Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

[emoji91][emoji91][emoji91] noumaaaah nimekumbukaa mbalii daaah.

Leta na ule wa "kanifuata"
maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna.....πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hii kazi unayofanya mbona ngumu sana?
 
Ukweli usemwe watu wapone
 
Nnacho wakubali watu wa Arusha wako real, hawajui kufake, iwe me or ke.

Nawapenda hapoo.
Reality ni hulka ya mtu sio mkoa atokako, wale jamΓ a walitaka kua na Nchi yao, pardon isingekua Nyerere kungekua na United Republic of Arusha
 
Yaan unataka kusema wanawake wa Arusha wana Pesa kuwazidi wanaume wao waliowaoa yaan wanaume wa Arusha waliooa wameolewa au unamaanisha nini ? Kwako Depal
Kwanza sio wanawake wa Arusha. Arusha by nature haina mchaga nasikia.

Pia wanawake wa kichaga ni watafutaji, so wanamix za mke na mume.
Coca alizungumzia point ya harusi/ masherehe. Mpk hapo utaelewa kwamba hizo pesa wakizimix wanafanya kitu kikubwa
 
You're right, japo wapo mabinti wazuri na wenye tabia njema.

Kuna lile kabila linapatikana kule mlimani kunakotoka 'cha chuga' wale hawafai kabisa hao.
Mlimani wapi huko mkuu ? Kilimanjaro ?
 
Aaaha kwa hio wewe ukasema wanaume wanawaogopa wanawake wa Arusha sababu wanaume hawana Pesa Ila wanawake wa Arusha wana Pesa au nilikuquote vibaya ?
 
You're right, japo wapo mabinti wazuri na wenye tabia njema.

Kuna lile kabila linapatikana kule mlimani kunakotoka 'cha chuga' wale hawafai kabisa hao.
Roma mkatolik zamani kidogo wakati ametoa wimbo.....

"Ndio maana mama alinikataza nisi mchumbie mmachame" quotes from Roma mkatolik

Kipindi icho nilikua na rafik wa kike mmachame alipo sikia icho kipande tukiwa wote alishitukaa na kutetemekaa.. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ŠπŸ˜Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…