Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Wala hatukuwazaa muwaoe ninyi vyasaka. Hata kutunza mke hamuwezi.

Kwenye uzazi unampa supu ya samaki? Dagaa ? Miguu na vichwa vya kuku?

Inahusu!!

Akikutana na sisi ni mwendo wa mguu wa ng'ombe na siagi za kutosha.... bia kwa mbaali mpaka gauni linalowa maziwa.... miezi 6 ndani !
 
Wala hatukuwazaa muwaoe ninyi vyasaka. Hata kutunza mke hamuwezi.

Kwenye uzazi unampa supu ya samaki? Dagaa ? Miguu na vichwa vya kuku?

Inahusu!!

Akikutana na sisi ni mwendo wa mguu wa ng'ombe na siagi za kutosha.... bia kwa mbaali mpaka gauni linalowa maziwa.... miezi 6 ndani !
Ona hii kenge
 
Wewe ndio unajua leo? Ukitaka kufa mapema oa watu wa huko ukiwa mbishi hata sumu unaekewa.
Baba mkubwa alimwambia mama naona Mali Zina zidi kiongezeka angalia usije muua mdogo angu................
Alimkosea sana mama angu Leo mama na baba wamezeeka pamoja.... throughout all Odds of life.........
 
Ndio alikuwa amelewa alienda jela miaka 7 sijui 12 sikumbuki naalitolewa Kisa anawatoto wakulea
Kumbe hapo shida siyo mali bali ni pombe/ulevi uliokithiri. Hakukusudia kumuua mumewe. Angekusudia angetumia sumu au kwenda kwa mganga au kualika majambazi.
 
Kama unataka uwe na maendeleo na akili ya kutafuta pesa oa kaskazini

Kama unataka mahaba shata shata ushindwe kwenda hadi kazini oa mikoa mingine waliowekeza kwenye mapenzi lkn ni kapuku hawana maendeleo
 
Kama unataka uwe na maendeleo na akili ya kutafuta pesa oa kaskazini

Kama unataka mahaba shata shata ushindwe kwenda hadi kazini oa mikoa mingine waliowekeza kwenye mapenzi lkn ni kapuku hawana maendeleo
Kama mikoa ipi? Na hayo maendeleo ni kama yapi?
 
Kuna mwanamke mmoja wa kinyakyusa alikua anamshurutisha bwana wake aoshe vyombo
Wanyakyusa wanawake ni wakorofi sana
Tanzania ukitaja kabila 3 wakorofi bila kuwataja Wanyakyusa hiyo list ni fake.
1. Binti wa kinyakyusa akikudharau kimbia
2. Anaweza kususa chakula siku 3
3. Wana kisasi hatari
4. Wababe sio mchezo.
5. Hawapelekeshwi hata kidogo.

Tembeeni muone
 
Tanzania ukitaja kabila 3 wakorofi bila kuwataja Wanyakyusa hiyo list ni fake.
1. Binti wa kinyakyusa akikudharau kimbia
2. Anaweza kususa chakula siku 3
3. Wana kisasi hatari
4. Wababe sio mchezo.
5. Hawapelekeshwi hata kidogo.

Tembeeni muone
Hayo yote humkuta mwanaume dhaifu.
 
Back
Top Bottom