Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
- Thread starter
-
- #101
Mifano yetu haizingatii nchi za kiislam.Hao waliovaa kidini nguo za jeshi ni askari wa dini nchi za kiislamu
Nchi za kiislamu Mwanamke haendi vitani ni askari tu wa mitaani wa kusimamia sharia za dini ya kiislamu kusimamia uvaaji hijabu mitaani
Sio suala la kujua.Umewahi kujiuliza kwanini ukiwa Mzalendo jeshini unavaa Track na ukiwa kuruti unavaa pitshort?
Acha kupelekwa pelekwa na midini dini utachelewa. Acha jeshi lijiendeshe kama linavojiendesha.
Waislam mnajikutaga imani mnazijua sana.
Jamaa anataka wanajeshi wavae majuba
Tufate katiba si hisiaMbona tumevaa saana pitishot mkuu..Imani yako Kama ipo ipo tu... Kubeba dunia,kula tano, yote ni maisha tu maana baada ya hapo Kuna maisha mengine..wewe ndo umejua Leo kwakua mwanao kachaguliwa jeshi🤭😆🤭😆
Uliwahi pita JKT?Wanaweza kuvaa track mabwanga zisizoshika miili yao
Kinyume na Katiba sawa. Ebu tupe ni kifungu gani cha Katibai ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinazungumzia uvaaji wa bukta JKT? Au umejichanganya ulikuwa unamzungumzia Katiba ya BAKWATA? Ahahahahaha!!!Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.
Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.
Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
ile ni jeshi msilete visheria venu vya dini. Toa Udini wenu. Kwani lazima watoto wenu waende? Kesho mtataka wafanye mafunzo na hijabu. Pelekekeni upuuzi wenu hukohuko. Utaki katanza mtoto wako kwenda basiKuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Mpuuzi wa kidini huyo. Kesho atataka wafanye mazoezi na hijabu wafunike na sura.Kinyume na Katiba sawa. Ebu tupe ni kifungu gani cha Katibai ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinazungumzia uvaaji wa bukta JKT? Au umejichanganya ulikuwa unamzungumzia Katiba ya BAKWATA? Ahahahahaha!!!
Maana ya itikadi ya Serikali isiyo na dini ni nini.
Kudhibiti baadhi ya dini?
Kama sheria za nchi zingekuwa zinaenda kinyume na ukatoliki je wakatoliki wangekubali?
Yaani ndipo watakapo elekea ikitoka hiyo watasema hijabu na nikab. Sasa litakua jeshi au kundi la dini?Wafanye mafunza na mahijabu na manikab sio????
Mnafanya waislamu wote tuonekane hamnazo...
Taratibu na kanuni za jeshi hazina dini, rangi wala kabila. Nidhamu ya jeshi ni tofauti kabisa na uraiani. Vivyo hivyo fikra. Waliopita jeshini wanalijua hilo.Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.
Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.
Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Pale jeshin ni nidhamu kwenda mbele. Jeshi Lina kanuni zake za kimafunzo. Aliwezi kibadilisha kwasababu ya dini. Sababu pale hawafati kufundisha dini. Kwahiyo Kama uwezi kufata kanuni na taratibu za jeshi tuliza toto lako kwenu.Unapenda ligi kila mtu mawazo yake yaheshimiwe
Hawajakataa kwenda jeshini na hakuna sehemu wanesema wanakimbia na abaya
Wanaweza kuvaa track mabwanga zisizoshika miili yao
Kabisa mkuu. Waambieni hawawezi kupenyeza Udini jeshiniTaratibu na kanuni za jeshi hazina dini, rangi wala kabila. Nidhamu ya jeshi ni tofauti kabisa na uraiani. Vivyo hivyo fikra. Waliopita jeshini wanalijua hilo.
Wacha vijana watembee kwa mwendo wa kunyakua wapate ukakamavu kimwili na kifikra.
Acha ujinga wakoChukua mwanao baki nae nyumban kwako
Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna
Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua toto lako kalee kama yai
Mpuuz wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao ni jamii ya kiislam iko contaminated.Kuna waislamu Tanzania hawajielewi utasikia tunashukuru tuna Raisi na wabunge kibao wanachosahau Pesa zao za mishahara na posho Pesa hutoka vyanzo haramu mfano hupitisha bajeti ya wizara ya fedha ambayo moja ya vyanzo vikubwa vya serikali ni Kodi ya pombe na Waziri husoma wazi bila kificho na Raisi Muislamu husaini kuidhinisha na hijabu yake kuwa hiyo bajeti ruksa kupita na Kodi za pombe zake humo ndani
Akimaliza kusaini anawahi msikitini swala tano
Waukize wamarekani, malawi, south Africa, uk wanafanyaje.Bila picha we muongo, mkuu mimi muislam ila kwa kule wakivaa suruali au s
Skirt watafanyaje mazoezi au kazi za kijeshi