Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I find that people who say no "pun intended " always intend the pun.Hahahaaaa dah!
Eti usiyemjua unamchukiaje!
Ama kweli nyani [no pun intended] haoni la kwake 🤣.
Utoto shida sana.
Ila kumbe wakikua wanaacha.
Mi sina ugomvi naye.Nyani Ngabu na Mwamaleki mna ugomvi gani baina yenu??
Daah noma mkuu ahahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!
Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu ✌
Njoo nikupe chuma ya kwenda Crown😂😂😂 Mkuu kulikua Amna gari pale
Nita kutafuta January mkuuNjoo nikupe chuma ya kwenda Crown
Bwana yule alikuwa ananichukia sana,sasa hivi bora umerudi kwenye njia sahihiLilikuwa la motoooo 🤣🤣🤣
Ila wewe ulinichukia baada ya kuachana na ndugu yako nikawa na bwana yule, tulikuwaga mabest kabla.
Mkuu haunaga shida na mtu huyo mlevi achana nae... Unavomjibu unampa airtime sanaMi sina ugomvi naye.
Hi ndo most effective method, sio watu Wana zunguka mbuyu kama majani.That’s why I don’t beef online, anymore.
Most JF folks are pussies. And I’m old school.
Ukinizingua tukikutana, it’s on-site.
Disrespect has no expiry date.
I’d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbani….
Dah ka Uzi kakaliwa kichwa😄😄, acha niende Nika lalamike why wame ufungia🤒Kilishawaka mchana 🤭 imetosha.. sitaki tena kusikia nakuwa chanzo cha not open for further replies 😏😏
Ulalamike we ndiye ulikuwa mwanzilishi? Ulikuwa mchatiji? Kaushia hapo hapoDah ka Uzi kakaliwa kichwa😄😄, acha niende Nika lalamike why wame ufungia🤒
Wanajuana mwayaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!
Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu [emoji1422]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sele kawashika pabayaaa shouuzz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna sehemu nlisoma kama sijakose majaamaa walipanga wakutane tabata shule uwanjani wazichape sasa ilipofika siku yule mwenye maneno mengi akafika, bwana bwana yule mkimya alivyofika jamaa kidali mwenye kelele walienda kumkamatia kule chini chura dume alitoka nduki kiroho mbaya
Hatuna baya.Nyani Ngabu na Mwamaleki mna ugomvi gani baina yenu??