Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Mkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!

Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!

Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.

Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Watu wa musoma bado mna ubabe wa kizamani
 
Mkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!

Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!

Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.

Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Kutaka ugomvi na wanawake mtoto wa kiume huo ni UMAMA /USHANGAZI
 
That’s why I don’t beef online, anymore.

Most folks are pussies. And I’m old school.

Ukinizingua tukikutana, it’s on-site.

Disrespect has no expiry date.

I’d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbani….
Acha kututisha huna lolote mzee mwenzangu tulia tulee wajukuu
 
Mkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!

Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!

Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.

Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Weka namba zako Mtani
 
Habari zenu 🖐

Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma.

Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona mademu akaanza sifa za kuji-mwambafy, bac yule jamaa nikamtuliza vizur tuu kwa upendo, bhana acha anitukane mbele za watu na kujifanya kama anataka kunipiga.

Mimi nikamsoma nikajua tuu huyu hana lolote ni muoga tuu sema anafanya hivo kisa ameona mademu anatafuta sifa, ulimbukeni wa ajabu sana.

Mimi sikufanya chochote nikamwambia bac yaishe, umeshinda.

Nilim-mind sana, tulivotoka pale kesho yake nikamfata personally alikuwa peke yake kwaio tulikuwa peke yetu "Ntu mbili" mm na yeye, nikamwambia "mwanang jana si ulitaka unipige, nipige bac asaiv" akaanza kujifanya kama haelewi, nikamwambia tena kwa sauti ya juu "nataka tupigane kama ulivotaka tupigane jana, si ulikuwa unatafuta sifa kwa wale mademu njoo bac asaiv tuzichape ntu mbili" jamaa akaanza kuomba msamaha mwanang na kusema hakuwa serious eti alikuwa anatania.

Hapa tunajifunza nini?? "The more quiet the man is, the more dangerous he is"

Kuna thread za mabifu nimeona zimeongezeka humu JF tokea juzi na watu wakitaka kupigana, Kwenu UMUGHAKA Hance Mtanashati GENTAMYCINE LIKUD Mjanja M1 na wote weny mabifu, ukiona mtu anakuja kweny uzi wako na anaanza kukutukana na kukuoneshea ubabe bila sababu achana nae msianze kupanga siku za kukutana kupigana vitasa, wanaoweza hayo mambo huwanaga mdomo wa kujitambatamba na kujionesha kwa watu.
Kuna madogo wapo likizo wanasumbua sana. Toka sisi wapemba tufanye yetu watu wamevurugwa sana.
 
Back
Top Bottom