Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Man, upo JF kwa miaka 11 sasa!! Ni muda mrefu sana huo!!!

Je, umewahi kujadili mada zipi hapa JF ambazo zimeambatanishwa na mikataba? Hivi una hoja ya kujadili kweli wewe? Au kwavile umekosa hoja na ndo unataka kujificha kwenye kivuli cha kutaka mkataba?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujinga ni mzigo jamani!

Walioona mkataba wamesema unatunyonya!

Wewe kajamba nani ambae hujauona mkataba unakuja hapa kuwatetea wachina kwamba hautunyonyi na hao waliosema unatunyonya ni waongo!

Sasa unataka tujadili kitu gani hapa?

Weka mkataba hapa tuusome wenyewe ili tujadili, vinginevyo wewe pamoja na hao kina Kakoko ni watu wa hovyo,.
 
Mkuu je ni mkataba upi umewahi kuwekewa wazi ukaujadili? Songas? SGR? Manunuzi ya ndege? JNIA T3? NK. Jikite kwenye mada...
Sasa hapa tunajadili nini basi kama mkataba wenyewe hatuuoni?

Huoni kama ni ujinga kujadili mada ambayo imeegemea upande mmoja huku mleta mada akiwa kaweka hoja zake kwa hisia tu?
 
Mkuu Idugunde , with due respect, heshima kitu cha bure, huna haja kutukana watu humu mwanzo mwisho, tubishane kwa hoja,kwa kupangua hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja na matusi.
Kwa jinsi unavyotukana hapa, sisi watu wa psychoanalysis tumegundua una deep rooted neurosis bila wewe kujijua, hivyo huko kutukana ni a way of escapism, usipo pata msaada wa kitabibu, you might end up being a psychopath.
I beg you, please stop this. Mimi niko tayari kujitolea kukusaidia.
P
Mkuu Pascal Mayalla nashukuru kwa ushauri wako, ila tambua huu sio wakati wa kuvumilia watu wasio na nia njema kwa taifa letu.
 
MAPENDEKEZO

Reserved for later
Asante kwa maelezo, nitaikalia vizuri makala hii baadaye kidogo. Swali la kizushi, nini kilitokea mpaka ukachelewa kutoa maelezo haya kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana 2020 hapa nchini!?
 
To be honest mleta mada umeutendea haki uzi wako. Umechambua kwa kina na uwazi.

Lakini ni mashaka na mambo mawili tu.
1. Kwanini huo mkataba hamtaki kuuweka hadharani ?
2. Kwanini hizi sarakasi za mjadala wa bandari ya Bagamoyo zimeanza kuibuliwa kwa kasi mara tu baada ya Magufuli kufariki?
 
HITIMISHO

Tukubali tusikubali, fursa ya Bandari ya Bagamoyo ikituponyoka tutakuja kuijutia pale Mchina atakapoamua kurejea tena Lamu, au popote pale kwenye ukanda huu wa Bahari ya Hindi!

Inashangaza sana karne ya 21 bado kuna Watanzania wana mawazo yale yale ya Ujima kwamba, eti “madini hayaozi”, na tutakuja kuchimba wenyewe tukishapata uwezo!

Injinia Kakoko na mwenyewe aliwahi kunukuliwa akisema “…na sisi bandari ile (Bagamoyo), tulifanya feasibility study na TPA. Na TPA kupitia serikali, itawekeza na kuijenga wakati utakapokuwa umefika.

Ni wazo zuri kama serikali itakuwa na uwezo wa kujenga hiyo bandari wao wenyewe haidhuru hata kama tumeshindwa kujenga bandari yoyote ndani ya miaka 60 ya uhuru!

Hata hivyo, Kakoko na wengine wanatakiwa kufahamu kwamba, hoja sio kuwa na uwezo wa kujenga bandari bali uwezo wa ku-utilize bandari husika!

Nimetoa mfano wa Bandari ya Piraeus huko Ugiriki ambayo kabla ya uwekezaji wa China, bandari hiyo ilikuwa haifanyi vizuri. Hata hivyo, baada ya Mchina kuingia, Bandari ya Piraeus imegeuka na kuwa ndiyo bandari kubwa kuliko zote Ukanda wa Mediterranean, huku ikichukua nafasi ya 5 Barani Ulaya!

Na ndivyo hivyo kwa Bandari ya Hambantota ambayo na yenyewe ilikuwa haifanyi vizuri lakini hivi sasa hali imebadilika.

Na sababu kubwa ya China kuwa na uwezo wa kuzifanya bandari anazoendesha kufanya vizuri inatokana na ukweli kwamba China ina-handle biashara kubwa sana duniani. Kwa maana nyingine, China ina uwezo wa ku-utilize bandari zake kupitia mizigo yake tu.

Lakini kwa upande mwingine, Mradi wa Bandari ya Bagamoyo pia unahusisha Industrial Complex kubwa sana! Lengo la Mchina ilikuwa ni kujenga viwanda kwenye eneo la bandari, ili baadhi ya bidhaa zake anazosafirisha kutoka China hadi Afrika ziwe zinazalishwa Bagamoyo.

Ninachotaka kusema ni kwamba, pamoja na suala la kodi, mradi huu endapo ungekamilika, ungekuwa chanzo kikubwa cha ajira kwa wananchi!

Bandari ya Bagamoyo sio kama Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chato! Hivyo basi, hata kama tuseme Mzee wa Msoga alilenga kupendelea kwao, hivi kuna mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu na kudai kwamba, watakaofaidika na bandari hiyo ni Wakwere na Wazaramo wa Bagamoyo?

Halafu hii nchi ilivyo na viumbe wa ajabu, hao hao wanaosema JK alikuwa anataka kupendelea kwao, kwa kiasi kikubwa ndo hao hao wanaodharau watu wa Pwani kwamba HAWAJASOMA, na kwamba wanaishia kuendekeza madrasa!

Sasa kwavile nyie ndio mliosoma, hamuoni kwamba ni nyinyi wenyewe ndio mtakaofadika na mradi huo huku Wakwere na Wazaramo wakiishia kuwauzia kahawa?

Ukubwa wa mradi ule unaweza kuzalisha Pay As You Earn (PAYE) kutoka kwa wafanyakazi ambayo ni kubwa kuzidi hata thamani ya ukodishaji wa ardhi!

Na hii PAYE ni endelevu kwa miaka na dahari!

Pamoja na yote hayo, katu simaanishi kwamba Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo upo PERFECT, au ni mkataba bora… la hasha!! Tanzania haijawahi kusaini mkataba ulio bora!

Ambacho ningependa kukiona kwenye hili ni Watendaji na Wafanya Maamuzi kuwa “objective”, na pia waache kusambaza habari za uongo ili mradi tu kuhalalisha ajenda zao.

Wengine ajenda zao ni aibu hata kuzitaja hadharani!

Watu hawa wanatakiwa kukaa na wadau, na kuangalia ni kwa namna gani huu mradi unaweza kufanyika huku tukiacha kile kiburi chetu cha Uzalendo Fake Uliopandikizwa na Mfumo wa Ujamaa!

Aidha, wanatakiwa kukaa na wadau kuangalia ni mfumo upi utaweka mbele maslahi mapana ya taifa.

Na kama nilivyosema kwenye utangulizi wangu, Wapinzani wa Bandari ya Bagamoyo wanawatumikia wale wale wanaowaita Mabeberu bila wao kujijua! Mabeberu walianza kuipinga Belt and Road Initiative ya China tangu kuanzishwa kwake!

Kwa bahati mbaya sana, hao hao waliokuwa wanapinga BRI, hivi sasa wanaanza kuingia mmoja mmoja! Kuna dalili zote kwamba Marekani imeanza kusalitiwa na Washirika wake, hata wale wa Jumuiya ya Ulaya.

Kwa mfano, Jarida la The Diplomat la March 23, 2021 linatueleza kwamba:-


Aidha, wakati Marekani ikihangaika na BRI, mwaka juzi tu hapa, huko China ulifanyika mkutano mkuuubwa wa BRI kama ilivyoripotiwa na UNDP-Asia kwamba:-



Na kwa mujibu wa Serikali ya China, kupitia Belt and Road Portal, wanasema kwamba:-

Mzee wa Msoga aliwahi kutujuza kwamba: Akili za Kuambiwa, Changanya na Zako!
Ukishaona mtu anaandika assumptions kama hizi kwa maandishi mengi sana ujue ni kum. Acha uchangudoa hatutaki huo mradi wenu nyie waswahili mbona hamuelewi. Kakoko aliyeona terms na wewe unaefanya assumptions wewe ndio unajiona unajua sana waswahili mna shida sana maneno mengi uvivu tu na kusubiri vya bure. Fanyeni kazi hakunaga cha bure bure hakuna mtu wa kukufanyia yote hayo bila kukuacha na maumivu mikund yenu.
 
Mkuu Idugunde , kwanza asante sana kwa hoja hii ya mizigo mingi kupitia Kahama kwa barabara hivyo kuharibu barabara zetu. Mizigo hiyo yote inayopita Kahama kwa malori, inatoka bandari ya Dar, na pale bandarini kuna reli kutoka bandarini hadi bandari kavu ya Isaka. Kwanini hiyo mizigo usisafirishwe na reli mpaka Isaka halafu ndio ikaanzia hapo kwenda Rwanda, Burundi na DRC?.

Tena THA na TRC wakiweza wafufue Bandari Kavu ya Isaka na kuifanya iwe active ili, mizigo yote ya DRC, Rwanda na Burudi, ikishuka tuu Dar Port, inapakiwa straight kwenye SGR, na kwenda Moro na ikifika Moro, inahamishiwa straight reli ya zamani na kupelekwa straight Isaka, malori ya Rwanda, Burundi na DRC yaanzie Isaka.

Bandari ya Mombasa is very busy kwa sababu ya mizigo ya Uganda, Sudan ya Kusini na Tanzania. Hata kama tutaboresha efficiency ya Bandari ya Dar, mizigo yote ya Tanzania itapitia Dar, hivyo bandari yetu ikifanikiwa kwenye hili, mizigo yote ya DRC, Rwanda na Burundi itapita Dar na kuifanya Dar port kuwa the biggest, the busiest na the most profitable kuliko bandari ya Mombasa, lakini bado haiwezi kushibisha SGR ikajiendesha kwa faida, ndio maana wenye kuona mbali, wakaamua tujenge bandari ya kisasa Bagamoyo, na kuziboresha Bandari za Dar, Tanga na Mtwara na ndipo tutakuwa na mzigo wa kutosha kuishibisha SGR na kuiendesha kwa faida. Lakini wakatokea wenye uoni wa mpaka mwisho tuu wa pua zao, wakaambizana eti bandari ya Bagamoyo atafaidi Mkwere, waka abandon hii project.

P
Pascal unajua hakuna mtu ambae anakataa ujenxi wa Bandari Bagamoyo ila issue hapa wao ikijengwa tutafaidika vipi?

Kati ha Marais wawili waliopota yupo ambae nina hakika alikuwa na uwezo wa kuisoma MOU mwenyewe ata ikiwa na page 200 na yupo ambae kwake alikuwa kazi yake kusaini tu bila ata kusona page moja.

Katika kuboresha maslahi ya Taifa washaurini ao Wachina na Waoman wafanyie marekebisho vipengere tata ili taifa lifaidike pia sio kuisema Serikali pekeyake.

Hapa ujue hii project ingekuwa imesainiwa kipindi kile basi leo tusngeweza kupanua bandari yetu ya Tanga ambayo itakuwa inapokea mameli ya mafuta kwaajili ya bomba la uganda na ile bandari ilikuwa kwenye bajeti za ya mabilion ya fedha ili kuitanua iwe na uwezo wa kuingiza meli za mafuta.

Licha yakumuona Magu anakisirani sijui alidangwanywa lakini nina hakika Magu alikuwa mwepesi kusoma page ata 100 kuliko JK, JK alikuwa ukipeleka document kwake ye anasaini tu hana mda.
 
Ukishaona mtu anaandika assumptions kama hizi kwa maandishi mengi sana ujue ni kum. Acha uchangudoa hatutaki huo mradi wenu nyie waswahili mbona hamuelewi. Kakoko aliyeona terms na wewe unaefanya assumptions wewe ndio unajiona unajua sana waswahili mna shida sana maneno mengi uvivu tu na kusubiri vya bure. Fanyeni kazi hakunaga cha bure bure hakuna mtu wa kukufanyia yote hayo bila kukuacha na maumivu mikund yenu.
Binti jadili hoja acha matusi.
 
Niseme kwa upande wangu.
Katika ili saga mpaka sasa limepitwa na viongozi watatu, Jakaya Kikwete, Hayati Magufuli na Mh Samia.

Katika ao watatu kila mmjo anasifa yake, labda nikuulize katika ao watatu ni Rais yupi ambae kwake ukipeleka nyaraka hawezi saini bila kuisoma? Katika au watatu kuna mmoja alikuwa na uwezo wa kuiomba MU akaipitia mwenyewe na akaelelewa alipoelewa asipoelewa akaomba msaada kwaiyo sina shakanae.

Hakuna anaekata miradi mizuri yakimaendelea ila tukijifunga ndani ya uo mkataba tutafaidikaje?View attachment 1765309
Hoja sio kuisoma bali nani atapata nini kwenye nini!!

Watanzania wote wausome mkataba neno kwa neno, lakini hilo halitawafanya Total na Serikali ya Uganda watoe mgao mkubwa hata kama mgao huo utasababisha wao wasipate mgao wa maana!

Nimesema kuna suala la unit production cost. unit logistic cost, na transportation cost kutoka Tanga hadi soko la dunia! Hayo ndiyo yata-determine share ya kila mmoja na sio usomaji wa mkataba!!! Na kwavile mradi ni mpya unaochukua karibi TZS 8 trillion, it's obvious unit cost itakuwa kubwa, na hivyo wakilipa Tz $16/barrel, wenyewe hawataweza kuwa na cut ya kueleweka!

Total sio wajinga wawekeze trillions of TZS kwa mradi utakaomfaidisha mwingine! Na usisahau, unapoilipa TZ $16/barrel, hapo tena kuna gharama za kusafirisha pipa moja toka UG to TZ!

Kwa nchi kama America ambako miundombinu tayari ipo, kusafirisha pipa moja ina-cost takribani $5. Kwa maana nyingine, kama bomba linamilikiwa na mwingine, hiyo ndiyo approximation atakayolipwa mwenye bomba!!

What about kwa issue ya UG to TZ ambako ndo kwanza investment imefanyika huku bomba tu likiwa limeshakula almost 8 trillions!! Hapo hapo unatoa mgao wa $16, huku ukitarajia mwenye mafuta yake na investors wanapata $ ngapi?

Na Mkuu unaelekea kutaka kusema huyo mwenye uwezo wa kusoma Mkataba ni JPM lakini mikataba ya kisheria ni zaidi ya uwezo wa kuisoma bali kunahitajika kuilewa zaidi!
 
Ukishaona mtu anaandika assumptions kama hizi kwa maandishi mengi sana ujue ni kum. Acha uchangudoa hatutaki huo mradi wenu nyie waswahili mbona hamuelewi. Kakoko aliyeona terms na wewe unaefanya assumptions wewe ndio unajiona unajua sana waswahili mna shida sana maneno mengi uvivu tu na kusubiri vya bure. Fanyeni kazi hakunaga cha bure bure hakuna mtu wa kukufanyia yote hayo bila kukuacha na maumivu mikund yenu.
Sasa matusi ya nini dadangu? Hizo frustations zenu kutoka kwa waume zenu tafuteni kwa kuzipeleka!!
 
Man, upo JF kwa miaka 11 sasa!! Ni muda mrefu sana huo!!!

Je, umewahi kujadili mada zipi hapa JF ambazo zimeambatanishwa na mikataba? Hivi una hoja ya kujadili kweli wewe? Au kwavile umekosa hoja na ndo unataka kujificha kwenye kivuli cha kutaka mkataba?!

KWA NINI tukubali pendekezo la mradi bila kusoma mkataba?

Chifu Mangungo asingekubali. Yeye alisoma mkataba lakini hakujua sana lugha ngeni. Sisi hata mkataba hatuna. Tunakubalije?

Treaty of Eternal Friendship

I, The Sultan Mangungu of Msovero, Usagara, without duress or coercion, do hereby swear and affirm to offer my territory with all its civil and public privileges to Dr Karl Peters as the representative of the Society for German Colonisation for the exclusive and universal utilization of the German Reich."
 
KWA NINI tukubali pendekezo la mradi bila kusoma mkataba?

Chifu Mangungo asingekubali. Yeye alisoma mkataba lakini hakujua sana lugha ngeni. Sisi hata mkataba hatuna. Tunakubalije?

Treaty of Eternal Friendship

I, The Sultan Mangungu of Msovero, Usagara, without duress or coercion, do hereby swear and affirm to offer my territory with all its civil and public privileges to Dr Karl Peters as the representative of the Society for German Colonisation for the exclusive and universal utilization of the German Reich."
Huna hoja!
 
Asante kwa maelezo, nitaikalia vizuri makala hii baadaye kidogo. Swali la kizushi, nini kilitokea mpaka ukachelewa kutoa maelezo haya kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana 2020 hapa nchini!?
Yaani Mkuu TUJITEGEMEE tumekuwa wote hapa JF for years now na unataka kusema hujawahi kuona maandiko yangu kuhusu Bandari ya Bagamoyo?!

Anyway, I can understand you kwa sababu moja! Mimi huwa mvivu sana kuanzisha threads, kwahiyo nimekuwa ni mchangiajia zaidi! lakini kwa posts zangu za nyuma, nimeshaandika sana!!
 
Hakuna hoja waswahili wamejaa umama sana.
Hivi kuna umama kama kuibuka from nowhere na kuanza kutukana?! We jamaa mshamba sana!! Halafu unajiita gentleman... G gani anaweza kuwa na tabia za kiboya kama za kwako!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujinga ni mzigo jamani!

Walioona mkataba wamesema unatunyonya!

Wewe kajamba nani ambae hujauona mkataba unakuja hapa kuwatetea wachina kwamba hautunyonyi na hao waliosema unatunyonya ni waongo!

Sasa unataka tujadili kitu gani hapa?

Weka mkataba hapa tuusome wenyewe ili tujadili, vinginevyo wewe pamoja na hao kina Kakoko ni watu wa hovyo,.
Jadili hoja, kwa sababu ni mjinga tu ndie anaweza kushindwa kujadili mada eti kisa hakuna mkataba!!
 
Chige:
Nimekuelewa Sana. Labda moja tu sijaliona. Muunganiko wa SGR tunayojenga na Bandari ya Bagamoyo
Mradi wa Bandari wa Bagamoyo ulikuwa na mambo makubwa matatu:-
1. Bandari yenyewe
2. Industrial Park
3. SGR kutoka Bagamoyo to the main SGR line!

Bandari na SGR ingekuwa financed na China, na Industrial Park ilikuwa iwe financed na Oman!
 
Back
Top Bottom