ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,073
Acha watuangamize watakavyo tu maana Hatuna wawakilishi tena.
Unauza bidhaa unakatwa kodi, unatoa pesa benki wanakata, tozo linapitia palepaleunabakiwa na nini kama si kumuongezea mtu wa mwisho gharama za maisha?
Unauza bidhaa unakatwa kodi, unatoa pesa benki wanakata, tozo linapitia palepaleunabakiwa na nini kama si kumuongezea mtu wa mwisho gharama za maisha?