Uchaguzi 2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

Uchaguzi 2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

K
Lisu kaingia mkataba na kampuni za kikoloni,kwa sasa wakoloni ndiyo watetezi wake , wakoloni ndiyo wafadhili wake , wakoloni ndiyo walinzi wake.
Hakika sasa wakoloni ndiyo hakika wavunja Amani yetu.

Huyu Mangungo hatakiwi na Huwezi kuturudisha utumwani.

Bakia huko huko wewe na familia yako, huko huko .

Mungu ibariki Tanzania.

Mangungo kwaheri ,wewe na Mabeberu wako, hatukutaki wewe na mikataba yenu ya siri.
Nenda kwa Amani usirudi tena.

Umeuza Chadema Live.
Cha ajabu misaada ya wakoloni mnaipokea mnawaita wafadhili.
 
Sio tu lissu atashidwa vibaya bali na wabunge wengi wa cdm watapoteza majimbo yao. CCM ndio baba ya vyama vyote Africa, itabaki kua hivyo miaka 100 mbele.
 
Wakati mnarukaruka na kukanyagana hapo Lumumba, chondechonde mtuachie nchi yetu salama. Naona kabisa hamjui kutofautisha kati ya nchi na ccm 😆

Mmezoea kumwaga mboga kila uchaguzi bila kuwajibishwa! Safari hii mkimwaga mboga tutawaadabisha na ugali tutaula kwa kurumanga
1598195261185.png
 
Pascal Mayalla unaona hoja za vijana?

Utawala uliopo ndio umemfanya Tundu Lissu awe jitu la kutisha.

Amenusurika kifo, ana kesi lukuki zisizo na kichwa Wala miguu, amedhulumiwa haki na stahiki zake za kibunge, yaani hakika matendo ya serikali dhidi yake ndio yamemfanya asiwe muoga Tena.

Leo mnaanza kulialia, mlizuia siasa miaka mitano, Leo tuna kiu ya kuwasikiliza mliowaziba midomo.
Hi ndio karma yenyewe
Wamefuga jini wao wenyewe
 
Mabeberu hawawezi kutuwekea mtu wao na sisi tukakubali hata siku moja. Lisu is proving to be a puppet for the west.
 
Kuna watu mnafanya analysis very emotionally driven, Sasa TAL hana ubavu wa kushika hii nchi na kamwe hawezi kuwa Rais, Afu tu nikujuze sambamba na Vyombo vya dola kutokulala kuhakikisha wewe unakuja kuhara apa safely, Watanzania tuna desturi ya kupenda amani utatugawa kwa lipi kama udini na ukabila kwetu sisi sio inshu kabisa
Zilipendwa, zinaimbwa zaidi na nyie mnaotapeli. Kwa sasa hata watoto wa chekechea watakutazama usoni kwa mshangao.
 
kama inatakiwa nguvu ya mabeberu ili tupate katiba mpya utawala bora hakuna namna na iwe hivyo. jiwe tumelichoka.
 
Hakuna cha mabeberu wala nini nyuma ya Lissu kinachoendelea so far ni sawa na wafuasi kadhaa wa CDM au CUF au CCM au NCCR mageuzi wajiamulie wao wenyewe kumvamia mfuasi wa chama kingine halafu kutokana na sare zao lawama uzipeleke kwa Mbowe/Lipumba/Magufuli/Mbatia watu ambao hakuna ushahidi wa wao kuhusika kumtuma mtu yeyote kufanya hayo matendo.

Hao Amsterdam, Jarida la Economist na Moody’s ni taasisi ambazo vibeberu vyenye hela zao na interest zao za kibiashara ndani ya Tanzania wanaweza zitumia kufanya lobbying au kutoa pressure serikalini kwa niaba yao ili kikaragosi wao Lissu aonekane ana western backup.

Hila mpaka sasa hakuna ushahidi wa concerns kwenye uchaguzi wetu from West official communication channels labda viherehere ni media za Kenya sijui wanawashwa na nini kuchagua upande kwenye siasa zisizo wahusu.

Lissu nafasi ya uraisi aimtoshi acheni kumjaza upepo kama anaweza rubuniwa na wafanya biashara wachache na kutuzuga kama vile dunia nzima inamuangalie yeye huyo mtu anaweza fanya lolote ili apate kura tu bila ya kuelewa ugumu wa kazi yenyewe.
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.

Hivi beberu ni nani? nasikia tu mabeberu, mabeberu, lakini sijasikia wakitajwa ka majina ya au ni nchi gani.
 
Daah threads za Tundu lissu humu ndani sasa zinakaribia elfu na ushee. Ninachojiuluza ni why?? Uoga ama ni nini? Je uongeaji wa Lissu wa zamani na sasa umebadilika? Je ni watu wali miss hizi speeches zake??
 
Pascal Mayalla unaona hoja za vijana?

Utawala uliopo ndio umemfanya Tundu Lissu awe jitu la kutisha.

Amenusurika kifo, ana kesi lukuki zisizo na kichwa Wala miguu, amedhulumiwa haki na stahiki zake za kibunge, yaani hakika matendo ya serikali dhidi yake ndio yamemfanya asiwe muoga Tena.

Leo mnaanza kulialia, mlizuia siasa miaka mitano, Leo tuna kiu ya kuwasikiliza mliowaziba midomo.
Hi ndio karma yenyewe
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji106][emoji106][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kuna watu mnafanya analysis very emotionally driven, Sasa TAL hana ubavu wa kushika hii nchi na kamwe hawezi kuwa Rais, Afu tu nikujuze sambamba na Vyombo vya dola kutokulala kuhakikisha wewe unakuja kuhara apa safely, Watanzania tuna desturi ya kupenda amani utatugawa kwa lipi kama udini na ukabila kwetu sisi sio inshu kabisa
Huo wimbo wa AMANI ukiunganishwa na wapinzani kwa sasa CD ime scratch tafuta kingine. Msiyempenda kaja kwamba hawezi kuwa rais, nawe hakuna unachojua maana ni siri ya watanzania, na uache kujipa kazi ya ushehe Yahaya.
 
Hakuna wa kumshinda Rais Magufuli,aliyoyafanya kwa kipindi kifupi yako wazi.
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.
Kila MZAWA WA TANZANIA Ni Mzalendo hawa wakuja si Wazalendo
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.
Mna bidii kubwa ya kuokoteza vihoja baada ya hoja ya madaraja kushindwa.
Nyie mkiongozwa na shetani ndio mliyosabisha aende ughaibuni, kama dhambi ni yenu na mliyowashangilia kwa kutaka kumuua.
Mliivuna wenyewe.
Lissu ndie mzalendo wa kweli, Mungu amelinda uhai wake na amempa fursa ya kuja kulithibitisha kwa kuikomboa nchi yetu.
BADO kitambo kidogo tu hilo litatimia
AMEN
 
Back
Top Bottom