Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 727
- 2,969
Kwanini unamchekea mwanaume? Umeona mimi nikicheka?Why are you so triggered? Not happy with your life or what? [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unamchekea mwanaume? Umeona mimi nikicheka?Why are you so triggered? Not happy with your life or what? [emoji1787]
Imagne mtu anarudi Kwa mke wake bila menoThat’s why I don’t beef online, anymore.
Most JF folks are pussies. And I’m old school.
Ukinizingua tukikutana, it’s on-site.
Disrespect has no expiry date.
I’d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbani….
Ndo hivyo hivyo, ima fa ima.Ndo nini hii sasa. Eti 'nenda kajitttttombe' sasa ndo kitu gani?
Sijaelewa kwanini unamchekea chekea mwamba.You wish [emoji3].
Sinaga maneno mengi. Weka location nije sasa hivi ule mitamaI ain’t hard to find. Just pull up and run your mouth to my face and see if you’ll make it back to where you came from.
🤣🤣🤣🤣🤣Yooo! nmecheka huko mwishoYo! nini sasa. Eti lishkaji linajifanya black america. Aisee usije jichanganya. Ntakupiga ndoo upotee
Sele kawashika pabayaaa shouuzz 😂😂😂😂😂😂😂Kilishawaka mchana 🤭 imetosha.. sitaki tena kusikia nakuwa chanzo cha not open for further replies 😏😏
Daah. Wakuu huyu mshikaji ananichekea chekea imekaaje hii. Kuna kitu anataka aniuzie?In Cardi B’s words…..you throwing shots! So I know I got you triggered.
Seems like I got condos in your head [emoji1787][emoji1787].
[emoji867]
Kwani hatujafika muafaka bado?Sasa hivi pm unapaona kama mwiba!
Well, hizo ndo consequences za real world.Imagne mtu anarudi Kwa mke wake bila meno
Kujitttttomba unamaanisha nikafanye masturbation? Nikifanya hiyo unadhani ntapoteza nguvu za kukuweka mitama?Ndo hivyo hivyo, ima fa ima.
Lilikuwa la motoooo 🤣🤣🤣nimelikumbuka lile bifu letu
Duh, ukiona unagombana na mimi wewe ni fukarestHabari zenu 🖐
Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma.
Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona mademu akaanza sifa za kuji-mwambafy, bac yule jamaa nikamtuliza vizur tuu kwa upendo, bhana acha anitukane mbele za watu na kujifanya kama anataka kunipiga.
Mimi nikamsoma nikajua tuu huyu hana lolote ni muoga tuu sema anafanya hivo kisa ameona mademu anatafuta sifa, ulimbukeni wa ajabu sana.
Mimi sikufanya chochote nikamwambia bac yaishe, umeshinda.
Nilim-mind sana, tulivotoka pale kesho yake nikamfata personally alikuwa peke yake kwaio tulikuwa peke yetu "Ntu mbili" mm na yeye, nikamwambia "mwanang jana si ulitaka unipige, nipige bac asaiv" akaanza kujifanya kama haelewi, nikamwambia tena kwa sauti ya juu "nataka tupigane kama ulivotaka tupigane jana, si ulikuwa unatafuta sifa kwa wale mademu njoo bac asaiv tuzichape ntu mbili" jamaa akaanza kuomba msamaha mwanang na kusema hakuwa serious eti alikuwa anatania.
Hapa tunajifunza nini?? "The more quiet the man is, the more dangerous he is"
Kuna thread za mabifu nimeona zimeongezeka humu JF tokea juzi na watu wakitaka kupigana, Kwenu UMUGHAKA Hance Mtanashati GENTAMYCINE LIKUD Mjanja M1 na wote weny mabifu, ukiona mtu anakuja kweny uzi wako na anaanza kukutukana na kukuoneshea ubabe bila sababu achana nae msianze kupanga siku za kukutana kupigana vitasa, wanaoweza hayo mambo huwanaga mdomo wa kujitambatamba na kujionesha kwa watu.
Dah, ila mshikaji wako alikuwa na madini sana, wewe umetufukuzia JFLilikuwa la motoooo 🤣🤣🤣
Ila wewe ulinichukia baada ya kuachana na ndugu yako nikawa na bwana yule, tulikuwaga mabest kabla.
Umeona sasa ulivyo mweupe kichwani? Kwa vile hata hunijuwi nini kinakufanya uamini sitarudi salama. Kwanini usiamini mambo yatakua 50/50. Au wewe unapiga ulimwengu wote?Well, hizo ndo consequences za real world.
Huku JF kuna false sense of security.
Mtaani hakuna hiyo security maana consequences zake ni real.
Kwa mfano, umeona huyo anayejiita ‘Mwamaleki’ anavyonishambulia?
Unadhani uraiani tukikutana atakuwa na huo ujasiri?
Akisema hayo maneno yake mbele yangu hatorudi mzima nyumbani kwake kama alivyotoka.
Akisema hivyo mbele yangu anaweza kabisa kurudi kwa wanae akiwa kibogoyo.
I’m just sayin’.
Hapana, ungemtafuta mwenyewe angekupa majibu sahihi.Dah, ila mshikaji wako alikuwa na madini sana, wewe umetufukuzia JF
Uje asubuhi hii? Kwani we uko wapi?Umeona sasa ulivyo mweupe kichwani? Kwa vile hata hunijuwi nini kinakufanya uamini sitarudi salama. Kwanini usiamini mambo yatakua 50/50. Au wewe unapiga ulimwengu wote?
Maneno yasiwe mengi. Weka location nije asubuhi hii
Hapa tu tayari watu wanataka kwenda kupigana 🤣🤣Hahhahahaha unajua hata Jf ina wanachama wengi wehu wakiwemo hao wasuojuana ila wanataka kwenda kupigana sijui wanachukiana…kwakweli ni wagonjwa sana na hawana shughuli za maana za kufanya!