Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna.....[emoji4][emoji4][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee.
 
Mimi na interact nao. Nao wanalia njaa tu hakuna lolote
 
Sasa kuongea tu ndiyo mpaka ulie?
 
Ukweli usemwe watu wapone
Ni sahihi Mkuu ukweli lazima usemwe, lakini Samaki mmoja akioza sio wote watakaooza.

Kuna watu wamepata wake bora kutoka kwenye hayo makabila ambao leo hii wanajivunia.

Tukisema tutoe ushuhuda hapa ya Kabila Malaika nahisi halitatokea, Muhimu utakayempata hakikisha una mvumilia ukitambua hakuna Malaika katikati ya Binadamu
 
Jaribu uone moto. Wamachame huwa Wanaitwa wapalestina, tena Wanaitwa hivyo na wachagga wenzao.
 
Ewaaaaaah!!!!
 
Aaaha kwa hio wewe ukasema wanaume wanawaogopa wanawake wa Arusha sababu wanaume hawana Pesa Ila wanawake wa Arusha wana Pesa au nilikuquote vibaya ?
Kwan uongo?? Wapo wanawake wa kaskazini wana pesa kuzidi wanaume wa mikoa minginee.

Ukweli usemweeee.
 
So now tunapambana kuzuia ushoga na tunapambana na watu/mademu wa kaskazini?

Kweliii hii ndio jei efu
 
Aaaha kwa hio wewe ukasema wanaume wanawaogopa wanawake wa Arusha sababu wanaume hawana Pesa Ila wanawake wa Arusha wana Pesa au nilikuquote vibaya ?
You qouted wrong.

Kuna mtu alisema ndio wanaongoza kuolewa na sherehe zao ni za gharama.
Coca akakazia
Na mie nikakazia..
Ukihudhuria harusi zao hamna kazi ndogo aisee… ndio nikasema sbb ni KE wana hela na Me wana hela. So wakizimix wanafanya makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…