Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wapigane kwa Bluetooth π€£π€£π€£π€£π€£
Am done tupeane michongo achaneni na hii mambo its real old school lifeYou clearly donβt want the fade.
Deuces βοΈ.
Yaani we acha tu mkuu π€£π€£π€£π€£π€£ananiambia nimpe pesa ya mafuta anifuate popote nilipo hata uani kwetu yupo tayari anipige mpaka aniue ππππππππComedy.
You said it all π€π€, Uzi ufungweKisaikolojia
Bifu na chuki hazisababishwi na watu Bali msongo was maisha was watu husika kile wanachopitia ndicho huwatia hasira na kuwa mind wengine!tunaita displacement reaction!
Uchumi umekaba, familiar inazingua malengo hayajatimia,mbona yule anaweza mbona mimi nashindwa!? Na baadhi ya maswali kama hayo husababisha cheche kidogo ya sauti kuzua mlipuko mkubwa was ugomvi na chuki zisizoisha!
Ndio maana wengine tuliamua kuwa kimya au kucheka TU ili kuepusha shari!!
We takataka peleka hesabu ya bosi wako
Yaani we acha tu mkuu π€£π€£π€£π€£π€£ananiambia nimpe pesa ya mafuta anifuate popote nilipo hata uani kwetu yupo tayari anipige mpaka aniue ππππππππ
Wewe ni mwanaume??? π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ulitaka Sparring mwenyewe lakini mwisho siku umeingia mitini!
Kweli Mwanamke ni Mwanamke tu!
Kwa hiyo wewe ni basha?? π€£π€£π€£π€£π€£π€£Endele kujichekesha kama shoga aliona basha!
Kama wewe mshikaji unajikutaga mwamba kinoma. Siku tukikutana uso kwa uso ntakuvunja usoHahahaaaa dah!
Eti usiyemjua unamchukiaje!
Ama kweli nyani [no pun intended] haoni la kwake [emoji1787].
Utoto shida sana.
Ila kumbe wakikua wanaacha.
Wewe ni mwanaume??? π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Pussy ni wewe mwenyewe qumamaqe. Wewe nikikutia mkononi huchukui dakika mshamba wa kisukumerThatβs why I donβt beef online, anymore.
Most JF folks are pussies. And Iβm old school.
Ukinizingua tukikutana, itβs on-site.
Disrespect has no expiry date.
Iβd rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbaniβ¦.
Season 7 episode 4ππππbifulization season..
Yo! nini sasa. Eti lishkaji linajifanya black america. Aisee usije jichanganya. Ntakupiga ndoo upoteeYo! Ushawahi kupigana mtaani au huwa unapigana JF tu? [emoji1787]
Wacha weeeeeh kwa hiyo na Mimi ukiniua nitakupa wangapi kwenye listi Yako uliowadedisha πππππππNishapiga nakuua!
Wacha weeeeeh kwa hiyo na Mimi ukiniua nitakua wangapi kwenye listi yako uliowadedisha πππππππNishapiga nakuua!
Andika kiswahili acha ulimbukeni.Hahahaaa!
Youβre funny [emoji1].
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hahahaaa!
Youβre funny π.
Kwahiyo wee ni shangazi?Kabla ya kufika hapo, mtu usiyemjua anakupandishaje hasira namna hiyo?
Unajua mtu akikujua akisema lolote juu yako ndipo mtu hupata hisia za maumivu na hasira, na wengi wao ni watu wazima kabisa!
Sijui, ila hayo wengine tuliyafanya wakati tunajiunga JF tukiwa watoto wa early 20βs.