Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ulimpiga mtu?Iam not funny mkuu,that's reality!
Nishakaa jela mkuu kwa miaka takribani 5 na miezi 7
Katika kupigana kwako kote ushawahi kupigwa/ kushindwa hata mara moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimpiga mtu?Iam not funny mkuu,that's reality!
Nishakaa jela mkuu kwa miaka takribani 5 na miezi 7
Adab 👍Makuzi nayo yanachangia, wengine wameathiriwa na magenge ya mtaani walipokulia.
Kwao matusi, kejeli, dharau, visasi vya kijinga na kupigana ovyo ni sehemu muhimu ya maisha yao.
Mungu akunyime vyote kasoro Akhlaq na adab.
Watu wa musoma bado mna ubabe wa kizamaniMkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!
Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!
Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.
Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Kutaka ugomvi na wanawake mtoto wa kiume huo ni UMAMA /USHANGAZIMkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!
Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!
Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.
Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Bifu langu na The bold haliwezi kuisha hata kama hatujuani.Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!
Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu [emoji1422]
Acha kututisha huna lolote mzee mwenzangu tulia tulee wajukuuThat’s why I don’t beef online, anymore.
Most folks are pussies. And I’m old school.
Ukinizingua tukikutana, it’s on-site.
Disrespect has no expiry date.
I’d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbani….
MK254 mliokulia kwenye slums njoo hapa mjaluoMakuzi nayo yanachangia, wengine wameathiriwa na magenge ya mtaani walipokulia.
Kwao matusi, kejeli, dharau, visasi vya kijinga na kupigana ovyo ni sehemu muhimu ya maisha yao.
Mungu akunyime vyote kasoro Akhlaq na adab.
Come say that to my face!Acha kututisha huna lolote mzee mwenzangu tulia tulee wajukuu
Ulimpiga mtu?
Katika kupigana kwako kote ushawahi kupigwa/ kushindwa hata mara moja?
Mtafute mkapigane 🤣🤣Bifu langu na The bold haliwezi kuisha hata kama hatujuani.
Au watu wanajuana jamani?Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!
Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu ✌🏽
Watu wa musoma bado mna ubabe wa kizamani
Sijui kwa Nini hiyo I'd inanishangazaga😄😄😄Yellow donaty nimekusamehe, rudi online
Try on ur own risk watu hamna hela mnawaza kupingana tu doesnt help na njanuary hiyooooooCome say that to my face!
Weka namba zako MtaniMkuu mimi kama kuna mambo nayapenda maishani mwangu ni Vurugu,Purukushani na Kutandikana!
Huwa nataka hata mmoja tu aniite mahali halafu tuonyeshane uanaume!,nimetahiriwa kwa kisu butu bila ganzi,yaani nipigwe na mwanamke?,Akianani nikipigwa na hao wanawake nitajiua siku hiyo!
Hao wajinga siku wakijidanganya wakaingia kwenye anga zangu wataenda kusimulia mabwana zao!.
Mimi si mtu wa Mkwara,Mkwara kule kwetu Rebu unapigwa na Mwanamke ambaye hajakeketwa (Musaghane)!
Wasingewashiana moto huku, simple logic.Au watu wanajuana jamani?
ukiiweka kwa kiswahili 'donati la njano'🤣Sijui kwa Nini hiyo I'd inanishangazaga😄😄😄
Just pull up and say it to my face.Try on ur own risk watu hamna hela mnawaza kupingana tu doesnt help na njanuary hiyoooooo
Kuna madogo wapo likizo wanasumbua sana. Toka sisi wapemba tufanye yetu watu wamevurugwa sana.Habari zenu 🖐
Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma.
Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona mademu akaanza sifa za kuji-mwambafy, bac yule jamaa nikamtuliza vizur tuu kwa upendo, bhana acha anitukane mbele za watu na kujifanya kama anataka kunipiga.
Mimi nikamsoma nikajua tuu huyu hana lolote ni muoga tuu sema anafanya hivo kisa ameona mademu anatafuta sifa, ulimbukeni wa ajabu sana.
Mimi sikufanya chochote nikamwambia bac yaishe, umeshinda.
Nilim-mind sana, tulivotoka pale kesho yake nikamfata personally alikuwa peke yake kwaio tulikuwa peke yetu "Ntu mbili" mm na yeye, nikamwambia "mwanang jana si ulitaka unipige, nipige bac asaiv" akaanza kujifanya kama haelewi, nikamwambia tena kwa sauti ya juu "nataka tupigane kama ulivotaka tupigane jana, si ulikuwa unatafuta sifa kwa wale mademu njoo bac asaiv tuzichape ntu mbili" jamaa akaanza kuomba msamaha mwanang na kusema hakuwa serious eti alikuwa anatania.
Hapa tunajifunza nini?? "The more quiet the man is, the more dangerous he is"
Kuna thread za mabifu nimeona zimeongezeka humu JF tokea juzi na watu wakitaka kupigana, Kwenu UMUGHAKA Hance Mtanashati GENTAMYCINE LIKUD Mjanja M1 na wote weny mabifu, ukiona mtu anakuja kweny uzi wako na anaanza kukutukana na kukuoneshea ubabe bila sababu achana nae msianze kupanga siku za kukutana kupigana vitasa, wanaoweza hayo mambo huwanaga mdomo wa kujitambatamba na kujionesha kwa watu.