Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Kisaikolojia

Bifu na chuki hazisababishwi na watu Bali msongo was maisha was watu husika kile wanachopitia ndicho huwatia hasira na kuwa mind wengine!tunaita displacement reaction!

Uchumi umekaba, familiar inazingua malengo hayajatimia,mbona yule anaweza mbona mimi nashindwa!? Na baadhi ya maswali kama hayo husababisha cheche kidogo ya sauti kuzua mlipuko mkubwa was ugomvi na chuki zisizoisha!

Ndio maana wengine tuliamua kuwa kimya au kucheka TU ili kuepusha shari!!
You said it all 🤝🤝, Uzi ufungwe
 
That’s why I don’t beef online, anymore.

Most JF folks are pussies. And I’m old school.

Ukinizingua tukikutana, it’s on-site.

Disrespect has no expiry date.

I’d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbani….
Pussy ni wewe mwenyewe qumamaqe. Wewe nikikutia mkononi huchukui dakika mshamba wa kisukumer
 
Kabla ya kufika hapo, mtu usiyemjua anakupandishaje hasira namna hiyo?

Unajua mtu akikujua akisema lolote juu yako ndipo mtu hupata hisia za maumivu na hasira, na wengi wao ni watu wazima kabisa!

Sijui, ila hayo wengine tuliyafanya wakati tunajiunga JF tukiwa watoto wa early 20’s.
Kwahiyo wee ni shangazi?
 
Back
Top Bottom