Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Kiongozi hukai uswahili,ukiwa uswahilini wala huwezi kuuliza wako wapi,ni wengi mnoWanapatikana wapi jamani? mbona mimi siwaoni.
Natafuta binti mzuri aliyezalishwa na kutelekezwa ila anayejitambua, ambaye ana uhakika hana mawasiliano na baba mtoto na hatarajii hilo litokee. Ikiwezekana ambaye hajui hata baba mtoto yuko wapi. awe mkomavu wa maisha kwa ujumla. Niko tayari kumfungulia biashara.
Dada ilo ni bomu kimbia litakulipukia
Diamond na kikundi chake wanawafundsha kucheza kwangaru kukata viuno na mijusi kafiriBongoflavor ya kisasa inachangia badala ya kutoa nyimbo zenye kuonya, kukanya zimejaa kuhamasisha ngono. Watu hawajui tu ila ni janga
Duh kama ni kweli hiyo ni zaidi ya hatari.Mabinti wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa. Isitoshe wengi wao hawana kipato cha uhakika.
Hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Miaka 30 siyo sheria kali?Tatizo kubwa ni Serikali ambayo haitaki kutunga sheria ili kuwabana hao mabaradhuli wanaotia mimba hovyo hovyo kisha kuingia mitini.
Kungekuwa na sheria kali basi hili tatizo la SINGO MAZA ambalo sasa linashamiri kwa kasi ya kutisha lingepungua sana.
Siyo mashuleni ianzie nyumbani.Shuleni its too late.Siku hizi Mambo yanasambaa fasta kama moto wa petroliTuendelee tu ila elimu ya kujitambua inabidi ianzie huko mashuleni maana kuolewa mapema si kigezo chakupunguza haya tena wanaoolewa bila kujitambua wanaishia kuachika kama sio kunyanyasika zaidi
Kwa hiyo mitusi yote hiyo kisa bia.HahahaaaaaaaYani mkuu ni shida mi ninae mmoja ,kuna siku nikamuita sehemu aje anywe hata soda ,akaniuliza wewe unakunywa nn nikamwambia bia,wee alinitukana balaa sitaki mwanaume mlevi sijui nini,nikamwambia hela natafuta Kwa nguvu zangu basi achana na Mimi,akaa kimya,kesho ananitumia msg baby Nina njaa hostel hakuna kitu nisamehe mpenzi wangu,nikamwambia fala wewe utakufa njaa unajifanya mjuaji kumbe unanuka njaa ,njoo nikufanyie shopping ya msoc ukale hostel huko
Anataka waje wavae sare na katoto kake wapige picha ili apost instagramu.Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]
Siyo mashuleni ianzie nyumbani.Shuleni its too late.Siku hizi Mambo yanasambaa fasta kama moto wa petroli
Majumbani watoto wanashinda na mahousegirl wazazi wako busy kusaka ela ndomana nikasema shuleni watoto wafundishwe
mwanangu utaachaga lini ujinga kama wa swalehe?[emoji23]miaka 18 , 19 , 20
Mshahara 300k kama utafanya kazi vizuri 400k itategemea na suggestion ya mwanangu swalehe
Kama ndiyo hivyo ni kupokea matokeo tu hamna namna.Mzazi au Mlezi ndo mjenga msingi,wanaofuata baada yake ni wainua kuta na finishing tu.Msingi ukiwa legelege hiyo nyumba itasimamaje?.
[emoji16][emoji16][emoji16] nmecheka sana mkuuUkiangalia kungwi nae kaachika
Tatizo kubwa ni Serikali ambayo haitaki kutunga sheria ili kuwabana hao mabaradhuli wanaotia mimba hovyo hovyo kisha kuingia mitini.
Kungekuwa na sheria kali basi hili tatizo la SINGO MAZA ambalo sasa linashamiri kwa kasi ya kutisha lingepungua sana.
Mabinti wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa. Isitoshe wengi wao hawana kipato cha uhakika.
Hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.