je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
- Thread starter
- #281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila unapohamisha kwenda bank nyingine.Wanakusanyaje au kila unapofanya muamala
Kama ni hivyo hawanipati
Tra wanajisifu kukusanya kodi kubwa kumbe wanachofanya kuwaumiza walipa kodi wachache yani sasa hv kila sehem kodi imezidi sana...badala ya kuongeza vyanzo vya mapato wanaumiza wachachs is not fairLEO NIMEPATA SMS KUTOKA NMB BANK IKISEMA IFUATAVYO:
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Ujumbe huo. Watanzania inafika point huna pakupumua kila sehemu tozo bank tozo kwenye simu tozo. Mnataka tuende wapi? Juzi nimetuma crdb to crdb nimeliwa 7500 huku nmb napo wanachukua tozo.
Kwenye simu miamala moto unawaka. Tunaumizana sana nchi hii
View attachment 1977815
Safi sana!NMB Tanzania hii taarifa mbona kama hamkuniambia before? Huu undezi huu, kuweni serious na hela zetu.
View attachment 1977405
Nmb walinijibu..View attachment 1979605