Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Watu wa musoma bado mna ubabe wa kizamani
 
Kutaka ugomvi na wanawake mtoto wa kiume huo ni UMAMA /USHANGAZI
 
Acha kututisha huna lolote mzee mwenzangu tulia tulee wajukuu
 
Weka namba zako Mtani
 
Kuna madogo wapo likizo wanasumbua sana. Toka sisi wapemba tufanye yetu watu wamevurugwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…