue ni 'kichwa maji aka empty head' so hujachelewa..."
Ukipuuzwa na watu humu usiowajua wala hawakujui huko mtaani utakuwa na hali mbaya... ukichukia mijadala mikali yenye akili utadumaza ubongo... ukiona unapata kichefuchefu mida hii na hasira zisizo na mpangilio vema ukameza "vomidox..." au ukapime ili kuepuka mfadhaiko zaidi pasipo kujua sababu...
 
BRI ina mpango mkubwa sana dunian moja ya mpango wao ni kuangusha dola ya mmarekani duniani kiuchumi sasa kujiunga na mpango wa China kuna faida kubwa kwakua hii ni vita ya mabeberu wawili kiuchumi Sisi tunufaike na beberu mmoja mwenye muono wa mbali.Mchina ameenda mbali mpaka kutaka mshauri mwarabu aanze nunua mafuta Kwa pesa yake km si dhahabu waachane na mfumo wa sasa wa dola maana dola inaenda kuzikwa siku za usoni....Vinginevyo mtoa hoja na chambuzi alizofanya ni kwel hakuna uongo tunaopinga ni watu ambao maalum sitasema zaidi au hatuna uelewa mzuri wa hili jambo.
 
Kinacho tugarimu watanzania ni kule kutegemea Wanasiasa wasio na utaalamu wa kila jambo kutuamulia kila jambo.

Hii itatupelekea kuwa hapa hapa tulipo Kama sio kurudi nyuma hali wenzetu wanasonga mbele kwa kasi Sana.

Siasa zetu Tanzania zimekua za ovyo zinazoelemea ukabila ukanda ubinafsi na kila aina ya udhaifu wa kibinadamu badala ya maendeleo ya taifa kwa nyakati zijazo.

Kwa mfano wa serikali ya awamu iliopita ilifanya mambo yake kana kwamba yenyewe ndio ilikua ya Kwanza na ya mwisho, ilivunja vunja kila lililokua limepangwa na kupanga yake mapya na kwa bahati mbaya Sana awamu ile imemalika ikiwa na matokeo tofauti na matarajio.

Wakati ule wa mkapa tuliona mpango walioupanga wa dira ya maendeleo ya taifa kwa miaka 25 mbele .
Na kila serikali iliofuatia ilipaswa kua kutembea katika mpango ule, badala yake wenzetu Hawa wa awamu ya 5 wameenda ndivyo na gharama yake sio ya kidogo.

Mradi wa bagamoyo unafaida Sana kwa taifa kwa vizazi vijavyo, serikali iliopo ikae tena ijadiliane kuliko na makosa kurekebishwe faida ipatikane, mwekezaji apate na taifa lipate, huo ndio zalendo!

Hii kusema sijui mtoto wa fulani alikamatwa kwa uhalifu na fidia ya adhabu ya uhalifu wake ndio bandar ya bagamoyo hizi ndizo fikra duni za kiubinafsi kiubaguzi ambao hautatufokisa popote Kama taifa.
Mkuu tatizo ni UNAFIKI WA WANASIASA "POPO" WAFUATA UPEPO KWA KUFUATA MASLAHI YAO... Waliunga mkono kila kitu pasipo kujadili wala kukosoa penye udhaifu haya ndio matokeo yake...
 
Mkuu unatumika vibaya 😀 😀
Vema ubadilike bado ungali na muda vinginevyo utaharibika kabisa...
Zamani tulikuwa na misemo "SILAHA YA MSHAMBA NI MATUSI AINGIAPO MJINI!" aidha pia "ukiona mtu anatumia sauti kubwa kuzima hoja ujue ni 'kichwa maji aka empty head' so hujachelewa..."
Ukipuuzwa na watu humu usiowajua wala hawakujui huko mtaani utakuwa na hali mbaya... ukichukia mijadala mikali yenye akili utadumaza ubongo... ukiona unapata kichefuchefu mida hii na hasira zisizo na mpangilio vema ukameza "vomidox..." au ukapime ili kuepuka mfadhaiko zaidi pasipo kujua sababu...
Huu ni mjadala wenye akili? Mabasha wanawaharibu sana wanaume msiopenda kazi ngumu.
 
Back
Top Bottom